Habari jamaa. Ninatumai mko njema.
Ningetaka kushare hapa ladhaa yangu kwenye architecture and decoration.
Labda mtaipdenda na kupata wazo chache. Nipe maoni yako. Kama hautapenda, haina shida, labda siku itakuja , utabadilika wazo.
Kama wewe pia, una elements you want to share with me, karibu, weka.
Halafu, ningetaka kujua mnafikiri gani kuhusu gharama ya kufanya the same hapa nchini.
Ningetaka kushare hapa ladhaa yangu kwenye architecture and decoration.
Labda mtaipdenda na kupata wazo chache. Nipe maoni yako. Kama hautapenda, haina shida, labda siku itakuja , utabadilika wazo.
Kama wewe pia, una elements you want to share with me, karibu, weka.
Halafu, ningetaka kujua mnafikiri gani kuhusu gharama ya kufanya the same hapa nchini.