mambo ya simu

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Mke na mume walikubaliana wakitaka kula tundi watatumia lugha ya iusuyo "kupiga simu" ili watoto wasielewe.Basi siku moja walikua wamegombana hawasemezani. Baba akamtuma mtoto: " mwambie mamako nataka simu!" Mama akamwambia mtoto: " mwambie imeharibika!" Baba akanena: " mwambie basi nitakwenda kupiga nje" Mama akamtuma mtoto: "Mwambie akienda kupiga nje na mimi nitafungua simu ya jamii!!!"


 
Back
Top Bottom