Mambo si Shwari EAC-as Kenyan celebrates Jamhuri day

Mambo si Shwari EAC-as Kenyan celebrates Jamhuri day

Uko sawa kabisa! Pamoja na uzuri wa nyerere ktk mambo fulani lakini ile tabia yake ya kufanya mambo kwa hisia zake binafsi ndio zilizotugharimu hakuwa anafanya maamuzi kisayansi hasa ktk sera ya mambo ya nje. Hawa jamaa kenya kipindi kile sie tuko bize na vita vya msituni dhidi ya wakoloni kusini mwa Africa wao walikua bize wanajenga uchumi wao japo hata mwingereza alikuwa tayari ameupendelea uchumi wa kenya hata kabla ya uhuru, sasa hivi wamekuta wanatapatapa na alshabab wanataka kutuingiza kwenye protocol ya ulinzi EAC lakini tumeliona hilo tumeruka kihunzi.

Kenya si super power ya EA. Usalama Wa nchi yao umewashinda.utajiri uko mikononi kwa wachache na hali ya maisha ya wananchi ni mbaya sana. Kuna umaskini hata funza (jiggers) mpaka NHO za wazungu zinaosha miguu wananchi tena maeneo ya Wakikuyu ambao ni watawala na matajiri. Usalama Wa wananchi ndio haupo kabisa! Kisiasa mpaka wanavuana nguo bungeni. Kiuchumi na kibiashara hawatukuti kwani bila chakula chetu watakufa njaa na kiutalii bila mbuga zetu wako hoi. Kijeshi wameelewa na watoto Wa Kisomali wakati sisi tunaisadia DRC kutokana na wavamizi Wa Kigali na Kampala.
 
Sio lazima uanzishe economic cooperation na jirani yako. Majirani wengine nuksi, tusilazimishe kuendelea na EAC, tunaweza kuendelea bila hata wao. BTW wao ndo wanatuhitaji sio sisi. SADC ni zaidi ya EAC na tuna historia nao vizuri tu.

Wizara ya afrika mashariki imezwe na wizara ya mambo ya nje.
 
Sio lazima uanzishe economic cooperation na jirani yako. Majirani wengine nuksi, tusilazimishe kuendelea na EAC, tunaweza kuendelea bila hata wao. BTW wao ndo wanatuhitaji sio sisi. SADC ni zaidi ya EAC na tuna historia nao vizuri tu.

Wizara ya afrika mashariki imezwe na wizara ya mambo ya nje.

Mawazo mfu kabisa
 
Kenya si super power ya EA. Usalama Wa nchi yao umewashinda.utajiri uko mikononi kwa wachache na hali ya maisha ya wananchi ni mbaya sana. Kuna umaskini hata funza (jiggers) mpaka NHO za wazungu zinaosha miguu wananchi tena maeneo ya Wakikuyu ambao ni watawala na matajiri. Usalama Wa wananchi ndio haupo kabisa! Kisiasa mpaka wanavuana nguo bungeni. Kiuchumi na kibiashara hawatukuti kwani bila chakula chetu watakufa njaa na kiutalii bila mbuga zetu wako hoi. Kijeshi wameelewa na watoto Wa Kisomali wakati sisi tunaisadia DRC kutokana na wavamizi Wa Kigali na Kampala.

Sababu mufilisi kabisa! Kwani ni wapi huko hakuna masikini?! China super power wa asia na sasa wanatikisa dunia lakini kuna masikini
Unaufahamu uchumi wa india wewe?!! Na raia masikini wa india je?!
 
Sababu mufilisi kabisa! Kwani ni wapi huko hakuna masikini?! China super power wa asia na sasa wanatikisa dunia lakini kuna masikini
Unaufahamu uchumi wa india wewe?!! Na raia masikini wa india je?!

We Sex, acha ujuha jibu hoja za Lawi. Kikubwa alikuuliza, kwanini mmelemewa au kuzidiwa na vitoto vya kisomali huku mnajiita super power?

Kwamba, uchumi wa nchi upo mikononi mwa wachache mnoo, kwamba kuna gap kubwa kati ya walionacho na wasionacho?

Kwamba; kama sio resources za Tz, mfano mbuga za wanyama na chakula Kenya si mngekufa njaa?

Kwamba, Tanzania haiko tu vizuri ktk ulinzi wa ndani bali hata katika kupigania usalama na ulinzi wa nchi zingine km DRC dhidi ya wavamizi kutoka Kigali na Kampala

U-super power wa Kenya unaozungumzia ni upi??

Yaani ninyi kwa kiherehere kujitia mnajua kila kitu mnaongoza duniani...
 
Ladies and gentleman, ilikuwa ni juzi tu, Tanzania celebrated her independence day (9 December 2014)as to mark the 53 years of its independence
Tanzania haikupata uhuru wala haikuwepo miaka 53 iliyopita.

Tunajenga taifa la watu wasiothamini ukweli na elimu, tunadaganya hata vitoto vya shule kuhusu tarehe za kuasisiwa kwa nchi, tunategemea watu watakuwa na elimu ya uraia na upeo wa mambo ya kitaifa katika dunia ya ushindani ya leo?
 
We Sex, acha ujuha jibu hoja za Lawi. Kikubwa alikuuliza, kwanini mmelemewa au kuzidiwa na vitoto vya kisomali huku mnajiita super power?

Kwamba, uchumi wa nchi upo mikononi mwa wachache mnoo, kwamba kuna gap kubwa kati ya walionacho na wasionacho?

Kwamba; kama sio resources za Tz, mfano mbuga za wanyama na chakula Kenya si mngekufa njaa?

Kwamba, Tanzania haiko tu vizuri ktk ulinzi wa ndani bali hata katika kupigania usalama na ulinzi wa nchi zingine km DRC dhidi ya wavamizi kutoka Kigali na Kampala

U-super power wa Kenya unaozungumzia ni upi??

Yaani ninyi kwa kiherehere kujitia mnajua kila kitu mnaongoza duniani...

Kama ujuha basi wewe ni juha yule mfalme, yaani wewe mtu akiongea positive khs kenya ni mkenya, kuhusu uganda ni mganda,nk kwa taarifa yako mimi mtanganyika asilia,
Ni wapi kuna vita ya kenya na somalia?! Kwa akili yako itakuwa kuhusu wale wahuni, majambazi, magaidi alshabab! Ngoja nikufundishe, wale ni wahuni tu kama wahuni wengine, US super power la dunia kilitokea nini Boston marathon?! Hapa kwetu pale Arusha watu wameuwawa kwa milipuko sehemu tofauti tofauti.
Uchumi mikononi mwa wachache?! Huo ndo ubepari wenyewe ambao ndo unatawala dunia, ujamaa ulishindwa. Hata US, China, india na hapa bongo mambo yako hivyohivyo.
Kufa njaa?! Nadhani umeropoka bila kufikiri, hizo mbuga za wanyama hata zikifungwa leo hakuna atayekufa na njaa kwa sababu ya mbuga za wanyama iwe kenya ama tz, kuna nchi kibao zipo bila mbuga za wanyama lakini hawafi kwa njaa, kwanza kenya yenyewe ina mbuga za wanyama, eti bila chakula cha tz kenya wangekufa njaa?! Hapa umeandika kipuuzi kabisa, ni sawa na mtu wa kijijini kuandika bila chakula chetu nyie wa mjini si mngekufa njaa wakati hapo hapo amekamilisha nyumba ya kisasa na kulipia watoto school fees kwa pesa ya kuuza mazao mjini, hii ni ajabu kwelikweli. Kila siku wakulima hapa nchini wanalalamikia serikali iwatafutie soko la mazao yao soko likipatikana mfano kama huko kenya wakulima wanafurahi ni kuongeza juhudi za uzalishaji cha ajabu mswahili kama wewe ambaye hata haulimi unakuja hapa eti bila mahindi yetu wangekufa njaa!! Ulilima wewe? Unajua maana ya kilimo cha biashara wewe? Hicho chakula tz ilitoa bure? Haya ngoja nikusaidie maarifa ni kwamba kuzalisha na kuuza ndani na nje ndo siri ya maendeleo ya uchumi, uliza china.
Kwamba tanzania ikoje?! Kwa nini umetaja tanzania na kuisifia tu! Au kwa akili yako ndo super power wa EA?! Usalama gani upo tanzania kama ndege ya kijeshi inaweza kutua na kubeba wanyama huku wanausalama wanakoroma katika usingiz mzito, kama askari anaweza kualisha raia alipuliwe na anapewa zawadi ya cheo, kama raia anatekwa, kuteswa na kuwataja wahusika lakini hakuna hatua inayochukuliwa, mabomu kwenye nyumba za ibada na mikutano ya siasa, viongozi wa dini kumwagiwa tindikali na kuuwawa hadi FBI wakaja hapa, hivi tumeshindwa kulinda tembo wetu tutaweza kulinda wakongo? Ule ni uhuni wa viongozi wetu, wanaiba tu pale congo.
Usuper power uko wapi?! Kama kawaida huku uswahilini hawajui haiti wanajua US, kule mbele hajui dar wala kampala wanajua nairobi, kenya.
Nairobi ni kati ya malango makuu ya kuingia africa, kenya ina uchumi mkubwa kuliko nchi yoyote EA, kenya sasa sio nchi ya dunia ya tatu ni nchi ya kipato cha kati, kenya ndo inaongoza kwa kuexport miongoni wa nchi za EA, nilikuwa napata shida sana kuset saa yangu nikichek time zone sioni dar wala dodoma kwa EA nilikuwa naona nairobi tu ndo naselect (nilikuwa), huwa naangalia sana vyombo vya habari vya kimataifa hususani utabiri wa hali ya hewa nakodoa sana macho nione hali ya hewa ya hapa kwetu lakini mara nyingi naambulia nairobi, kiukweli ni super power ya EA
 
Kama ujuha basi wewe ni juha yule mfalme, yaani wewe mtu akiongea positive khs kenya ni mkenya, kuhusu uganda ni mganda,nk kwa taarifa yako mimi mtanganyika asilia,
Ni wapi kuna vita ya kenya na somalia?! Kwa akili yako itakuwa kuhusu wale wahuni, majambazi, magaidi alshabab! Ngoja nikufundishe, wale ni wahuni tu kama wahuni wengine, US super power la dunia kilitokea nini Boston marathon?! Hapa kwetu pale Arusha watu wameuwawa kwa milipuko sehemu tofauti tofauti.
Uchumi mikononi mwa wachache?! Huo ndo ubepari wenyewe ambao ndo unatawala dunia, ujamaa ulishindwa. Hata US, China, india na hapa bongo mambo yako hivyohivyo.
Kufa njaa?! Nadhani umeropoka bila kufikiri, hizo mbuga za wanyama hata zikifungwa leo hakuna atayekufa na njaa kwa sababu ya mbuga za wanyama iwe kenya ama tz, kuna nchi kibao zipo bila mbuga za wanyama lakini hawafi kwa njaa, kwanza kenya yenyewe ina mbuga za wanyama, eti bila chakula cha tz kenya wangekufa njaa?! Hapa umeandika kipuuzi kabisa, ni sawa na mtu wa kijijini kuandika bila chakula chetu nyie wa mjini si mngekufa njaa wakati hapo hapo amekamilisha nyumba ya kisasa na kulipia watoto school fees kwa pesa ya kuuza mazao mjini, hii ni ajabu kwelikweli. Kila siku wakulima hapa nchini wanalalamikia serikali iwatafutie soko la mazao yao soko likipatikana mfano kama huko kenya wakulima wanafurahi ni kuongeza juhudi za uzalishaji cha ajabu mswahili kama wewe ambaye hata haulimi unakuja hapa eti bila mahindi yetu wangekufa njaa!! Ulilima wewe? Unajua maana ya kilimo cha biashara wewe? Hicho chakula tz ilitoa bure? Haya ngoja nikusaidie maarifa ni kwamba kuzalisha na kuuza ndani na nje ndo siri ya maendeleo ya uchumi, uliza china.
Kwamba tanzania ikoje?! Kwa nini umetaja tanzania na kuisifia tu! Au kwa akili yako ndo super power wa EA?! Usalama gani upo tanzania kama ndege ya kijeshi inaweza kutua na kubeba wanyama huku wanausalama wanakoroma katika usingiz mzito, kama askari anaweza kualisha raia alipuliwe na anapewa zawadi ya cheo, kama raia anatekwa, kuteswa na kuwataja wahusika lakini hakuna hatua inayochukuliwa, mabomu kwenye nyumba za ibada na mikutano ya siasa, viongozi wa dini kumwagiwa tindikali na kuuwawa hadi FBI wakaja hapa, hivi tumeshindwa kulinda tembo wetu tutaweza kulinda wakongo? Ule ni uhuni wa viongozi wetu, wanaiba tu pale congo.
Usuper power uko wapi?! Kama kawaida huku uswahilini hawajui haiti wanajua US, kule mbele hajui dar wala kampala wanajua nairobi, kenya.
Nairobi ni kati ya malango makuu ya kuingia africa, kenya ina uchumi mkubwa kuliko nchi yoyote EA, kenya sasa sio nchi ya dunia ya tatu ni nchi ya kipato cha kati, kenya ndo inaongoza kwa kuexport miongoni wa nchi za EA, nilikuwa napata shida sana kuset saa yangu nikichek time zone sioni dar wala dodoma kwa EA nilikuwa naona nairobi tu ndo naselect (nilikuwa), huwa naangalia sana vyombo vya habari vya kimataifa hususani utabiri wa hali ya hewa nakodoa sana macho nione hali ya hewa ya hapa kwetu lakini mara nyingi naambulia nairobi, kiukweli ni super power ya EA
Nali huyu siyo mtanzania. Mtanzania gani huna uzalendo, utakuwa mtusi. ata kama huko kibongo hapa lakini wewe ni adui tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, huyu Sexer ni mpuuzi sana. Atakuwa mtusi, kwasababu kwenye ishu za rwanda anatetea upuuzi upuuzi tu.:becky:

