Mambo ya kuchunga ukitembea mjini usiku

Mambo ya kuchunga ukitembea mjini usiku

Kama ni sehemu za giza au vichochoroni ukitembea uwe unatazama nyuma.

Kuna vibaka wanaweza wakawa wanakufatilia kwa nyuma, ama ukiona kundi kubwa la watu kwa mbele ni vyema ukajihami kwa kurudi nyuma.

Epuka sana bodaboda ambayo inakuja kwa nyuma, siku hizi vibaka wanatembea, wanakupora kisha wanaondoka zao na bodaboda yao.
 
Honestly Bora utapeliwe yaani uibiwe kwa maneno kuliko kuibiwa kwa kuwekewa kisu, nondo kichwan au shingoni.

Leo jion ktk pita pita zangu nmekuta story ya boda boda kutapeliwa simu ya laki 2 muda mfupi uliopita.

Jamaa kawakuta washkaji kijiwe Cha boda, alkua anakula muhindi. Akagawa muhind huku salamu zinaendekea.

Mwisho kamchagua mmoja kwamba ampekeke eneo la duka hardware ili akanunue malumalu.

Kufika dukani akatok nje alipo simama boda na kumwambia, eeh bwana malumalu nilizoagizwa na bosi sijaziona Sasa naazima simu yako nipige picha hizi zilizopo nikamuoneshe bosi Kama atazipenda turud nizichukue.

Jamaa bila hiana akashuka kweny boda na kuingia ndan ya duka, wakashirikiana kupiga picha baada ya kumaliza wakapand boda wakaondok kuelekea umbali wa km 15 aliko bosi.

Baada ya kufika getin jamaa akaomba simu ili akamuoneshe picha bosi ndani, jamaa bila wasiwasi akamtolea na kumuelekeza pattern. Jamaa akaingia ndani ya lile geti ndani kulikua na pagali halijakalabatiwa.

Jamaa alisubir baadae akapiga simu kweny namba yake, akapokea akasema ndo namalizia mazungumzo nakuja.

Mweee, baada ya dakika 15 akapiga akajibiwa na yule binti wa mtandaoni kwamba hiyo namba haipatikan.!!

Oooh jamaa ndo anazinduk.! Kibaka kaingilia mlango wa Mbele kaenda kutokea mwisho wa fensi ambayo ilkua haijakamilika.

Jamaa kuchukia hawezi amebaki kutabasamu tu haamin alivyo pigwa pigwa.!!

Vibaka wapumbavu sana.
 
Epuka kutembea na mkwanja mwingi japo usiache kabisa sababu wahuni wakikukuta na mkwanja kidogo kesi yake sio kubwa sana kana wakikukuta uko tee kabisa, msala wake huuwezi wanaweza kukuacha na boxer.
 
Hiyo ya kupita sehemu za madada poa ilishanikuta. Nilipaki gari maeneo yao nikisubiri mtu fulani. Mara ghafla defenda iyoo. Wakafika na mikwara yao chap nmeshapigwa pingu ( ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kufungwa pingu). Nilikoma nao huku nikijiamini sina kosa lolote

Maana wao walidai nilikuwa nafanya mapenzi ndani ya gari na wadada poa ila walivyokuja akakimbia. Mimi niliwauliza ushahidi wa tuhuma yao wakawa wanajing'ata ng'ata tu. Tulienda hadi kituoni wakinitishia kunilaza ndani hadi J3 ila mimi nikaona poa tu maana haiwezekani mwanaume unafikisha miaka 30 hata hujawai kulala maabusu. Ila ujasiri na kutojali mikwala yao uliwashangaza sana hata kwenye kauta ya kituo hawakunifikisha. Wakaniachia tu hapo nje kuwa nisiendelee kuwapotezea muda

Hata mia mbovu hawakupata.

Ila all in all nilijifunza hao jamaa ukiwa muoga wanakupanda kichwani.
 
Ukifika sehemu yenye historia ya vibaka tengeneza scripts hata kwa kuongea na simu ukiwa unaongea maneno haya

" ile kazi nimekamilisha na zoezi limeenda viziri bila kuacha ushahidi. Na wala sikupata usumbufu katika kuitekeleza japokua walikua wajeda wenye mafunzo lakini niliwadhibiti.

Kutokana na usiku kua mkubwa naona hizi bastola nije nazo Kesho asubuhi napokuja kuchukua pesa yangu ya malipo nitakuja kukabidhi ambazo bado zina risasi mpaka muda huu "
Nimecheka sana sio kwa mikwara hii.
 
Honestly Bora utapeliwe yaani uibiwe kwa maneno kuliko kuibiwa kwa kuwekewa kisu, nondo kichwan au shingoni.

Leo jion ktk pita pita zangu nmekuta story ya boda boda kutapeliwa simu ya laki 2 muda mfupi uliopita.

Jamaa kawakuta washkaji kijiwe Cha boda, alkua anakula muhindi. Akagawa muhind huku salamu zinaendekea.

Mwisho kamchagua mmoja kwamba ampekeke eneo la duka hardware ili akanunue malumalu.

