Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
- Thread starter
- #21
hii ndio bongo new york zikijengwa flyovers za JK ndi twaweza kuwa zaidi
Junius mbona zipo za kumwaga tu, hela yako tu, muulize Mzee wa Vijicent alivyogonga Bajaj alikua atokea wapi?zina kiza hizo apart of the lights on the stage hata jirani yako humtambui:becky:Si mda mrefu,kama bado, bongo kutakuwa na strip clubs, laps dancers na porn stars...watakaoandikwa magazetini kama wasanii wa kawaida..hongereni wabongo wakati wenzenu wanafanya kwa starehe nyinyi mnafanya kwa njaa na ziki...!
Hivi bila uchafu huo ufunguzi haukamiliki? Tanzania bila ukimwi inawezekana?