Unazungumzia ukabila! Unataka kutambika?!! Aisee kile kitu ulichokifanya miaka ya 90 ni sawa na kula nyama ya mtu, dhambi ya ubaguzi itazidi kuwatana milele na milele, ona sasa hapa ukifuatilia comment zangu ni kama naisifia kenya lakini wewe kwa sababu ya ile dhambi ya ubaguzi uliyofanya umeniita mtusi sababu ndo unaamini ndo adui yako, dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana.
 
Last edited by a moderator:
Nali huyu siyo mtanzania. Mtanzania gani huna uzalendo, utakuwa mtusi. ata kama huko kibongo hapa lakini wewe ni adui tu.

We mhutu unashida sana na dhambi ya ubaguzi inakutafuna na itazidi kukutafuna sana, nilikuwa sina nia ya kutaja kabila la mtu hapa ila wewe wenzio walishakutaja humu na mnajuana, kingine kuthibitisha kwamba wewe ni baguzi la kihutu tunakuta mara kadhaa kwenye thread za US na Russia mara zote wewe unakuwa russia mimi nasimama kwenye ukweli (US ndo super power) lakini mbona hujawahi kusema mie ni mmarekani?!, haya hapa kwa hata mtu mwenye akili za kawaida angalau angesema mie ni mkenya kama alivosema nali lakini wewe umekuja na kusema mie ni mtusi wapi na wapi? Na ushahidi mwingine kuthibitisha wewe ni kaburu la kihutu ni unaposema mie sio mtanzania ni mtusi! Yaani unataja taifa kwa kabila! Sababu ya ukaburu imekuwa ngumu kusema mie sio mtanzania ni mrwanda! Karibu kwetu mondo, missungwi uje ule na mchembe ila kwa sharti moja tu uwe na vibali halali vya kuwa nchini
 
Last edited by a moderator:
We mhutu unashida sana na dhambi ya ubaguzi inakutafuna na itazidi kukutafuna sana, nilikuwa sina nia ya kutaja kabila la mtu hapa ila wewe wenzio walishakutaja humu na mnajuana, kingine kuthibitisha kwamba wewe ni baguzi la kihutu tunakuta mara kadhaa kwenye thread za US na Russia mara zote wewe unakuwa russia mimi nasimama kwenye ukweli (US ndo super power) lakini mbona hujawahi kusema mie ni mmarekani?!, haya hapa kwa hata mtu mwenye akili za kawaida angalau angesema mie ni mkenya kama alivosema nali lakini wewe umekuja na kusema mie ni mtusi wapi na wapi? Na ushahidi mwingine kuthibitisha wewe ni kaburu la kihutu ni unaposema mie sio mtanzania ni mtusi! Yaani unataja taifa kwa kabila! Sababu ya ukaburu imekuwa ngumu kusema mie sio mtanzania ni mrwanda! Karibu kwetu mondo, missungwi uje ule na mchembe ila kwa sharti moja tu uwe na vibali halali vya kuwa nchini

Mkuu, unatakiwa uwe mzalendo. Angalia comment zako za kuhusu rwanda unakuwa kwenye side na wazee wa jenosaidi. Hao tumeshajua ni utawala wa kabila moja tu la kitusi, ndo maana nakwenda direct kutaja kabila hilo.
Kuhusu russia mi ndo nipo side ya russia kutokana na kwanza historia ya nchi yetu, tulikuwa tumefungamana nao kwa ajili ya sera ya ujamaa pamoja na kuwa sasa hivi ni kama haipo.
Vile vile personally nampenda putin kutokana na ujasili wake na mipango mizuri ya kutetea na kupanua russian empire compered to Bull.shit US.
 
We mhutu unashida sana na dhambi ya ubaguzi inakutafuna na itazidi kukutafuna sana, nilikuwa sina nia ya kutaja kabila la mtu hapa ila wewe wenzio walishakutaja humu na mnajuana, kingine kuthibitisha kwamba wewe ni baguzi la kihutu tunakuta mara kadhaa kwenye thread za US na Russia mara zote wewe unakuwa russia mimi nasimama kwenye ukweli (US ndo super power) lakini mbona hujawahi kusema mie ni mmarekani?!, haya hapa kwa hata mtu mwenye akili za kawaida angalau angesema mie ni mkenya kama alivosema nali lakini wewe umekuja na kusema mie ni mtusi wapi na wapi? Na ushahidi mwingine kuthibitisha wewe ni kaburu la kihutu ni unaposema mie sio mtanzania ni mtusi! Yaani unataja taifa kwa kabila! Sababu ya ukaburu imekuwa ngumu kusema mie sio mtanzania ni mrwanda! Karibu kwetu mondo, missungwi uje ule na mchembe ila kwa sharti moja tu uwe na vibali halali vya kuwa nchini

Hahaha!! umelipiga za uso hili linterharamwe JustDoItNow natumai litakoma. kwake kila anayepishana naye lazima awe mtusi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, unatakiwa uwe mzalendo. Angalia comment zako za kuhusu rwanda unakuwa kwenye side na wazee wa jenosaidi. Hao tumeshajua ni utawala wa kabila moja tu la kitusi, ndo maana nakwenda direct kutaja kabila hilo.
Kuhusu russia mi ndo nipo side ya russia kutokana na kwanza historia ya nchi yetu, tulikuwa tumefungamana nao kwa ajili ya sera ya ujamaa pamoja na kuwa sasa hivi ni kama haipo.
Vile vile personally nampenda putin kutokana na ujasili wake na mipango mizuri ya kutetea na kupanua russian empire compered to Bull.shit US.

Lol... haya sasa "kibao kata" umezowea kunizingua, sasa leo umekutana na sexer kutoka "Mondo, Misungwi" kebehi zako zilikuwa zinanikela Kweli ila leo... Tena kakualika kwao ila cha muhimu uwe na kibali cha kuishi mjini.
Wale ndugu zenu kule jungle DRC count down ishaanza, nawaonea huruma kweli au msanii mkuu kasha watengenezea plan B?
 
Tanzania haikupata uhuru wala haikuwepo miaka 53 iliyopita.

Tunajenga taifa la watu wasiothamini ukweli na elimu, tunadaganya hata vitoto vya shule kuhusu tarehe za kuasisiwa kwa nchi, tunategemea watu watakuwa na elimu ya uraia na upeo wa mambo ya kitaifa katika dunia ya ushindani ya leo?

Mkuu, naheshimu mawazo yako. ila kwa comment yako hiyo huenda ukavunja record na hata ukamzidi KIBWETELE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom