Mambo yasiyowezekana ambayo Lissu amewaongopea wafuasi wa CHADEMA kwa makusidi au bahati mbaya

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Kwa muda mrefu sasa ndugu Tundu Lissu ama yeye mwenyewe au wapambe wake amekuwa akivimisha mambo yasiyowezekana ili mradi kuwapa wafuasi wa CHADEMA ambao kimsingi uelewa wao wa mambo ni hafifu.Mambo hayo ni kama ifuatavyo;

Mosi, toka enzi za JK na sasa JPM amekuwa akihadaa kufungua mashitaka katika mahakama ya ICC au ICJ. Na kupitia mwanasheria wa Tundu Bwana Robert Amsterdam aliwahakikishia wafuasi wa Chadema kuwa weshafungua kesi ICC na muda wowote kesi inaanza.Kama kawaida,wajinga walishangilia na hadi sasa wanasubiri kutoa ushahidi.

Pili, kuhutubia Bunge la Ulaya, Tundu Lissu na wapambe wake kwa makusidi wakijua wafuasi wa CHADEMA hawana uelewa walihadaa kuwa Tundu kaalikwa kuhutubia Bunge la umoja wa ulaya jambo ambalo sio kweli.

Tatu, kugombea ukatibu Mkuu wa UN, inaeleweka kwamba muda wa kipindi cha kwanza cha miaka mitano kwa katibu Mkuu wa UN ndugu Antonio Gutierrez kinaisha mwaka huu na anaweza kugombea kwa mara ya pili. Tundu na wapambe wake kwa makusudi wameanza kuvumisha kuwa "niyeye" anahombea ukatibu Mkuu UN.Je Tundu amepewa "endorsement" na serikali ya Tanzania? Je ni zamu ya bara la Afrika kutoa katibu Mkuu UN?

Itoshe tu nimalize kwa kuwashauri wafuasi wa CHADEMA kuwa msiwe kama mbayuwayu "akili za kuambiwa changanya na za kwako"
 
Kwa kauli zenu wenyewe ni kuwa hawa wapinzani walituchelewesha na kwa sasa Tz ni ya 'kijani'.

Nadhani mngejikita kuwaletea watanzania maendeleo, isije fika 2025 mkaanza kusingizia kuwa mlitumia muda mwingi kuwajibu wapinzani ndiyo maana hamjatekeleza ilani yenu.
 
Kwa kauli zenu wenyewe ni kuwa hawa wapinzani walituchelewesha na kwa sasa Tz ni ya 'kijani'.

Nadhani mngejikita kuwaletea watanzania maendeleo, isije fika 2025 mkaanza kusingizia kuwa mlitumia muda mwingi kuwajibu wapinzani ndiyo maana hamjatekeleza ilani yenu.
Kuna wapinzani Tanzania hii?

Wapinzani hawamiliki hata choo si usanii huo?
 
Jikite kwenye hoja kamanda acha kuweweseka
Kwa kauli zenu wenyewe ni kuwa hawa wapinzani walituchelewesha na kwa sasa Tz ni ya 'kijani'.

Nadhani mngejikita kuwaletea watanzania maendeleo, isije fika 2025 mkaanza kusingizia kuwa mlitumia muda mwingi kuwajibu wapinzani ndiyo maana hamjatekeleza ilani yenu.
 
Mbona Lissu ameeleza vizuri kuwa kesi inaweza kufunguliwa iwapo muongoza mashtaka wa ICC ataridhika kuwa kuna ushahidi wa kutosha wa makosa kama uvunjwaji wa haki za binadamu.
 
Ndugu zangu,

Kwa muda mrefu sasa ndugu Tundu Lissu ama yeye mwenyewe au wapambe wake amekuwa akivimisha mambo yasiyowezekana ili mradi kuwapa wafuasi wa Chadema ambao kimsingi uelewa wao wa mambo ni hafifu.Mambo hayo ni kama ifuatavyo;

Mosi,toka enzi za JK na sasa JPM amekuwa akihadaa kufungua mashitaka katika mahakama ya ICC au ICJ.Na kupitia mwanasheria wa Tundu Bwana Robert Amsterdam aliwahakikishia wafuasi wa Chadema kuwa weshafungua kesi ICC na muda wowote kesi inaanza.Kama kawaida,wajinga walishangilia na hadi sasa wanasubiri kutoa ushahidi.....

Pili,kuhutubia Bunge la Ulaya,Tundu Lissu na wapambe wake kwa makusidi wakijua wafuasi wa Chadema hawana uelewa walihadaa kuwa Tundu kaalikwa kuhutubia Bunge la umoja wa ulaya jambo ambalo sio kweli.

