Kwanza kabisa wewe ndio watu waliosababisha tukadharau wasomi. Hivi unaposema tuheshimu mambo yaliyofanywa na wasomi unatufanya sisi ni wajinga wa kiasi hicho. Mikataba yote hii mibovu inayotufanya kila siku tulie imeingiwa na hao watu unaowadharau wa kariakoo? Kwa hiyo wewe baadhi ya wasomi ambao huna shaka nao ni Zitto!!? Ukiona hivyo ujue kwamba hapa tulipofikia tumeona mambo mengi yakuongopea wananchi yakifanywa kwa kigezo cha usomi, zamani tulikuwa tukisikia mtu ni msomi tulikuwa tunampa mpaka akili zetu atushikie. Leo hii mashirika na taasisi nyingi zinazoendeshwa na wasomi ziko taabani kwani hakuna wasomi bali watu waliohudhuria vyuo vikuu. Baada ya sisi wananchi wa wa kawaida kuwastukia nyie mnaojifanya wasomi tumeamua kufanya kivyetu na hakika sasa tunaoana mambo yananyooka. Jaribu kuangalia shughuli nyingi zinazofanywa na watu wachapa kazi fananisha na za wasomi jinsi utakavyoona tofauti kubwa. Ama nikupe mfano mrahisi, leo msomi na asiye msomi wape biashara wafanye halafu njoo ndani ya mwaka utakuta ile ya asiye msomi ndio imefanya kwa ufanisi kuliko inayoongozwa na msomi.
Kwani nyie mnaojifanya wasomi zaidi ya kuzunguka na bahasha kwenda kuomba kazi za kuajiriwa ni kipi kikubwa mnachofanya? Sana sana mkipata kazi ndio mnaoishia kuiba hela za wananchi wavuja jasho kwa kutengeneza receipt fake ili kujipatia hela kwa njia ya uwizi. Kwa mfano wewe mwenyewe zaidi ya kujipendekeza ili upate madaraka ni mradi gani wenye tija umewahi kusimamia na ukatoa matokeo chanya? Jipime kwa dhamira yako kama kuna chochote tangible unaweza kutuonyesha zaidi ya kujipendekeza ukae ofisini.
mkuu huyu Juliana tulikua nae mbozi magharibi kwa silinde mwaka 2010,hela tuliyoandaliwa ya chakula na posho kidogo huyu dada na mwenzake mkaka alikua anasoma RUAHA walituibia........leo hapa anajifanya msomi na yeye.............km huyu ataingia bungeni basi ni kwa kigezo cha kuuza mwili na sio utendaj