Mambo ya kufanya ili usimchoke mke wako

Mambo ya kufanya ili usimchoke mke wako

Mwanamke anahitaji kupendwa tu, muda wote attention weka kwake, usiangalie mwanamke mwingine. Uwe obsessed nae
 
saddyy

hahaha, hapo kwenye namba 8, wao ndio wanasema sisi wanaume ni kama watoto tunahitaji kudekezwa kabisa.

hata hivyo, haya uliyoandika ni kwa mwanamke wa wapi, mwanamke wa kikurya pia anahusika hapa?
 
Last edited by a moderator:
saddyy

ban uliyopigwa mkuu imetokana na uzi huu huu wa malavidavi au?
 
Last edited by a moderator:
ukiwa na mpunga then ukamfanyia hayo, hapo mambo saaafiii

lakini bila mpunga ndg yangu mmmh nina mashaka
 
hiyo namba 7 mimi mwenyewe shahidi
 
Hiyo namba moja hapana! Kwanza wanawake huwa wanapenda surprise! Namkuta kitchen ameinama anatafuta sijui nini namtomasa anaruka waya!
 
Kwa upande wangu vitu vinavyofanywa kwa ratiba (routine) ndio vinachosha! Sasa tendo la ndoa kwa ratiba si ndio mwanzo wa kuchoka tendo lenyewe?! Na ukishachoka tendo LA ndoa kuna ndoa hapo?!
 
Gender Balance,pia wanawake hawapendeki hawana shukran bora niwe 50/50 asinisome dadeki zao hawakawii kukuona -----
 
Mleta maada tanguliza kutangaza maslahi yako katka mjadala huu. Je, umeoa au umeolewa?
 
We jamaa,kila chizi na fani yake,means kwamba na kila mgonjwa na dozi yake, kuna wanawake hawapendagi hizo swaga zenu za maua na card.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom