Chadema shikilia hapo hapo kama Iran pale Homz.
Kusikilizwa kabla ya makubaliano ndio jambo la msingi.
Mioyo ya wanachadema imejaa makovu waombwe msamaha kwanza ndipo wahitajike .
Toa boriti kwenye mboni yako kwanza .
Chadema shikilia hapo hapo kama Iran pale Homz.
Kusikilizwa kabla ya makubaliano ndio jambo la msingi.
Mioyo ya wanachadema imejaa makovu waombwe msamaha kwanza ndipo wahitajike .
Toa boriti kwenye mboni yako kwanza .
Atakayewaomba msamaha Chadema nani? Kwa lipi la kuombwa msamaha? CCM na Serikali yake ninayoijua Mimi sidhani kama wanaweza kufikiria kufanya huo ujinga. SIDHANI!
Atakayewaomba msamaha Chadema nani? Kwa lipi la kuombwa msamaha? CCM na Serikali yake ninayoijua Mimi sidhani kama wanaweza kufikiria kufanya huo ujinga. SIDHANI!
Mtu akionesha dharau na ww muoneshe ile pro max hata kama anakuzidi uwezo kwa kila engo ww muoneshe na ww kwa uwezo wako huo huo mdogo.Kukubali kua mnyonge kizembe huo ni uchoko