JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 766
- 562
Jamaa kanikumbusha enzi hizo, mpaka leo ukiniamsha usingizini napiga hiyo verse ya ya kwabza ya LL Cool J yote,
Huyu Msela stori zake hazipo wazi sana.Hivi huyu msela kaoa ? Naonaga anaishi kigumu mno
Ndo maana hasomeki kabisa by the way ni lifestyle nzuriHuyu Msela stori zake hazipo wazi sana.
Yupo na dem 1 anajiita mamacheusi dawa na fid hapindui hapo.Huyu Msela stori zake hazipo wazi sana.
Una uwakikaYupo na dem 1 anajiita mamacheusi dawa na fid hapindui hapo.
Cheusi dawa ni jina la Demu au brand?Yupo na dem 1 anajiita mamacheusi dawa na fid hapindui hapo.
Kweli, namsikaga anasema cheusi dawa entertainment.Cheusi dawa ni jina la Demu au brand?
Huyo mamacheusi ndio mpango kwa jamaa naona wanarushana sana huko mitandaoni.Una uwakika
Kumsoma ni kwa shiiiida.Ndo maana hasomeki kabisa by the way ni lifestyle nzuri
Una uwakika
Ya kweli hayo?naskia kanyoa para
Hivi huyu msela kaoa ? Naonaga anaishi kigumu mno
Huyu Msela stori zake hazipo wazi sana.
Ndo maana hasomeki kabisa by the way ni lifestyle nzuri
Yupo na dem 1 anajiita mamacheusi dawa na fid hapindui hapo.
Cheusi dawa ni jina la Demu au brand?
Kweli, namsikaga anasema cheusi dawa entertainment.
Huyo mamacheusi ndio mpango kwa jamaa naona wanarushana sana huko mitandaoni.
Kumsoma ni kwa shiiiida.
Hahahaha, Farid baba wa watoto wawili Mama tofauti ,mtoto mmoja kazaa na mtoto wa kigogo wa zamani yuko humu JF ,mwingine kazaa na mzungunaskia kanyoa para
Ooh ila hawa watu sijui wanawapataga wapi hao wazunguHahahaha, Farid baba wa watoto wawili Mama tofauti ,mtoto mmoja kazaa na mtoto wa kigogo wa zamani yuko humu JF ,mwingine kazaa na mzungu
Maskani Mikocheni B ,kijiwe sofa ,ana project zake kadhaa ,binafsi nimewahi kufanya nae kazi kadhaa kupitia balozi ya US
Aaah Mkuu, binafsi ningehitaji mzungu ningeisha zaa nae long time,mzungu sio dili hasa ukifanya wanayotaka , mtazame Faridi na watazame wengine walizaa na wazungu ndio utajua wazungu wanataka MTU wa aina ganiOoh ila hawa watu sijui wanawapataga wapi hao wazungu
Aisee mkuu, mimi hua nataka kuoa mzungu .itabidi nifanye reasearchAaah Mkuu, binafsi ningehitaji mzungu ningeisha zaa nae long time,mzungu sio dili hasa ukifanya wanayotaka , mtazame Faridi na watazame wengine walizaa na wazungu ndio utajua wazungu wanataka MTU wa aina gani
Fanya research utaona kitu ,ila base kwa waliopata wazungu wakiwa TanzaniaAisee mkuu, mimi hua nataka kuoa mzungu .itabidi nifanye reasearch