Mambo ya kufanya CHADEMA ili iweze kushinda nafasi ya Urais

AKILI TATU

JF-Expert Member
Feb 10, 2016
2,658
2,804
wakuu salamu,

Nilikuwa natafakari jambo hili kwa kina nikaona ni vema niwashirikishe,Chadema na upinzani kwa ujumla umekuwa ukihaha kutaka kushinda katika uchaguzi hasa wa Urais,rejea uchaguzi wa kuanzia mwaka 1995 hadi 2015.

Binafsi naona wanachelewa katika mambo haya ya msingi,

1,waachane na kung'angania nafasi ya Urais kwani nafasi hii inaonekana waziwazi kuwa NEC wanaibeba CCM.

2.Nguvu zao wanatakiwa kuzielekeza katika ushindi wa Ubunge na Udiwani,hii itawasidia kuwa na Wabunge wengi bungeni ambao kwa namna moja au nyingine huenda ikawasaidia katika kuongoza muhimili mmoja wa Serikali kwa maana ya kuongoza Bunge(Spika).

Hii pia itawasaidia kupitisha mabadiliko ya ya katiba na kuweka tume huru ya uchaguzi ambayo itapelekea waweze kushinda Urais kirahisi

3.Watakuwa na uongozi wa halmashauri na majiji mengi zaidi kuliko wakati wote ule.

Kinyume chake wakikimbilia na kushikilia kutaka kushinda Urais katika miaka ya hivi kaibuni matokeo yake ni watajikuta anatumia nguvu kubwa na mwisho kujikuta wanashindwa yote.
 
wakuu salamu,

Nilikuwa natafakari jambo hili kwa kina nikaona ni vema niwashirikishe,Chadema na upinzani kwa ujumla umekuwa ukihaha kutaka kushinda katika uchaguzi hasa wa Urais,rejea uchaguzi wa kuanzia mwaka 1995 hadi 2015.

Binafsi naona wanachelewa katika mambo haya ya msingi,

1,waachane na kung'angania nafasi ya Urais kwani nafasi hii inaonekana waziwazi kuwa NEC wanaibeba CCM.

2.Nguvu zao wanatakiwa kuzielekeza katika ushindi wa Ubunge na Udiwani,hii itawasidia kuwa na Wabunge wengi bungeni ambao kwa namna moja au nyingine huenda ikawasaidia katika kuongoza muhimili mmoja wa Serikali kwa maana ya kuongoza Bunge(Spika).

Hii pia itawasaidia kupitisha mabadiliko ya ya katiba na kuweka tume huru ya uchaguzi ambayo itapelekea waweze kushinda Urais kirahisi

3.Watakuwa na uongozi wa halmashauri na majiji mengi zaidi kuliko wakati wote ule.

Kinyume chake wakikimbilia na kushikilia kutaka kushinda Urais katika miaka ya hivi kaibuni matokeo yake ni watajikuta anatumia nguvu kubwa na mwisho kujikuta wanashindwa yote.

Unaushauri mzuri.ila washaingia mkataba na taJIRi.
Mimi nilikuwa nashangaa tu hata akipewa si atapigiwa kura of no confo sikuileile kazindua Bunge.

Usihangaike nao wenzio wanataka hela ya harakaharaka
 
wakuu salamu,

Nilikuwa natafakari jambo hili kwa kina nikaona ni vema niwashirikishe,Chadema na upinzani kwa ujumla umekuwa ukihaha kutaka kushinda katika uchaguzi hasa wa Urais,rejea uchaguzi wa kuanzia mwaka 1995 hadi 2015.

Binafsi naona wanachelewa katika mambo haya ya msingi,

1,waachane na kung'angania nafasi ya Urais kwani nafasi hii inaonekana waziwazi kuwa NEC wanaibeba CCM.

2.Nguvu zao wanatakiwa kuzielekeza katika ushindi wa Ubunge na Udiwani,hii itawasidia kuwa na Wabunge wengi bungeni ambao kwa namna moja au nyingine huenda ikawasaidia katika kuongoza muhimili mmoja wa Serikali kwa maana ya kuongoza Bunge(Spika).

Hii pia itawasaidia kupitisha mabadiliko ya ya katiba na kuweka tume huru ya uchaguzi ambayo itapelekea waweze kushinda Urais kirahisi

3.Watakuwa na uongozi wa halmashauri na majiji mengi zaidi kuliko wakati wote ule.

Kinyume chake wakikimbilia na kushikilia kutaka kushinda Urais katika miaka ya hivi kaibuni matokeo yake ni watajikuta anatumia nguvu kubwa na mwisho kujikuta wanashindwa yote.
Tatizo la vyama vingi vya siasa ni kuwa viongozi wengi wa juu wamebinafsisha nafasi hizo kama vile hakuna mmbadala wao.
Hili ndiyo kosa kubwa linalofanyika na ambalo wengi wetu hatulioni.
 
wakuu salamu,

Nilikuwa natafakari jambo hili kwa kina nikaona ni vema niwashirikishe,Chadema na upinzani kwa ujumla umekuwa ukihaha kutaka kushinda katika uchaguzi hasa wa Urais,rejea uchaguzi wa kuanzia mwaka 1995 hadi 2015.

