Elections 2015 Mambo yenye kufikirisha juu ya Hatma ya Taifa letu TANZANIA... Nakubali kuna tatizo kwenye elimu yetu


mkuu huyu Juliana tulikua nae mbozi magharibi kwa silinde mwaka 2010,hela tuliyoandaliwa ya chakula na posho kidogo huyu dada na mwenzake mkaka alikua anasoma RUAHA walituibia........leo hapa anajifanya msomi na yeye.............km huyu ataingia bungeni basi ni kwa kigezo cha kuuza mwili na sio utendaj
 
Bavicha hamna jema..leo July amewapa kick ya Elimu kwanza bado mnamshughulikia..mmetisha.
 
Wewe UTAKUWA MBUGE KUPITIA CHAMA KIPI? WEWE NAHISI NI WALE WALE, SO MVUTA KAMBA HUVUTIA UPANDE WAKE! WEWE BORA UNGEENDA KUPEKUA HAYO MAKALABRASHA YAKO BADALA YA KUJA HUKU KUANDIKA VITU AMBAVYO HATA HAVIELEWEKI
 
Wewe UTAKUWA MBUGE KUPITIA CHAMA KIPI? WEWE NAHISI NI WALE WALE, SO MVUTA KAMBA HUVUTIA UPANDE WAKE! WEWE BORA UNGEENDA KUPEKUA HAYO MAKALABRASHA YAKO BADALA YA KUJA HUKU KUANDIKA VITU AMBAVYO HATA HAVIELEWEKI
Wewe unaishi Dunia gani...yaani Haujui Juliana yuko Chama gani..sasa tukusaidiaje..?
 
Eti ni siku ya kujisomea maktaba,.. huna hata aibuna elimu yako ya kujitungia stori za pwagu na pwaguzi!!!
 
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.

Karibu Boss, Mheshimiwa saba, Bi Juliana Shonza.

Paskali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…