Mambo si Shwari EAC-as Kenyan celebrates Jamhuri day

Mambo si Shwari EAC-as Kenyan celebrates Jamhuri day

Hacha hasira mama, taratibu tu tutaelewana. Njoo tutafanya matanuzi beach mtoto mzuri. husiogope. huku al shabab hakuna.

Halafu wewe mama, watoto wa panya road mumewazalia Bongo na sasa wamekua kero, naona kwenye Facebook jinsi Watanzania wanavyolalamika.
Mtoto wa nyoka ni nyoka, muwachukue watoto wenu na kurudi kule mbugani.
 
Halafu wewe mama, watoto wa panya road mumewazalia Bongo na sasa wamekua kero, naona kwenye Facebook jinsi Watanzania wanavyolalamika.
Mtoto wa nyoka ni nyoka, muwachukue watoto wenu na kurudi kule mbugani.

Vipi mmemalizana na adolescent president?
 
Halafu wewe mama, watoto wa panya road mumewazalia Bongo na sasa wamekua kero, naona kwenye Facebook jinsi Watanzania wanavyolalamika.
Mtoto wa nyoka ni nyoka, muwachukue watoto wenu na kurudi kule mbugani.

Ahahahaha, mama maina mi naomba unipe mapozi ya kikenya tu. Najua unayaweza. Kwa hilo sina kipingamizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom