Mambo ya kuchunga ukitembea mjini usiku

Mambo ya kuchunga ukitembea mjini usiku

Hiyo ya kupita sehemu za madada poa ilishanikuta. Nilipaki gari maeneo yao nikisubiri mtu fulani. Mara ghafla defenda iyoo. Wakafika na mikwara yao chap nmeshapigwa pingu ( ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kufungwa pingu). Nilikoma nao huku nikijiamini sina kosa lolote

Maana wao walidai nilikuwa nafanya mapenzi ndani ya gari na wadada poa ila walivyokuja akakimbia. Mimi niliwauliza ushahidi wa tuhuma yao wakawa wanajing'ata ng'ata tu. Tulienda hadi kituoni wakinitishia kunilaza ndani hadi J3 ila mimi nikaona poa tu maana haiwezekani mwanaume unafikisha miaka 30 hata hujawai kulala maabusu. Ila ujasiri na kutojali mikwala yao uliwashangaza sana hata kwenye kauta ya kituo hawakunifikisha. Wakaniachia tu hapo nje kuwa nisiendelee kuwapotezea muda

Hata mia mbovu hawakupata.

Ila all in all nilijifunza hao jamaa ukiwa muoga wanakupanda kichwani.
Maeneo ya madada poa ni ya kukaa nayo mbali aisee,yana mambo mengi,ukitaka mzigo we nenda kwenye bar kubwa,wahudumu wote wapo sokoni,na kama hayupo sokoni anaweza kukuunganishia mtu.pia mitandaoni wapo.kikubwa mkielewana wewe ndio umpeleke chimbo,sio yeye akuongoze wewe utaumia
 
Hiyo ya kupita sehemu za madada poa ilishanikuta. Nilipaki gari maeneo yao nikisubiri mtu fulani. Mara ghafla defenda iyoo. Wakafika na mikwara yao chap nmeshapigwa pingu ( ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kufungwa pingu). Nilikoma nao huku nikijiamini sina kosa lolote

Maana wao walidai nilikuwa nafanya mapenzi ndani ya gari na wadada poa ila walivyokuja akakimbia. Mimi niliwauliza ushahidi wa tuhuma yao wakawa wanajing'ata ng'ata tu. Tulienda hadi kituoni wakinitishia kunilaza ndani hadi J3 ila mimi nikaona poa tu maana haiwezekani mwanaume unafikisha miaka 30 hata hujawai kulala maabusu. Ila ujasiri na kutojali mikwala yao uliwashangaza sana hata kwenye kauta ya kituo hawakunifikisha. Wakaniachia tu hapo nje kuwa nisiendelee kuwapotezea muda

Hata mia mbovu hawakupata.

Ila all in all nilijifunza hao jamaa ukiwa muoga wanakupanda kichwani.
Usikariri mzee,
 
Huu uzi nimeukubali ......hata hivyo niliwahi kutoka Taifa mpaka Buguruni kuanzia mida ya saa sita usiku....mbinu nlizotumia kukwepa kunyongwa ni mwendo usiotabirika mara niende fasta mara niende slow mara nivuke barabara au nikiona machalii washanichorea draft wanikabe nahamia katikati ya barabara kwenye taaa.....Mazee nilifika Buguruni nikiwa nimekwepa majaribio kama Kumi hivi wengine waliishia kucheka tu kila nilipokuwa nawachezesha draft..
 
Ukitembea usiku hakikisha mwanaume hauvai suruali mlegezo na umekaza mkanda vizuri kwa ajili ya kuwa tayari na lolote. Epuka kuvaa viatu vya wazi (kobaz) zitakupunguza mwendo ukifika muda wa kuamsha rally na kina Bolt.

Yeyote atakae kusimamisha usikubali kusimama wala ukiitwa hata kwa jina lako usiitike kikubwa jiandae na marathon. Usitembee huku umeweka earphone kusikiliza muziki kwani itakufanya upunguze umakini.

