FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,068
Ukiwa Mtu wa calture Wazungu wanazimika sana.Aisee mkuu, mimi hua nataka kuoa mzungu .itabidi nifanye reasearch
Huku Arusha siku hizi hatushangai tena kukutana na Mzungu chocho za Ngalimi, Matejoo.
Ukiwa Mtu wa calture Wazungu wanazimika sana.Aisee mkuu, mimi hua nataka kuoa mzungu .itabidi nifanye reasearch
Kuna ukweli hapo ndugu?Ukiwa Mtu wa calture Wazungu wanazimika sana.
Huku Arusha siku hizi hatushangai tena kukutana na Mzungu chocho za Ngalimi, Matejoo.
Sijui ndo tuite kuoa au nn! Njaa mbaya sanaHivi huyu msela kaoa ? Naonaga anaishi kigumu mno
Wamaanisha njaa kwake Fid, ama?Sijui ndo tuite kuoa au nn! Njaa mbaya sana
Toba,Jamaa anajichubua
Ungetanguliza neno 'inasemekana lakini'Jamaa anajichubua
Ushahidi upi unataka hadi ukute abdala kichwa waz kazama shimoni?Una uwakika
LL Cool J...."when am alone in my room