mambo ya Ku order online hayoo

mambo ya Ku order online hayoo

Mr Mikazo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2016
Posts
1,595
Reaction score
806
fe25d9577c925e9bc7dc0dad7d868008.jpg


Hatari sana kwa maisha ya masharobaro
 
kuna kiji mtandai hao UG , walitangaza trousers kali kweli za jeans na mimi ndio ulevi wangu, tena waka weka picha za jeans designer kabisa.... nikafanya order nikalipa waka deliver kwa rafiki yangu kampala mimi naish ushago hapa... jama alivyonitumia kwa Bus , kimuhe muhe balaa .... kwenda fungua nusu nilie na utu uzima huu... maana ni kama zile za tengeta zile wazipendazo ndugu zangu mwakeye kabla hawaja janjaruka... mpaka leoo ziko kabatini tu
 
kuna kiji mtandai hao UG , walitangaza trousers kali kweli za jeans na mimi ndio ulevi wangu, tena waka weka picha za jeans designer kabisa.... nikafanya order nikalipa waka deliver kwa rafiki yangu kampala mimi naish ushago hapa... jama alivyonitumia kwa Bus , kimuhe muhe balaa .... kwenda fungua nusu nilie na utu uzima huu... maana ni kama zile za tengeta zile wazipendazo ndugu zangu mwakeye kabla hawaja janjaruka... mpaka leoo ziko kabatini tu
Sasa kabatini unaweka za nn mkuu wape ambao wanaweza kuzivaa
 
kuna kiji mtandai hao UG , walitangaza trousers kali kweli za jeans na mimi ndio ulevi wangu, tena waka weka picha za jeans designer kabisa.... nikafanya order nikalipa waka deliver kwa rafiki yangu kampala mimi naish ushago hapa... jama alivyonitumia kwa Bus , kimuhe muhe balaa .... kwenda fungua nusu nilie na utu uzima huu... maana ni kama zile za tengeta zile wazipendazo ndugu zangu mwakeye kabla hawaja janjaruka... mpaka leoo ziko kabatini tu
hahahahaha
 
kuna kiji mtandai hao UG , walitangaza trousers kali kweli za jeans na mimi ndio ulevi wangu, tena waka weka picha za jeans designer kabisa.... nikafanya order nikalipa waka deliver kwa rafiki yangu kampala mimi naish ushago hapa... jama alivyonitumia kwa Bus , kimuhe muhe balaa .... kwenda fungua nusu nilie na utu uzima huu... maana ni kama zile za tengeta zile wazipendazo ndugu zangu mwakeye kabla hawaja janjaruka... mpaka leoo ziko kabatini tu
Ndo madhara ya uchoyo.unainunia mpaka jinsi...si gawia hao hao uwasemao
 
Back
Top Bottom