Wakati watu wanagombania kupanda mabasi kama kawaida yao,bibi mmoja alipanda akapata siti bila shida
konda akamuuliza"bibi mbona unalia??"
bibi akamjibu "mjukuu wangu kwa miaka 25 niliyoishi mbagala sijawahi pata siti lakini leo nimepata"
konda akamwambia "nyanyuka hiyo siti ya dereva".
Acha hizo KK, abiria wa mbagala na ubishi wao wote, hakuna ambaye huwa anacheza na siti ya dereva, gari hata lijae vp siti ya dereva haiguswi. Mbagala raha jamani, huna haja ya kwenda gym, usafir wa umma ni mazoezi tosha
Acha hizo KK, abiria wa mbagala na ubishi wao wote, hakuna ambaye huwa anacheza na siti ya dereva, gari hata lijae vp siti ya dereva haiguswi. Mbagala raha jamani, huna haja ya kwenda gym, usafir wa umma ni mazoezi tosha