Mambo ya fuatayo yatakusaidia.

Mambo ya fuatayo yatakusaidia.

SirSuleiman

Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
80
Reaction score
8
Emmanuel MichaelkmNapenda nitoe maneno yafuatayoMtu mwenye sifa zifuatazo anafaa kuwa mke wangu au mkeo au mmeo
1.Awe mwenye heshima
2.Anaye mjua mungu japo mara moja kwa wiki
3.Asiwe mwepesi wa kulaumu bila sababu za msingi
4.Mwenye kusamehe
5.Mchapa kazi
6.Mwenye mapenzi ya kweli.
7.Mtiifu
8.Msikivu
9.Anaye kubali ushauri
10.mtulivu


TOA MAONI YAKO
Pia naomba unipige tafu kwa kubonyeza hapo chini
TWENDE KAZI
Niambie kama nimekose maana hakuna mwana wa adamu ambaye yuko kamili asilimia zote waweza nipa maoni yako hapo chini ama kwa kubonyeza hapo juu
 
Huruma ata kwa rafiki majirani.atakufaa.maana kuna wale waitwaga mama huruma.nawapendaga sana.
 
Namba mbili hapo? Kumjua mungu mara moja? Unamanisha ile kumjua mungu kwa kwenda kusali ijumaa/jpli?

Mkuu fanya marekebisho hapo.
 
Asiwe na tamaa kudaiwa pesa kila kona
 
Mkuu unapoteza Mda wako tu,Hakuna Mwanamke Mwenye Hizo sifa zote Hapo Juu
,Mathalani sifa ya 5 na ya 10 Zinapingana.Huwezi kuwa Mchapa-kazi na wakati Huo huo Ukawa Mtulivu.

Atakayejitahidi sana,anaweza kuwa na sifa 5 tu kati ya Hiz😵therwise tafuta Majini
 
Mkuu unapoteza Mda wako tu,Hakuna Mwanamke Mwenye Hizo sifa zote Hapo Juu
,Mathalani sifa ya 5 na ya 10 Zinapingana.Huwezi kuwa Mchapa-kazi na wakati Huo huo Ukawa Mtulivu.

Atakayejitahidi sana,anaweza kuwa na sifa 5 tu kati ya Hiz😵therwise tafuta Majini

kwani inashindikana kufanyakazi na kuwa mtulivu kwa mkeo au kutokuwa na michepuko?
 
Mkuu unapoteza Mda wako tu,Hakuna Mwanamke Mwenye Hizo sifa zote Hapo Juu
,Mathalani sifa ya 5 na ya 10 Zinapingana.Huwezi kuwa Mchapa-kazi na wakati Huo huo Ukawa Mtulivu.

Atakayejitahidi sana,anaweza kuwa na sifa 5 tu kati ya Hiz😵therwise tafuta Majini

Mkuu mchapakazi na mtulivu mbona ni vitu viwili ambvyo huweza kukaa pamoja kwa mtu mmoja pasipo kila moja kuathiri jingine
 
Kila mtu anatabia zake. Ukiamua muone tu.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom