Omnilabeltech
Member
- Jul 26, 2026
- 61
- 118
Huo utajiri upo labda unakutana na waganga matapeli, japo binafsi navutiwa zaidi na utajiri unaotokana na real hustle
Utajiri wa ndagu upo na ni harisi kabsa, sema kwa wakati huu kumpata mtaalamu wa kwel ni ngumu sana, zama hiz matapel tu ndo wamejazana!
Nawafahamu wachache, mmoja ni mteja wangu kwenye lodge yanguWajaribu hao walio kuambia ni wa kweli utakuja kukuta story zile zile
Nawafahamu wachache, mmoja ni mteja wangu kwenye lodge yangu
Yeye Kila siku lazima aje alale na mwanamke mpya
Ndagu yake ni kuchukua nyota za Wanawake Kila anapolala nao
Ndiyo hivyo MkuuNdo alikupa siri yake?
Ndagu ni harisi kabsa!Sina uhakika kwa kweli
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.
Ndagu ni harisi kabsa!
Kama upo kanda ya ziwa ulizia kuna mtu mmoja ni maarufu na anapesa, huyu bwana awewahi kufanya kituko cha mwaka (alikula ndagu, akambaka dada ake toka nitoke sokoni siku wa gurio live bila chenga akamvua kabsa na akaichapa), baada ya hapo jamaa alipata pesa sana na alimporomoshea yule dada yake bonge la mjengo! Imepita miaka mingi ila jamaa bado anapesa tu! Haya mambo yapo
Utajiri wa ndagu upo; Wewe lete Samaki wa4 wale wa Aslay mihogo Asiweke pilipili nyingi sasa, itaharibu Dawa π
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.