hii ishu ya loliondo mi bado hajaniingia akilini kabisa
hivi watu wako desperate kiasi hicho?
Wacha niendelee kua Tomaso!
nauliza tu msinipige mawe. Hivi, baadae ikija gundulika kuwa watu hawaponi itakuwaje?????????????????. Nauliza tu.
Njoo hukuASANTENI WATOA HOJA AMBAO WENGI WAO ZAIDI YA 80% YA MAISHA YAO NI MIJINI.......KWENU USAFIRI WA MALORI NI MATESO WAKATI SISI WATANZANIA HALISI (zaidi ya 80% ya watanzania wanategemea kilimo/huishi mashambani) HUO NDO USAFIRI WA KUTEGEMEA....HIZO SUMATRA,TANESCO,TRA,UHAMIAJI,EWURA,PPF TOWERS,AIRPORTS,BUSINESS CLASS,UNIVERSITIES,CHADEMA HQ,NCCR HQ,DART,FLYOVERS,PRECISION,EMIRATES NI ZA HUKO HUKO MIJINI NDO MAANA MNATAKA KUJA KWETU VIJIJINI MAANZA KULIA LIA.......!
TUBORESHEENI MAISHA NA HUKU KWETU SIO KUJIANGALIA HUKO KWENU TU...!
NaaaaaamNjoo huku
Umeona ilivyomdhuru raisi wetu pogba ...Mrejesho tafadhali
We jamaa mungu anakuona ...Maajabu ni kwamba, unakunywa kikombe kimoja cha tu cha dawa ambacho ndo kinagharimu Tshs. 500 tu....na mara moja dawa inaanza kufanya kazi. Uruhusiwi kunywa mara mbili..... KWELI DUNIA IMEPETA MKOMBOZI.... TUSUBIRI MPAKA WAZUNGU TOKA ULAYA WATAKUJA...NGOJA TUONEE.!!!!!!!!
Kwahiy mkuu unataka kusema ile dawa ilikuw inaharb akili za watunauliza tu msinipige mawe. Hivi, baadae ikija gundulika kuwa watu hawaponi itakuwaje?????????????????. Nauliza tu.
Utafit ufanyike waliotumia ile dawa matokeo yapojeUmeona ilivyomdhuru raisi wetu pogba ...
Amejawa na maamuz ya ajabu ..
Ile dawa mbaya sana
madhara ndo yanaonekana saiv mkuu njoo hukudawa ya babu itazzua balaa kama tusipokuwa makini katika hili.
Tupe mrejesho mkuu huyo ndugu yako anaendeleje!??Ndugu yangu yupo loliondo sasa hivi,amefika huko toka ijumaa jioni.Amesema mbele yake kuna magari 1200,yapo kwenye Que ya babu.
most of the vehicles ni STK,SU na DFPs,sasa jiulize magari ya mashirika na taasisi mengi yapo in DAR,pia kwa magari hayo elfu 1 plus,most likely walioenda huko wanatokea DAR and miji mikubwa.
kuhusu bei ya petroli watz tumeshazoea kupanda kwa gharama za maisha kila kukicha,so hata petroli ikifikia elfu3 kwa lita bado tutafanya adjustment kimaisha ili tuendelee kutumia magari yetu.kwani bila gari uwezi kufika kazini ontime.
Tupe mrejesho mkuu huyo ndugu yako anaendeleje!??Ndugu yangu yupo loliondo sasa hivi,amefika huko toka ijumaa jioni.Amesema mbele yake kuna magari 1200,yapo kwenye Que ya babu.
most of the vehicles ni STK,SU na DFPs,sasa jiulize magari ya mashirika na taasisi mengi yapo in DAR,pia kwa magari hayo elfu 1 plus,most likely walioenda huko wanatokea DAR and miji mikubwa.
kuhusu bei ya petroli watz tumeshazoea kupanda kwa gharama za maisha kila kukicha,so hata petroli ikifikia elfu3 kwa lita bado tutafanya adjustment kimaisha ili tuendelee kutumia magari yetu.kwani bila gari uwezi kufika kazini ontime.
hizi comment "!!!!, mlikuwa hamjui kama mzee mwakipesile ana wapiga ".... Ogopa sana usalama sio watu wazuri kabisa . wanaweza kuwaaminisha watu kuwa jiwe ni mkate na watu hao wakaaminiMaajabu ni kwamba, unakunywa kikombe kimoja cha tu cha dawa ambacho ndo kinagharimu Tshs. 500 tu....na mara moja dawa inaanza kufanya kazi. Uruhusiwi kunywa mara mbili..... KWELI DUNIA IMEPETA MKOMBOZI.... TUSUBIRI MPAKA WAZUNGU TOKA ULAYA WATAKUJA...NGOJA TUONEE.!!!!!!!!