Mambo ya kufanya ili usimchoke mke wako

Mambo ya kufanya ili usimchoke mke wako

9. Uaminifu ndiyo kitu bora baina yenu, na uaminifu huja kwa kufuata dondoo za juu hapo.hizo ndizo siri za nyinyi kudumisha upendo wenu na hata mkiishi miaka 100 lakini mtaonana wapya siku zote.
254706575634.jpg
 
saddyy

Yoote hayo ukimfanyia ndo ujue umerisk ndoa yako hata panya zitampenda....na jinsi wanawake wanavyopenda sifa mtego za kutingishiana mawowowo hapo kila jitakacho pita mbele yake atakitingishia..
 
Last edited by a moderator:
msihukumu sana wanawake! mwanamke anaweza kutulia lakini mwanaume akawa balaa na ndo maana sasa ivi michepuko haiepukiki mimi kilichonikuta sina hamu ya kumuamini mwanaume yeyote!
 
Hiyo namba moja huniache kidogo..mengine ntafanyia kazi
 
Pesa ndio kila kitu ndugu unawezafanya yote hayo lakin kama huna atm 0+0
 
Hiyo ni kwa wanawake wa zamani kasoro wanaotoka kilimanjaro(kwasababu hiyo no. 7 hawaitambui kabisa)
 
Wwake km kunguru tuu hata umfanyeje hatosheki we km umempenda kubali yote
 
Ratiba ya mechi mmh hapo kwangu si afiki, mara mmepanga alhamisi halafu ndo umerudi na msongo wa mawazo sijui utafanya kumridhisha mwenzio ay vipi.

Hii kitu inahitaji kuwa katika hali nzuri ya kiakili hivyo ni bora pale mnapokuwa mko vizuri mkamali ratiba waachie EPL.
 
Hivi..? Yeye hatakiwi kufanya chochote ili nisimchoke? Mana naona yote natakiwa kufanya mimi tuu..
Akupikie, akufulie, akunyooshee, akukatikie n.k nk.
We kuambiwa umfanyie hayo machache unaona ishu
 
Pesa ndio kila kitu ndugu unawezafanya yote hayo lakin kama huna atm 0+0[/QUO

Ofcoz tunaishi kutafuta hayo (pesa) ili zitupatie mahitaji yetu ya kila siku. Na ni wajibu wetu kuzitafuta haswaa kwa njia zozote halali (kufanya kazi kwa bidii)

Nadhani mleta hoja/mada alilenga kutuongezea vitu vya ziada ili kuimarisha mahusiano yetu. Na nilivyoelewa mimi, ni ushauri tu. Mtu aweza kuuchukua na kuacha kwa kadiri aonavyo yeye utamnufaisha vipi.

Lakini kwa ishu ya kuzitafuta pesa ili ATM isome, hakuna mtu wa kukushauri bali ni wajibu wa kila MTU mwenye akili timamu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom