Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mkuu hapa umeona mbali sana na tunaoandaliwa mizinga tupo wengi yaani hii mada imewapa nguvu kweli, heko kwa mtoa mada.....ila mie wimbo wangu upo palepale sin....e....l...a. kila siku mimi2


asije akaombwa gari?
 
Kaizer hujanifahamu? sijakuelewa. Unamaanisha hujanielewa au? Kama hujanielewa ni kwamba nilikuwa naongezea machache kwenye list ya miss chagga ya kero za wanaume. Mimi niite za wenzi.

Haaa namaanisha sikifahamu, ni mgeni. Hebu jitambulishe tafadhali...mimi ni Kaizer mwanafunzi mtiifu wa snowhite..mume wa DEMBA AshaDii na gfsonwin...ninachepukia kwa Vaislay na ni paroko wa mwallu na msiri wa mwaJ..hommie wa Asprin. ICHANA ni mnovisi wa parokiani kwetu pia. Karibu.
 
Last edited by a moderator:

Tunacheka lakini haya mambo ni serious. Kina mama tulee watoto wetu vizuri jameni. Haya majanga ni matokeo tu, samaki wameshakauka hawa.
 

Asante kwa kunikaribisha. Nimeshaishi humu miezi kadhaa na kwa "sura" nakufahamu ila hizi nasaba ndo nilikuwa nijazifahamu. Kutokana na siginecha yako nahofia kujitambulisha zaidi, lakini tuko pamoja.
 
Sijasema hivyo mkuu. Jukumu la kuwaangalia wazazi hasa wakiwa watu wazima ni langu. Nilichosema ni kuwa sitaki kutoa matumizi yasiyo ya lazima, hasa kwa mtu ambaye si mke wala mchumba.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa kunikaribisha. Nimeshaishi humu miezi kadhaa na kwa "sura" nakufahamu ila hizi nasaba ndo nilikuwa nijazifahamu. Kutokana na siginecha yako nahofia kujitambulisha zaidi, lakini tuko pamoja.

aaaah..nilisahau huyu Khantwe pia nina nasaba naye...jieleze jieleze..jieleze NANDERA....usiogope ukubwa wa samaki......
 
Last edited by a moderator:
Sijasema hivyo mkuu. Jukumu la kuwaangalia wazazi hasa wakiwa watu wazima ni langu. Nilichosema ni kuwa sitaki kutoa matumizi yasiyo ya lazima, hasa kwa mtu ambaye si mke wala mchumba.

Mkuu kama ni hivyo afadhari sasa ninaweza kupumua angalau kidogo. Bado mkuu sijakupata kidogo una maana gani wazazi wakiwa watu wazima? Mkuu bado ninakosa tena maana ya kusema kwa mtu ambaye si mke wala mchumba!! Jaribu kunyosha kidogo ili nipate kupumua zaidi!!
 
Huyo mtoto kama bado ni wa kujisaidia kwenye nguo, ilikuaje mamie akamwacha? Mkiachia kina baba, wawapo wakubwa, ndo hizi lawama wenzi wao wanazileta JF (Mungu aibariki wajukuu zetu waikute-in whatever form 🙂).

wapo wanaume wenzio humu wanatoa hizo huduma kwa watoto wao. Sababu ziko nyingi sana za mama kumuacha mwanae mdogo. Wengi wenye mtazamo wako hupeleka watoto kwa dada zao au mama zao wawalelee watoto mama zao wakiwaacha.
 
Kaizer hujanifahamu? sijakuelewa. Unamaanisha hujanielewa au? Kama hujanielewa ni kwamba nilikuwa naongezea machache kwenye list ya miss chagga ya kero za wanaume. Mimi niite za wenzi.

kweli nimeamini nina gundu! hata wewe hujaniona??? ngoja nikaoge magadi japo uni"deku" tu niendelee na safari zangu.

Hebu jieleze NANDERA....

Cc snowhite
 
Last edited by a moderator:
Hebu jieleze NANDERA....

Cc snowhite

ndo nini kuni -cc? sidanganyiki. Em nitimue mimi. Mmachame mimi kusutwa sijawahi na sitaki. We baki nao hao hao mi ngoja niendelee na safari. Na uwafowadie hii wajue kabisa kuwa nimefuta kauli yangu mheshimiwa. Kwah!
 

Ha ha drive it wakati gari moja kwenye nyumba
 
Mkuu hapa umeona mbali sana na tunaoandaliwa mizinga tupo wengi yaani hii mada imewapa nguvu kweli, heko kwa mtoa mada.....ila mie wimbo wangu upo palepale sin....e....l...a. kila siku mimi2
Ha ha ha acha ubahili
 

Work hard my dear oja nyepes hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…