Kufika dukani akatok nje alipo simama boda na kumwambia, eeh bwana malumalu nilizoagizwa na bosi sijaziona Sasa naazima simu yako nipige picha hizi zilizopo nikamuoneshe bosi Kama atazipenda turud nizichukue.

Jamaa bila hiana akashuka kweny boda na kuingia ndan ya duka, wakashirikiana kupiga picha baada ya kumaliza wakapand boda wakaondok kuelekea umbali wa km 15 aliko bosi.

Baada ya kufika getin jamaa akaomba simu ili akamuoneshe picha bosi ndani, jamaa bila wasiwasi akamtolea na kumuelekeza pattern. Jamaa akaingia ndani ya lile geti ndani kulikua na pagali halijakalabatiwa.

Jamaa alisubir baadae akapiga simu kweny namba yake, akapokea akasema ndo namalizia mazungumzo nakuja.

Mweee, baada ya dakika 15 akapiga akajibiwa na yule binti wa mtandaoni kwamba hiyo namba haipatikan.!!

Oooh jamaa ndo anazinduk.! Kibaka kaingilia mlango wa Mbele kaenda kutokea mwisho wa fensi ambayo ilkua haijakamilika.

Jamaa kuchukia hawezi amebaki kutabasamu tu haamin alivyo pigwa pigwa.!!

Vibaka wapumbavu sana.
matapeli wanatumia akili nyingi sana zaidi ya Phd holder.
 
Iyo ya kupita sehem za madada poa ilishsnikuta. Nilipaki gar maeneo yao nikisubir mtu flani. Mara ghafla defenda iyoo. Wakafika na mikwara yao chap nmeshapigwa pingu ( ndyo ilikuwa mara ya kwanza kufungwa pingu). Nilikoma nao huku nikijiamini sina kosa lolote. Maana wao walidai nilikuwa nafanya mapenzi ndani ya gar na wadada poa ila walivyokuja akakimbia. Mimi nilieauliza ushahidi wa tuhuma yao wakawa wanajigata ngata tu. Tulienda hadi kituoni wakinitishia kunilaza ndani hadi J3 ila mimi nikaona poa tu maana haiwezekani mwanaume unafikisha miaka 30 hata hujawai kulala maabusu. Ila ujasir na kutojali mikwala yao uliwashangaza sana hata kwenye kauta ya kituo hawakunifikisha. Wakaniachia tu apo nje kuwa nisiendelee kuwapotezea muda. Hata mia mbovu hawakupata.


Ila al in all nilijifunza hao jamaa ukiwa muoga wanakupanda kichwani.
Ungebabaika wangekupiga hela ya haraka haraka ndio ilikuwa lengo
 
Maelezo yamejitosheleza kabisa, kwa sisi mapopo umeeleweka, nimepitia mikasa mitatu kati ya hiyo mitano.
 
Ukifika sehemu yenye historia ya vibaka tengeneza scripts hata kwa kuongea na simu ukiwa unaongea maneno haya

" ile kazi nimekamilisha na zoezi limeenda viziri bila kuacha ushahidi. Na wala sikupata usumbufu katika kuitekeleza japokua walikua wajeda wenye mafunzo lakini niliwadhibiti.

Kutokana na usiku kua mkubwa naona hizi bastola nije nazo Kesho asubuhi napokuja kuchukua pesa yangu ya malipo nitakuja kukabidhi ambazo bado zina risasi mpaka muda huu "
Hiyo ukiwa Nanjilinji sawa..
Paka waa mjini wako very inquisitive. Mpaka tujue kweli imo!? Au unatuendesha!?

Kwa script hiyo ndio Kama umewaita vile. We pita kimya tu ukiwa umejiamini.. without give aways.
 
Yaani ile staili hata uwe msomi vipi huwezi kuishtukia maana ni vitu ambavyo tunavifanya sana kuaminiana na kuazimana simu.
Ukiona mtu anaiba kwa kutumia akili ujue msomi inawezekana ana form six, Masters au digrii.

Ukiona unakabwa roba ujue vibaka wa darasa la saba.

Mimi ni Bora nikutane na msomi aniibie kwa ujinga wangu japo inauma, ila sio hawa vibaka wanaweza kuua hawanaga hasara.

Mwingine yupo humu anaitwa yoashi alitupiga humu JF siji sahau.!! Alikuja na ishu ya ku track simu zilizo ibiwa.
Dah acha tu.!
 
Ukiona mtu anaiba kwa kutumia akili ujue msomi inawezekana ana form six, Masters au digrii.

Ukiona unakabwa roba ujue vibaka wa darasa la safa.

Mi Ni Bora nikutane na msomi aniibie kwa ujinga wangu japo inauma, ila sio hawa vibaka wanaweza kuua hawanaga hasara.

Mwingine yupo humu anaitwa yoashi alitupiga humu jf siji sahau.!! Alikuja na ishu ya ku track simu zilizo ibiwa.
Dah acha tu.!
Ila kweli wasomi pia wapo hata wale jamaa wa Ile pesa tuma kwenye namba hii wengi wao ni wasomi.
Sasa huyo jamaa wa Jf aliwaibiaje alivyosema mutrack simu zilizoibiwa?
 
Back
Top Bottom