Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,867
- 3,618
Kuna uzi ulianzishwa ukiuliza Kama Kuna mtu amewahi kuipata simu yake iliyoporwa kwa kutumia cyber polisi yaani kitengo maalumu Cha kufuatilia simu polisi.Ila kweli wasomi pia wapo hata wale jamaa wa Ile pesa tuma kwenye namba hii wengi wao ni wasomi.
Sasa huyo jamaa wa Jf aliwaibiaje alivyosema mutrack simu zilizoibiwa?
Baada ya comment Kama 10 hivi akajitokeza mwamba na ushuhuda mzuri wa kuipata simu yake kwa kuandik id ya huyo yoashi aliyepo humu jf kwamba ndie mtaalamu wa Mambo hayo.
Ghafra Yoashi akaja na mbwembwe zote kwa kujinadi, hiyo Ni kazi ndogo San kwake licha ya baadhi ya wadua wakisema Kuna baadhi ya simu zikibadilishwa imei huwezi kuzipata.
Jamaa akaonesha umwamba wa kibabe pale na akaalika wenye matatizo ya kutafutiwa simu tumuone PM.
Aisee, alitulamba pesa wakubwa kwa wadogo then akapotea hewan mpaka Leo.!!!




Kwanza sipendagi kkumbuka ka hela kangu dah..!
Bora ningenunulia kiatu na suluali kadeti Safi!!




