Mambo wanayopitia wadada kabla ya ndoa

Mambo wanayopitia wadada kabla ya ndoa

Wadada wanakazi sana nakumbuka tukiwa high school kuna mwanetu mmoja alikua anamchukua head girl wameeenda siku ya siku wakazinguana jamaa alichoamua ni kumtoa sadaka kwa machizi aliwe mtungo ilikua wahuni kama nane hivi, kuanzia saa moja watu wameingia prepo hadi ucku mbaya watu wanajigongea tu, demu katoka hajiwezi hata kutembea tukamsaidia hadi bwenini mwenyewe analia akitishia kujiua, ila sasa ni gov officer na pia mke wa mtu nimekutana nae majuzi akiwa na mme wake demu yuko na furaha sijui kama amemwambia mme wake wa sasa kuwa amewahi kupigwa mtungo!
Hatari sana mtungo mademu wengi wamepigwa sema basi tu wanasiri sana me nawajua mademu takribani kumi ambao waliwahi chezea mtungo na wengine ni wake za watu
 
Wadada wanakazi sana nakumbuka tukiwa high school kuna mwanetu mmoja alikua anamchukua head girl wameeenda siku ya siku wakazinguana jamaa alichoamua ni kumtoa sadaka kwa machizi aliwe mtungo ilikua wahuni kama nane hivi, kuanzia saa moja watu wameingia prepo hadi ucku mbaya watu wanajigongea tu, demu katoka hajiwezi hata kutembea tukamsaidia hadi bwenini mwenyewe analia akitishia kujiua, ila sasa ni gov officer na pia mke wa mtu nimekutana nae majuzi akiwa na mme wake demu yuko na furaha sijui kama amemwambia mme wake wa sasa kuwa amewahi kupigwa mtungo!
Duu mbaya sana hiyo siku naye mwanaye akafanyiwa hivyo au dada yake atajisikia vipi.
Halafu nawe amwambie mmewe ili iweje! Huyo mtoto wakiume baada ya kumfanyie mwenzie alipata faida gani?
 
Maana yake nini. Mimi mpaka naogopa mleta ex wangu Maana tumerudiana ila home wanajua mkasa ulivyptokea sipati picha dada yangu atakavyonisema anamdomo huyo
Mfano ni kama Diamond
 
Wakuu, nawasalimu.

Leo naomba wadada waje hapa watueleze namna wanayopitia katika mahusiano ya mapenzi ya awali hadi kufikia uchumba.

Pia vikwazo wanavyovipata na maumivu wayapatayo kwenye mahusiano.

Kama mjuavyo wakuu mpaka dada afikie hatua ametulia na mtu mmoja anakuwa amepitia mengi.

Mimi sitasahau nilikuwa na beb wangu shost wangu akamchukua mazima.

Ila Mungu mwema kwa kupitia JF Love Connect ikanipatia mume mwema..

Sasa mimi ni mama wawili...

Karibuni
Sasa wewe naye ulimtangazia shosti wako kwa bebi wako ili iweje??
 
Wakuu, nawasalimu.

Leo naomba wadada waje hapa watueleze namna wanayopitia katika mahusiano ya mapenzi ya awali hadi kufikia uchumba.

Pia vikwazo wanavyovipata na maumivu wayapatayo kwenye mahusiano.

Kama mjuavyo wakuu mpaka dada afikie hatua ametulia na mtu mmoja anakuwa amepitia mengi.

Mimi sitasahau nilikuwa na beb wangu shost wangu akamchukua mazima.

Ila Mungu mwema kwa kupitia JF Love Connect ikanipatia mume mwema..

Sasa mimi ni mama wawili...

Karibuni
Hivi kumbe na nyie hua mnapitia maumivu
Ngoja niusome uzi mpaka mwisho nijifunze aisee
 
Mimi nilisoma chuo na kaka handsome wangu, tukawatunajishughulisha sana kutafuta pesa tangu tupo chuo. Tulikuwa na ka mradi ka kufuga kuku wakisasa japo tulikuwa tunafuga kwa taabu sana ila walikuwa wanatusaidia matumizi, dada yangu ndio alikuwa anasimamia mradi wetu wa kuku. Tukakamaliza masomo mwenzangu akapangiwa kazi Temeke mimi Pwani, jamaa akaishia kusepa na secretary wake, kisa alimpa mimba! Looo! nilipita maiaka kama miwili hivi
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom