bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Haka katoto (Miss Tanga wa zamani) Sofia Byanaku inaonekana yuppo makini kwenye kukatika!! Anapiga z ki-Tanga kabisa...
ee baba mungu wa majeshi tuhurumie waja wako. kwanini siku hizi kumbi nyingi za starehe zina jaa kuliko nyumba za ibada? mungu awabariki wote tukitafakari maneno haya.
je hakuna mahusiano kati ya mambo ya nduara na tigo!
shepu sasa!
Picha yakwanza huyo mdada mtindi ulimwagika akawa anauweka sawa nini??
Directly propotional relationship, mathematically, Mduara = K TigO, where K = constant K.U.N.DU
Mambo ya tiGo huanzia hapa na vijimambo watu wanaamua kutwanga live!
Vitambi! Vitambi! Vitambi!
Vitambi! Vitambi! Vitambi!
ihii sjaipenda,anawaonyesha nini wakwe zake apo ukumbini na watu wengne?
Michemsho na bia za bureVitambi! Vitambi! Vitambi!
Huu ni mduara au Kiduku?