Mambo ya kuchunga ukitembea mjini usiku




Ikiwa ni usiku mkali kabisa, vua nguo, tembea uchi. Imba wimbo wenye maudhui fulani hivi, mfano, kifo hakina huruma wa Dkt. Remmy Ongala
 
jf kuna watu matepeli,basi tu
 
Kuna sehemu inabidi uvue shati ubaki kifua wazi tena shati unachomeka mfuko kwa nyuma ndiyo unavuka kama ni reli au darajani, hii huwafanya wezi waliojificha wataendelea kujificha na kuendelea kukutazama bila kuelewa kinachoendelea na kusahau lengo lao la kukuibia.
 
Ukitembea usk hakikisha unavaa mzula na koti refu, Hakuna atakaye kusogelea kila mtu anakukimbia,afu unatembea Taratibu

Hakikisha hukosi bisibisi Au ka kisu.

Natembeaga ata saa nane wauni wakiniona ata wakiwa kikundi wanakimbia Kwa speed, laiti wangejua afu nakuwaga mdg mdg
 

Usiwaamini watu humu mtandaoni pole sana
 
Kuna siku ilinikuta hiyo, namwaga mkojo sehemu nikamwona jamaa ananifukuzia nilitoka nduki huku dudu inaning'inia umbali wa Km 1 hv nilikuja kui-park vzr baadae sana baada ya kuwa sehenu salama.... Arusha hiyo mzee!!
 
Ila kweli aiseee
 
hizi staili za masela mavi a.k.a masela nnya upenda kuvua shati lake analikunja na kuliweka kwenye mfuko wa suruali wa nyuma

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku ilinikuta hiyo, namwaga mkojo sehemu nikamwona jamaa ananifukuzia nilitoka nduki huku dudu inaning'inia umbali wa Km 1 hv nilikuja kui-park vzr baadae sana baada ya kuwa sehenu salama.... Arusha hiyo mzee!!
kijana umenichekesha sana au ulikojoa ile sehemu inaitwa,, MARUFUKU KUKOJOA HAPA

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…