Kinana si mtu wa kupuuzwa, ni strategist na mchapakazi wa kweli, lazima mhangaike kumchafua kwa salama yenu.
Tambua kuwa Msomali hata akiendesha baisikeli atagonga watoto mtaani. Kinana ni hatari kuliko shetani, tuombe mungu atunusuru.Tanzania imetajwa kama moja ya nchi zinazoongoza kwa ujangili na hasa biashara ya pembe za ndovu duniani. Sasa inatajwa kama nchi mojawapo hatari kabisa kwa wanyama wa porini duniani.Nchi nyingine ni Kenya na Uganda.Ikumbukwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM,Abdurahman Kinana alishutumiwa waziwazi na Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii,Mchungaji Peter Msigwa, kuwa ni kinara wa biashara ya pembe za ndovu. Nchi zilizotajwa kuongoza katika ununuzi wa pembe za ndovu ni China,Thailand,Vietnam,Malaysia na Ufilipino. Nini kifanyike waungwana ili kuwalinda wanyama wetu hasa tembo? Habari kamili ni kwenye Mwananchi la leo uk wa 1 na 4. Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam.
huna unachokijua wala huelewi kitu tukupe pole kwa vile hujui kinachoendelea hapa tanzania.
Kinana si mtu wa kupuuzwa, ni strategist na mchapakazi wa kweli, lazima mhangaike kumchafua kwa salama yenu.
Pongezi zote ziende kwa kinana.
huna unachokijua wala huelewi kitu tukupe pole kwa vile hujui kinachoendelea hapa tanzania.
Awwepo kwenye list ya waliofanya juhudi binafsi za Tanznaia kujulikana kimataifa.kwahiyo unataka awemo kwenye list ya mashujaa wa nnji hii sio?
...Ni kweli hatakiwi kupuuzwa na ana strategies kali. Tangu kuua, kung'oa meno hadi kusafirisha hajakamatwa na wala meli zake hazijataifishwa - badala yake waziri anayetakiwa kumkamata anamtetea. Ni watu wachache sana Tz wenye strategies kali kama za Kinana. namfananisha na Chenge wa rada na Lowasa wa Richmond. CCM wamejaa mastrategists kibao.Kinana si mtu wa kupuuzwa, ni strategist na mchapakazi wa kweli, lazima mhangaike kumchafua kwa salama yenu.
kwahiyo unataka awemo kwenye list ya mashujaa wa nnji hii sio?