Mnakula mivyakula ya mafuta na mijuke food matokeo yake mnashindwa kusimamisha Mashine vizuri na kuwa na ufanisi unaanza kusingizia wafanyakazi wa Guest!!
Anza kula ugaali wa dona samaki wakavu, wabichi, mboga za majani, na asali ya nyuki wakali wakali na usisahau mazoezi huone kama kuna mtoto wa kike atakusema vibaya.