Mambo ya sabasaba

Mambo ya sabasaba

Mmmmh... kwel hakuna siri. Hii picha nimepiga mm na simu yangu juzi siku ya tarehe 4. Nikaipost kwenye magroup ya kazin. But now naikuta huku
 
Mmmm mbona wamekomaa hivyo?walau huyo wa 2 ananyamanyama anafaa kwa matangazo ya tigo
 
Nawaona kama baadhi yao vile wanafunzi wa Chuo Cha Uhasibu (TIA).
 
Dah hawa wadada wote wamenikodolea macho mpaka nimeshikwa na aibu!
 
Angalizo .. huyo wa pili shemeji yenu, mtoto mkali toka huasibu, napiga vyumbu mwenyewe... ' hao wengine nawagawa bureee ukitaka namba zao ni pm
 
Hawa Tg wana uwezo wakuanzisha mashindano ya u-miss kabisa, hapo lazima walifanyiwa usaili
 
Back
Top Bottom