Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

 
- kuvua suruali na kuiacha chini
-kuingia ndani na viatu wakati tunadeki
-kuandikiwa sms ndefuuuu ye anajibu ."ok"
-kumaliza ugomvi kwa kusema "hayaishi"
-kutoa hela na kuuliza "enh kwani umefanyia nini'
kutoa compliments kimoyomoyo but complains kiwaziwazi
-kufutia viatu vitambaa /nguo yyte iliyopo mbele yake
-kuweka miguu juu ya meza
enhenhenhenhrnhe vitu vidogooooooooooooo ila vinatukeeeeeeeeeeera!
 
[QU OTE=miss strong;10019203]
Hii dunia haipo fair kabisa kikolo....kuna watu wanakula pesa za hao wanaoitwa bahili kiulaniiiii kabisa na huduma juu.

It's all about love and timing sio mtu anataka hela bila mpango, sitoi ng'o!!
 
Na kama huko tayari kuhudumia mbona walala nae kama mkeo?

..nafanya hivyo kwa sababu anakuja getto kwangu huku ameshavua skin tight, anakata mauno....teh!!! Lakini kama angejitunza wala sina mda wa kumlala mtu kabla ya kumuoa.
 
Ahsante miss chagga .natumai ujumbe umewafikia wanaume wachache wa JF.
 
Kila mtu ana bahati yake unaweza kumpata mtoaji wee ukikohoa tuu bby chukua hizi nenda hospital ,Lakini mwingine sasa hadi bajaji unajikodia yeye anakodoa macho tuu lakini yote heri maisha yanasonga.Kila mtu anavigezo vyake wewe anaweza akawa bahili au anavisirani lakini mambo mengine yote yakawa poa weakness zake nyingine zikamezwa na mazuri yake.
 
Mwanaume atatimiza majuku yake pale tu akicha gundua kuwa ww ni wathamani kwake..
So nijukumu la nyinyi wanawake kuwathamini wanaume zenu kwanza ndio muanze kuongea Kuhusu majukumu ya mwanamke.
 
Don't hate the player, hate the game. Play your cards right and I will make the money rain on you.
 
..nafanya hivyo kwa sababu anakuja getto kwangu huku ameshavua skin tight, anakata mauno....teh!!! Lakini kama angejitunza wala sina mda wa kumlala mtu kabla ya kumuoa.
Hapo hapo binti akiwa na msimamo wake mnashangaa mnaleeta hadi uzi huku eti shake well sasa hivi unasema nini Eli79
 
huyo ni tatizo mkuu kwa huyo siwezi ongelae kwa sasa
 
  • miss chagga, ina maana mzee akisusa unaingia mchepuko....
 

asante kwa kuongezea mkuu
 
siyo pesa uache tabia ya kununa nuna na kuomba picha kumi kumi kila siku

Sasa picha huo ni urafiki sio ndoa wala uchumba, pesa zinatoka wapi hapo? Kwani wewe hufanyi kazi? Msingi papuchi!
 
Hapo hapo binti akiwa na msimamo wake mnashangaa mnaleeta hadi uzi huku eti shake well sasa hivi unasema nini Eli79

Gemmy, nasema kama mimi, sio kwa niaba ya wanaume wote. Tena sipendi mdada anayejirahisi, ukisema tu keshavua, nope!!! Wengi waliokata tamaa ndio wanakuwa na tabia hizo...
 
Last edited by a moderator:

da snowhite, hayo yote uliyoainisha hapo yanafanywa sana na wadada, wengi siku hizi wapo so disorganized, sijui kwa nini...
 
Last edited by a moderator:

HAHAHAHAHAAAAAAA.....
VIPI BIBIEE!!!! YAMEKUKUTA ETIEE! POLE SANA JIKAZE VUMILIA ULIE NAE NDIO YUKO HIVYO NA BORA UMEMJUA UKIJARIBU KUTAFUTA MPYA AMBAE UTATEGEMEA ATAFANYA UNAVOTAKA HAPO WANGU UTAUMIA MANA HUYO ATAKUJA NA STYLE ZAKE USIZO ZIJUA.. HIT AND RUN!!! MWISHOE NNDII..:mimba: ALAFU SHHHAAAA!!:llama:
 
da snowhite, hayo yote uliyoainisha hapo yanafanywa sana na wadada, wengi siku hizi wapo so disorganized, sijui kwa nini...
basi mna kazi!
naimagine binti kaweka miguu mezani !
 
Last edited by a moderator:
kupewa papuchi anataka lakini kumhudumia hataki...
Mkuu...kwemaaa???

Ok, napenda kujuzwa, hivi tunapeana au wewe unanipa ? hivi mimi peke yangu ndio naenjoy au sote? nijibu hapa....
Mbona mimi huwa mswitie akiwa na genye ananiomba nkampoze? je namimi nimchaji? nina maswali meengi sana kuhusu mnavyotuchukulia.

Turudi kwenye topic, hayo ulosema hayatakiwi kwa both side (ke & me) sababu wote mnapendana na sio mimi (me) ndio nakupenda wewe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…