Ladies and gentleman, ilikuwa ni juzi tu, Tanzania celebrated her independence day (9 December 2014) as to mark the 53 years of its independence tangia tulipo mung'oa mkoloni baada ya kazi nzuri ya waasisi wa taifa hili kudai uhuru bila kumwaga damu (Army struggle and Bloodshed). ilikuwa siku Muhimu Kwetu. Lakini cha Kushangaza sijaona Rais yeyote within the EAC akija kushirikiana nasi to celebrate that important day in our history.
THE OTHER WAY AROUND
kENYA leo wame celebrate their 51 years of independence (Jamhuri Day) but sijaona Rais wala mwakilishi kutoka Burundi despite the fact that, BURUNDI is among the member states forming the EAC. TZ imemtuma MH. Samwel Sitta kumwakilisha MH. RAIS, ( Note: our president is recovering from sickness and that's excusable). kama kawaida coalition of the willing walikuwepo wote.
PRESIDENT KAGAME wondering to honourable Sitta as he was being introduced by Ruto
wakati Mheshimiwa Ruto anamtambulisha Mh. Sitta, kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania, President Kagame aligeuka fasta kumwangalia Sitta ambaye alikaa viti vya nyumba kutoka viti vya marais (Protocol). kulingana ninavyojua siasa hizi za Africa Mashariki, PK alivyogeuka kumcheki SITTA, kunaleta tofasiri tofauti......(based on my assumption)
EAC treaty
Article 23 of the East African community treaty provides for the Co-operation in political matters. for instance in the same article 23(3) (e)-(f) provides that; The objectives of the common foreign and security policies shall be to promote co-operation at international fora; and enhance the eventual establishment of a Political Federation of the Partner States.
THE FUTURE OF EAC
I can see darkness ahead, on determining the future of EAC. viongozi wa EAC hawaaminiani na wanaonyeshana chuki sometimes waziwazi. wametugawa hata sisi wananchi. maybe hatukuwa tayari kuingia kwenye EAC. what about the role of rwanda on distabilising the friendship we historically enjoyed in triple way (Kenya, Uganda and TZ)??...mwenye
majibu atusaidie...!!!
NINI KIFANYIKE
(1) TZ imekuwa attacked kuwa ndo inakwamisha malengo ya EAC, ingawa si kweli. it is now high time to decide who to become our friend. tunaweza progress even without EAC. kuna nchi zimebaki kuwa waaminifu wa TZ iwe masika or kiangazi (summer) na ni muda mwafaka wa kuwarudia marafiki wetu wa kweli (nchi za kusini mwa Africa) kwa dhamila ya kweli na vitendo kwa manufaa ya vizazi vya leo na kesho.
OR
(2) nchi za Africa Mashariki, zikae pamoja na kuondoa tofauti zao na zi-implement makubariano ya kwenye Mkataba (EAC treaty) na kuweka vipaumbele kwenye maendeleo ili wafikie malengo ya umoja huo.
(3) Baadhi ya raia kwenye umoja huo waache nyodo (superiority complex) kwamba wao ndo best races or mara educated persons in entire EAC na blabla nyingine mingi.
Chukua Hatua
THE OTHER WAY AROUND
kENYA leo wame celebrate their 51 years of independence (Jamhuri Day) but sijaona Rais wala mwakilishi kutoka Burundi despite the fact that, BURUNDI is among the member states forming the EAC. TZ imemtuma MH. Samwel Sitta kumwakilisha MH. RAIS, ( Note: our president is recovering from sickness and that's excusable). kama kawaida coalition of the willing walikuwepo wote.
PRESIDENT KAGAME wondering to honourable Sitta as he was being introduced by Ruto
wakati Mheshimiwa Ruto anamtambulisha Mh. Sitta, kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania, President Kagame aligeuka fasta kumwangalia Sitta ambaye alikaa viti vya nyumba kutoka viti vya marais (Protocol). kulingana ninavyojua siasa hizi za Africa Mashariki, PK alivyogeuka kumcheki SITTA, kunaleta tofasiri tofauti......(based on my assumption)
EAC treaty
Article 23 of the East African community treaty provides for the Co-operation in political matters. for instance in the same article 23(3) (e)-(f) provides that; The objectives of the common foreign and security policies shall be to promote co-operation at international fora; and enhance the eventual establishment of a Political Federation of the Partner States.
THE FUTURE OF EAC
I can see darkness ahead, on determining the future of EAC. viongozi wa EAC hawaaminiani na wanaonyeshana chuki sometimes waziwazi. wametugawa hata sisi wananchi. maybe hatukuwa tayari kuingia kwenye EAC. what about the role of rwanda on distabilising the friendship we historically enjoyed in triple way (Kenya, Uganda and TZ)??...mwenye
majibu atusaidie...!!!
NINI KIFANYIKE
(1) TZ imekuwa attacked kuwa ndo inakwamisha malengo ya EAC, ingawa si kweli. it is now high time to decide who to become our friend. tunaweza progress even without EAC. kuna nchi zimebaki kuwa waaminifu wa TZ iwe masika or kiangazi (summer) na ni muda mwafaka wa kuwarudia marafiki wetu wa kweli (nchi za kusini mwa Africa) kwa dhamila ya kweli na vitendo kwa manufaa ya vizazi vya leo na kesho.
OR
(2) nchi za Africa Mashariki, zikae pamoja na kuondoa tofauti zao na zi-implement makubariano ya kwenye Mkataba (EAC treaty) na kuweka vipaumbele kwenye maendeleo ili wafikie malengo ya umoja huo.
(3) Baadhi ya raia kwenye umoja huo waache nyodo (superiority complex) kwamba wao ndo best races or mara educated persons in entire EAC na blabla nyingine mingi.
Chukua Hatua