Tatu,kugombea ukatibu Mkuu wa UN,inaeleweka kwamba muda wa kipindi cha kwanza cha miaka mitano kwa katibu Mkuu wa UN ndugu Antonio Gutierrez kinaisha mwaka huu na anaweza kugombea kwa mara ya pili.Tundu na wapambe wake kwa makusudi wameanza kuvumisha kuwa "niyeye" anahombea ukatibu Mkuu UN.Je Tundu amepewa "endorsement" na serikali ya Tanzania? Je ni zamu ya bara la Afrika kutoa katibu Mkuu UN?

Itoshe tu nimalize kwa kuwashauri wafuasi wa Chadema kuwa msiwe kama mbayuwayu "akili za kuambiwa changanya na za kwako"
Mbona lisu amewachnganya Sana ccm jamani. Hasa baada ya kuainisha kisomi udictor wa jpm unavyojikita mizizi. Sasa anafikiria kuhamisha bahari ya wahindi chato.
 
Ndugu zangu,

Kwa muda mrefu sasa ndugu Tundu Lissu ama yeye mwenyewe au wapambe wake amekuwa akivimisha mambo yasiyowezekana ili mradi kuwapa wafuasi wa Chadema ambao kimsingi uelewa wao wa mambo ni hafifu.Mambo hayo ni kama ifuatavyo;

Mosi,toka enzi za JK na sasa JPM amekuwa akihadaa kufungua mashitaka katika mahakama ya ICC au ICJ.Na kupitia mwanasheria wa Tundu Bwana Robert Amsterdam aliwahakikishia wafuasi wa Chadema kuwa weshafungua kesi ICC na muda wowote kesi inaanza.Kama kawaida,wajinga walishangilia na hadi sasa wanasubiri kutoa ushahidi.....

Pili,kuhutubia Bunge la Ulaya,Tundu Lissu na wapambe wake kwa makusidi wakijua wafuasi wa Chadema hawana uelewa walihadaa kuwa Tundu kaalikwa kuhutubia Bunge la umoja wa ulaya jambo ambalo sio kweli.

Tatu,kugombea ukatibu Mkuu wa UN,inaeleweka kwamba muda wa kipindi cha kwanza cha miaka mitano kwa katibu Mkuu wa UN ndugu Antonio Gutierrez kinaisha mwaka huu na anaweza kugombea kwa mara ya pili.Tundu na wapambe wake kwa makusudi wameanza kuvumisha kuwa "niyeye" anahombea ukatibu Mkuu UN.Je Tundu amepewa "endorsement" na serikali ya Tanzania? Je ni zamu ya bara la Afrika kutoa katibu Mkuu UN?

Itoshe tu nimalize kwa kuwashauri wafuasi wa Chadema kuwa msiwe kama mbayuwayu "akili za kuambiwa changanya na za kwako"
Akina Mmawia na Erythrocyte wanaamini kabisa Tundu atatunukiwa nishani ya Nobel mwaka huu, Duh ha ha ha, wajinga ndio waliwao.
 
Ndugu zangu,

Kwa muda mrefu sasa ndugu Tundu Lissu ama yeye mwenyewe au wapambe wake amekuwa akivimisha mambo yasiyowezekana ili mradi kuwapa wafuasi wa Chadema ambao kimsingi uelewa wao wa mambo ni hafifu.Mambo hayo ni kama ifuatavyo;

Mosi,toka enzi za JK na sasa JPM amekuwa akihadaa kufungua mashitaka katika mahakama ya ICC au ICJ.Na kupitia mwanasheria wa Tundu Bwana Robert Amsterdam aliwahakikishia wafuasi wa Chadema kuwa weshafungua kesi ICC na muda wowote kesi inaanza.Kama kawaida,wajinga walishangilia na hadi sasa wanasubiri kutoa ushahidi.....

Pili,kuhutubia Bunge la Ulaya,Tundu Lissu na wapambe wake kwa makusidi wakijua wafuasi wa Chadema hawana uelewa walihadaa kuwa Tundu kaalikwa kuhutubia Bunge la umoja wa ulaya jambo ambalo sio kweli.

Tatu,kugombea ukatibu Mkuu wa UN,inaeleweka kwamba muda wa kipindi cha kwanza cha miaka mitano kwa katibu Mkuu wa UN ndugu Antonio Gutierrez kinaisha mwaka huu na anaweza kugombea kwa mara ya pili.Tundu na wapambe wake kwa makusudi wameanza kuvumisha kuwa "niyeye" anahombea ukatibu Mkuu UN.Je Tundu amepewa "endorsement" na serikali ya Tanzania? Je ni zamu ya bara la Afrika kutoa katibu Mkuu UN?

Itoshe tu nimalize kwa kuwashauri wafuasi wa Chadema kuwa msiwe kama mbayuwayu "akili za kuambiwa changanya na za kwako"
Huyu kijana toka jpm amwahidi cheo unadhani ataishitaki serikali. Ataunga juhudi tuuu na yeyeee. Nisuala la mda tuuu
 
Back
Top Bottom