HAKIKISHA UMEBEBA MAWE SIO CHIN YA 3 AMBAYO YAKIMKUTA ADUI KILA JIWE MOJA ANAZO NYUZI 6 KUENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app
senge wew
 
Tujitahidi kuwa na dereva bodaboda hata watatu waaminifu na wanaojali muda na kuitikia wito haraka hii itasaidia sana, bodaboda mmoja ni kwa ajili ya huduma za nyumbani, mwingine kwenye harakati binafsi na mwingine kwenye mambo yetu
 
Tujitahidi kuwa na dereva bodaboda hata watatu waaminifu na wanaojali muda na kuitikia wito haraka hii itasaidia sana, bodaboda mmoja ni kwa ajili ya huduma za nyumbani, mwingine kwenye harakati binafsi na mwingine kwenye mambo yetu
Boda boda ndio hatari kabisa( sio wote) wakijua ratiba zako na mishe zako ndio wachora ramani na wauza ramani za matukio
 
Kwenye Kona usiku usiingie kichwa kichwa ichukulie kwa mbali tena nashauri ukiikaribia beba mawe kabisa ukisikia mtikisiko wowote vurumisha mawe tu tena huku unatoka mbio..
 
Ukitembea usiku hakikisha mwanaume hauvai suruali mlegezo na umekaza mkanda vizuri kwa ajili ya kuwa tayari na lolote. Epuka kuvaa viatu vya wazi (kobaz) zitakupunguza mwendo ukifika muda wa kuamsha rally na kina Bolt.

Yeyote atakae kusimamisha usikubali kusimama wala ukiitwa hata kwa jina lako usiitike kikubwa jiandae na marathon. Usitembee huku umeweka earphone kusikiliza muziki kwani itakufanya upunguze umakini.

HAKIKISHA UMEBEBA MAWE SIO CHIN YA 3 AMBAYO YAKIMKUTA ADUI KILA JIWE MOJA ANAZO NYUZI 6 KUENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app
mawe
 
Ukifika sehemu yenye historia ya vibaka tengeneza scripts hata kwa kuongea na simu ukiwa unaongea maneno haya

" ile kazi nimekamilisha na zoezi limeenda vizuri bila kuacha ushahidi. Na wala sikupata usumbufu katika kuitekeleza japokua walikua wajeda wenye mafunzo lakini niliwadhibiti.

Kutokana na usiku kua mkubwa naona hizi bastola nije nazo Kesho asubuhi napokuja kuchukua pesa yangu ya malipo nitakuja kukabidhi ambazo bado zina risasi mpaka muda huu "
Sasa mkuu,kama polisi wapo chimbo wamejibana wanakusikia unavopiga huu mkwara mbuzi si itakuwa balaa?
 
Aahahahahahaa huu uzi unafanana na uzi mmoja ulikuwa unasema namna ya kufanya ukikutana na simba porini ili utoke salama.

Comments za wadau ziliniumiza mbavu aiseeh looh.
 
Ukifika sehemu yenye historia ya vibaka tengeneza scripts hata kwa kuongea na simu ukiwa unaongea maneno haya

" ile kazi nimekamilisha na zoezi limeenda vizuri bila kuacha ushahidi. Na wala sikupata usumbufu katika kuitekeleza japokua walikua wajeda wenye mafunzo lakini niliwadhibiti.

Kutokana na usiku kua mkubwa naona hizi bastola nije nazo Kesho asubuhi napokuja kuchukua pesa yangu ya malipo nitakuja kukabidhi ambazo bado zina risasi mpaka muda huu "
 
Tujitahidi kuwa na dereva bodaboda hata watatu waaminifu na wanaojali muda na kuitikia wito haraka hii itasaidia sana, bodaboda mmoja ni kwa ajili ya huduma za nyumbani, mwingine kwenye harakati binafsi na mwingine kwenye mambo yetu
Usiruhusu watu wajue ratiba yako kwa undani. Wajue utarudi nyumbani saa ngapi haiwahusu.. wewe Ndiye unayewaweka kwenye ratiba yako Sio wao. Don't just trust everybody.. it's safe that way. Na usiage age Sana.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom