miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,110
- Thread starter
-
- #261
mie hakuna hata moja linanihusu hapo. Ukiona mtu kakwambia tuma picha ujue wewe siyo mwaminifu na ameshajirisha kuwa upo hivyo.
Unajua mwizi huwa anahisi kila mtu mwizi mwenzie... me naamin akiwa anawivu sana ujue yeye ndiyo siyo mwaminifu
Muda mwingine huwa inakuwa ni kweli. 'I Trust You' is a better than 'I Love You' because you may not always trust the person you love but you can always love the person you Trust"
But wengi we love the person we dont trust
dikembe am in love with your ideas... ...
Miss you love. miaHata mimi hunipi jamani?
haaaahaaa....haya bana!miss chagga katika ubora wake
Atanue upeo??????????
mi nilikumithi jana uthiku na leo athubuhi athubuhi
unawahi kurudi leo?
kukuweka uwe mkakamavu na hata kitandani utaweza fanya kazi vizuri
Kujinunisha ,Uchoyo ,Ubahili ni shida unaweza kukuta mwanaume hata kukupigia simu hawezi yeye ni kutuma mamessage tu wee kila mara ukimpigia akikuta call yako anakutumia sms tena bby , love call me back jamnai hata kuweka crdt ya shillingi elfu moja ni shida . Kuna wanawake wanapambana kutafuta pesa lakini kuna muda mambo huwa yanakwama muda huo basi mpenzi au mume na wewe umplay karole kako hata kidogo bado shida hii ni kero kweli Miss Chagga
Miss you love. mia
Nitumie picha baby
- kuvua suruali na kuiacha chini
-kuingia ndani na viatu wakati tunadeki
-kuandikiwa sms ndefuuuu ye anajibu ."ok"
-kumaliza ugomvi kwa kusema "hayaishi"
-kutoa hela na kuuliza "enh kwani umefanyia nini'
kutoa compliments kimoyomoyo but complains kiwaziwazi
-kufutia viatu vitambaa /nguo yyte iliyopo mbele yake
-kuweka miguu juu ya meza
enhenhenhenhrnhe vitu vidogooooooooooooo ila vinatukeeeeeeeeeeera!