Mamia kupoteza ajira vituo vya mafuta

IMG-20161130-WA0012.jpg
 
Mzee Mataputapu anaupata ujumbe kupitia magazeti,halafu aje atwambie uchumi umekua
 
KWA HALI KUNA KILA DALILI CCCM KUFIA KWENYE MIKONONI MWA JPN haijawahi kutokea hii ya watu kupoteza ajira hivi tokea nchi hii ipate Uhuru..hao wanaopoteza ajira ni wapiga kura na anaewasababishia kukosa ajira wanamjua..time will tell
 
kila mwezi unaondoa trilioni moja kwenye mzunguko unaenda kuificha,watu wamekuuzia bidhaa kwa njia ya tenda huwalipi,madeni ya watumishi huyalipi,hufanyi miradi ya maendeleo,hela ulizoficha hazizai riba
 
Siamini katika hii habari! kuna mambo mengi sana ya kuzusha saivi, katika biashara ambayo siyo rahisi kupigwa doro ni ya mafuta(SHELI) magari yananunuliwa kila siku na vyombo vingine vya moto na ni lazma vitumie vilainishi, sa kuniambia sheli zinauzwa ni jambo la kufikirika au kama limemfika mmoja lisiwe janga la taifa,tupunguze kulialia tujikazeni mioyo na tupambane la sivo tutaishia kuwa wakimbizi wa ndani ya nchi yetu.
 
Soma 123456789654789642245678899876543222345666097654321233445667787643446677643220986432
 
Siamini katika hii habari! kuna mambo mengi sana ya kuzusha saivi, katika biashara ambayo siyo rahisi kupigwa doro ni ya mafuta(SHELI) magari yananunuliwa kila siku na vyombo vingine vya moto na ni lazma vitumie vilainishi, sa kuniambia sheli zinauzwa ni jambo la kufikirika au kama limemfika mmoja lisiwe janga la taifa,tupunguze kulialia tujikazeni mioyo na tupambane la sivo tutaishia kuwa wakimbizi wa ndani ya nchi yetu.
Utaamini tu siku ikifika.
 
Walisema awamu hii watajenga viwanda ili watu wapate ajira tuingie uchumi wa kati..baadae wakaruka kimanga wakasema wao hawajengi viwanda kazi yao ni kupiga sound.. sasa makampuni ya kigeni yanapunguza shughuli zao nchini na kuhamia nchi jirani sijui wepi hao wanaokwenda kuwapiga sound.. Biashara ya real estate inayumba soon tutasikia mabenki yanayumba na mifuko ya jamii ambayo ndio imewekeza katika hiyo biashara inaporomoka... time will tell
 
Siamini katika hii habari! kuna mambo mengi sana ya kuzusha saivi, katika biashara ambayo siyo rahisi kupigwa doro ni ya mafuta(SHELI) magari yananunuliwa kila siku na vyombo vingine vya moto na ni lazma vitumie vilainishi, sa kuniambia sheli zinauzwa ni jambo la kufikirika au kama limemfika mmoja lisiwe janga la taifa,tupunguze kulialia tujikazeni mioyo na tupambane la sivo tutaishia kuwa wakimbizi wa ndani ya nchi yetu.
utaelewa tu,hao watu wanarundikiwa kodi za kuwafilisi kabisa!

wanachofanya,wanauza/wanafunga,na kuhamia nchi jirani zenye ustaarabu,
 
Kundi la wachawi kila siku ni kupiga ramli.
Acha upuuzi wewe, nani mpiga ramli? Kwanini mnapenda kujifariji wakati hali ni mbaya? tena mbaya sana, mabenki hakuna kitu, nyumba na amana mbali mbali zinapigwa mnada bado wanunuzi wanakosekana, makampuni makubwa yanataka kujitoa then bado mpuuzi flani anaibuka na kusema eti wanapiga ramli?? Hata anguko kwenye soko la hisa nayopia ni ramli? Hata loss ya TBL nayo ni ramli? Hebu acha upunguani wako hapa
 
Mi huwa sielew ... hawa jamaa watatokea kwenye taarifa ya habar na suti zao... watakwambia uchumi unapanda.. wkt hali halisi kitaa ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom