Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,395
jiananume la kununa nuna ni ushamba na mjinga pia mtu kakukosea mwambie... huna furaha sema leo sina furaha bosi kanitukana ili mimi nijue nakutreat vipi? umekuja umejinunisha unataka mimi nikusidiaje ... ukisema umekasirika kwa 1,2,3 na unatamani ufanyiwe nini naweza toa msaada... si umekuja umenuna mimi nikushike kiuno kumbe unahitaji kushikwa nywele muwe mnaongea...
- kuvua suruali na kuiacha chini
-kuingia ndani na viatu wakati tunadeki
-kuandikiwa sms ndefuuuu ye anajibu ."ok"
-kumaliza ugomvi kwa kusema "hayaishi"
-kutoa hela na kuuliza "enh kwani umefanyia nini'
kutoa compliments kimoyomoyo but complains kiwaziwazi
-kufutia viatu vitambaa /nguo yyte iliyopo mbele yake
-kuweka miguu juu ya meza
enhenhenhenhrnhe vitu vidogooooooooooooo ila vinatukeeeeeeeeeeera!
..nafanya hivyo kwa sababu anakuja getto kwangu huku ameshavua skin tight, anakata mauno....teh!!! Lakini kama angejitunza wala sina mda wa kumlala mtu kabla ya kumuoa.
Some of the comments make very excellent points. Thank you.
But u miss chagga & Co. have negative perception on Men! And on less serious note, Men: be aware of these girls!
Mkuu...Na kama huko tayari kuhudumia mbona walala nae kama mkeo?
Kila mtu ana bahati yake unaweza kumpata mtoaji wee ukikohoa tuu bby chukua hizi nenda hospital ,Lakini mwingine sasa hadi bajaji unajikodia yeye anakodoa macho tuu lakini yote heri maisha yanasonga.Kila mtu anavigezo vyake wewe anaweza akawa bahili au anavisirani lakini mambo mengine yote yakawa poa weakness zake nyingine zikamezwa na mazuri yake.
Mkuu...kwemaaa???
Ok, napenda kujuzwa, hivi tunapeana au wewe unanipa ? hivi mimi peke yangu ndio naenjoy au sote? nijibu hapa....
Mbona mimi huwa mswitie akiwa na genye ananiomba nkampoze? je namimi nimchaji? nina maswali meengi sana kuhusu mnavyotuchukulia.
Turudi kwenye topic, hayo ulosema hayatakiwi kwa both side (ke & me) sababu wote mnapendana na sio mimi (me) ndio nakupenda wewe tu.
Hapo hapo binti akiwa na msimamo wake mnashangaa mnaleeta hadi uzi huku eti shake well sasa hivi unasema nini Eli79
Kama ananipa paupichi kama msaada kwanini anataka awe peke yake? kwanini analia na kulalama nnapochepuka?? Na kwanini ananiongopea kua naye ananipenda alama ya upendo iko wapi hapa? Ananipenda au anapenda pesa zangu? Hapa akumbuke huu usemi wa msanii fulani wa bongo fleva "Ntakutumia kama unavyotumia hela zangu".Hawa viumbe wengine wa ajabu sana mkuu! Ndio maana nilimuuliza Kwan papuchi unauza?
Kujinunisha ,Uchoyo ,Ubahili ni shida unaweza kukuta mwanaume hata kukupigia simu hawezi yeye ni kutuma mamessage tu wee kila mara ukimpigia akikuta call yako anakutumia sms tena bby , love call me back jamnai hata kuweka crdt ya shillingi elfu moja ni shida . Kuna wanawake wanapambana kutafuta pesa lakini kuna muda mambo huwa yanakwama muda huo basi mpenzi au mume na wewe umplay karole kako hata kidogo bado shida hii ni kero kweli Miss Chagga
miss chagga, ina maana mzee akisusa unaingia mchepuko....
[/LIST]
Mkuu...
Usiseme nalala nae kama mke kumbuka yeye ni mtu mzima pia, nayeye analala na mimi kama mume wake. sema tunalala kama wana ndoa sababu sote kwa hiari yetu na makubaliano yenye ridhaa zetu sote tumeamua.
hivyo hapa tunahudumiana ndio maisha kusaidiana na sio kuchunana! sababu tunapendana na sio nakupenda peke yangu. wewe pia unanipenda. ingekua wewe ni mtoto au mgonjwa wa akili ningekuhudumia sababu hukuamua kwa akili yako huru kulalala na mimi.....
sawa mkuu Khantwe ???
Kama ananipa paupichi kama msaada kwanini anataka awe peke yake? kwanini analia na kulalama nnapochepuka?? Na kwanini ananiongopea kua naye ananipenda alama ya upendo iko wapi hapa? Ananipenda au anapenda pesa zangu? Hapa akumbuke huu usemi wa msanii fulani wa bongo fleva "Ntakutumia kama unavyotumia hela zangu".
Zorrande huyu ni mwanaume ana miaka 37 .Kuna watu hata awe na miaka 60 kuna tabia wanakuwa nazo kiasi kwamba ile hadhi ya uanaume inakua haipo sanaHawa wavulana wa hv mnawapata wapi!!!!!!!????