Binafsi naona wanachelewa katika mambo haya ya msingi,

1,waachane na kung'angania nafasi ya Urais kwani nafasi hii inaonekana waziwazi kuwa NEC wanaibeba CCM.

2.Nguvu zao wanatakiwa kuzielekeza katika ushindi wa Ubunge na Udiwani,hii itawasidia kuwa na Wabunge wengi bungeni ambao kwa namna moja au nyingine huenda ikawasaidia katika kuongoza muhimili mmoja wa Serikali kwa maana ya kuongoza Bunge(Spika).

Hii pia itawasaidia kupitisha mabadiliko ya ya katiba na kuweka tume huru ya uchaguzi ambayo itapelekea waweze kushinda Urais kirahisi

3.Watakuwa na uongozi wa halmashauri na majiji mengi zaidi kuliko wakati wote ule.

Kinyume chake wakikimbilia na kushikilia kutaka kushinda Urais katika miaka ya hivi kaibuni matokeo yake ni watajikuta anatumia nguvu kubwa na mwisho kujikuta wanashindwa yote.
Tume huru ya uchaguzi au rasimu ya Warioba irudishwe
 
Cha muhimu tupate katiba nzuri tu, ambayo mwenyekiti wa NEC atakuwa sio mwajiriwa wa chama tawala.

CCM wataondoka asubuhi na mapema!
Katiba nzuri kivipi. Mbona vyama vyetu vina katiba nzuuuri lakini hazifuatwi. Viongozi wamejaa udikteta na ulafi wa madaraka tu. Hakuna lolote. Kama tumeshindwa huku tutaweza wapi mambo ya kitaifa. tunandandia mambo ambayo hata hatuyajui. Ndio maana siku zote hata mafisadi wanapata nafasi ya kusafishwa na kuzaliwa upya
 
Kwenye uchaguzi upande wa Urais, ni vigumu sana kwa vyama vya upinzani kupita.

Ikiwa Tume ya Uchaguzi ni hii hii. Inayowajibika kwa Rais, wakuu wa Mikoa(Kama akina Makonda), na wakuu wa wilaya, pia wakurugenzi wa halmashauri na manispaa na wote hawa Wanawajibika kwa mtawala!
 
Mnashindwa kuelewa jambo kwamba unapopata wabunge wengi wa upinzani ukakosa uraisi iyo ni kigezo kikubwa cha kusema wamechakachuliwa coz ni walewale waliowapigia upinzani upande wa ubunge watapiga kwa raisi wa mrengo huo
 
Mkuu Ni Ngumu Sana Kupata Wabunge Wengi Endapo Muundo Wa NEC Hautafanyiwa Marekebisho.

Mkulu Anaweka Safu Ya Wasimamizi Wa Uchaguzi Wa Majimbo <DEDs> ambao ni makada.,
 
Kwa nature ya vyama vya upinzani vilivyo me naona tu bora CCM iwepo miaka yote maana hadi sasa nina mashaka sana na nia yao kuhusu maendeleo ya taifa hili. Kwasababu ukitazama........kampeni zao zinatumia jazba na hisia za chuki na uchonganishi jambo ambalo najiuliza ina maana wao watakapoingia wanadhani chuki wanayoichochea haitawarudia siku za mbeleni wakianza kukosea. Swala jingine ni kwanini wanahangaikia sana uraisi baada ya kuinvest kwenye ubunge mahala ambapo naami ndipo wanastahili kuwapo sana maana wabunge ndio huchalenji serikali na kuipangia kama wakiwa wamoja kwenye kujenga hoja.......hapa huwa napata utata na elimu yao ya sayansi ya uongozi. Aisee sijui kwanini waafrika tupo nyuma sana katika maisha na ki kitu
 
Mkuu Ni Ngumu Sana Kupata Wabunge Wengi Endapo Muundo Wa NEC Hautafanyiwa Marekebisho.

Mkulu Anaweka Safu Ya Wasimamizi Wa Uchaguzi Wa Majimbo <DEDs> ambao ni makada.,
Na watu wanaosimamisha nao ni tatizo......siasa za kibongo zimejaa rushwa na tamaa ya pesa.........wabunge hawana weledi ...wachache ni wenye uwezo wengi wao ni watupu vichwani
 
Kinatakiwa chama kimoja tu cha upinzani sio maswala ya kuunganisha vyama huu utitili wa vyama wataendelea kula ruzuku tu lakini kushika nchi hawatoweza hata wapange mikakati gani wasipounda chama kimoja urais watausikia kwenye bomba
 
Kinatakiwa chama kimoja tu cha upinzani sio maswala ya kuunganisha vyama huu utitili wa vyama wataendelea kula ruzuku tu lakini kushika nchi hawatoweza hata wapange mikakati gani wasipounda chama kimoja urais watausikia kwenye bomba

Ukitaka kujua hawa ni.mvua za vuli waambie 2020 agombee urais kutoka CUF kama watakuelewa maana ruzuku watakosa.

Tamaa mbele imewajaa
 
Back
Top Bottom