mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,546
Mnaoteseka nyie......mkipata kidogo tu makalio yanalia mbwata.......Mtaendelea kuteseka sana
Mnaoteseka nyie......mkipata kidogo tu makalio yanalia mbwata.......Mtaendelea kuteseka sana
Tuonyeshe kwanza zzk alivyopokea kubwagwa kwenye pacVipi mbona hatujaona alivyopokea tuzo........ya congo?
Sisi ndiyo tunazidi kusonga mbele kwa speed kubwaMnaoteseka nyie......mkipata kidogo tu makalio yanalia mbwata.......
Wanaumia sana maana kila uchaguzi tunawanyang'anya umiliki wa majijiCCM roho zinawauma kweli kweli!
Tuzo ya amani...mbona mnaificha kwapani.....tunaomba na majina ya zile taasisi 1200 za kilutheriTuonyeshe kwanza zzk alivyopokea kubwagwa kwenye pac
Mimi siyo mtumwa kama wewe ulivyo mtumwa kwa zzk na mwenzio mcheza uchiiNasikia unavyompenda Luwasa upo radhi kudeki mazizi yake kwa ulimi.....
Hata kurudi nyuma pia kunaweza kuwa na speed kubwaSisi ndiyo tunazidi kusonga mbele kwa speed kubwa
Tunaomba kwanza kuwajuwa wabunge waliomnyima kura zzk kwenye kipute cha pacTuzo ya amani...mbona mnaificha kwapani.....tunaomba na majina ya zile taasisi 1200 za kilutheri
Hivi barua ya maombi ya kuwa Mwenyekiti wa PAC huyu Ndugai alishaijibu?Mtumwa wa Lowasa......haya zungusha mikono.......ushakunywa maji mtoni sasa unahorohoja
Nyumbu wa Lowasa.....and ur brain is so empty.....yani hata nyumbu wenyewe wanakushinda kwa kufikiri......haya 1.. 2 ..3.....zungusha zungushaMimi siyo mtumwa kama wewe ulivyo mtumwa kwa zzk na mwenzio mcheza uchii
Kama magufuri alivyo badilli motto ya manyumbu ya chagua ccm kura kwa mgombea,sasa ni chagua magufuriLowassa ameua hata motto ya CHADEMA iliyokuwa inasema People's Power!
Walianza kusema, Mabadiliko Lowassa, Lowassa mabadiliko!
Kwa sasa wanatuambia tena Lowassa Power!
Wanatuambia nguvu ya Lowassa imewafanya wakachaguliwa kuwa madiwani!
Motto ya People's Power ingetuambia nguvu za wananchi zimewafanya wakachaguliwa kuwa madiwani.
Shukrani ingewaendea wananchi kwa kutumia nguvu zao kuwachagua Madiwani.
Ama kweli, Lowassa ameibadilisha kweli CHADEMA!
Kamzungushie omwami maana sasa atakuwa amechanganyikiwa sijui ataishi vipiNyumbu wa Lowasa.....and ur brain is so empty.....yani hata nyumbu wenyewe wanakushinda kwa kufikiri......haya 1.. 2 ..3.....zungusha zungusha
We kiboko.. haaaaaaAct ina mbunge mmoja kama taa ya kuwindia
Zungusha tena mikono huku tukiua nguvu ya umma.....Tunaomba kwanza kuwajuwa wabunge waliomnyima kura zzk kwenye kipute cha pac
Nasikia alimpigia simu maana angemjibu kwa barua jamaa angeweza kuji mkwawaHivi barua ya maombi ya kuwa Mwenyekiti wa PAC huyu Ndugai alishaijibu?
Au anasubiri yale maandamano ya kumpongeza JPM kwa bomoabomoa?
Tunasubiri maandamano ya kutwaa tuzo ya amani kinshasa KongoHivi barua ya maombi ya kuwa Mwenyekiti wa PAC huyu Ndugai alishaijibu?
Au anasubiri yale maandamano ya kumpongeza JPM kwa bomoabomoa?