Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Habari wadau. Naomba tupeane uzoefu juu ya mambo muhimu ya kuzingatia unapoalikwa kuwa Mgeni rasmi. Ndugu yangu yamemkuta haya na siku yenyewe bado kidogo. Msaada wadau!!!
inategemea ni mgeni rasmi wapiUvae vzur halafu uwe na hela y kuchangia
Yalomkuta tuyajue kwanza ebu...Habari wadau. Naomba tupeane uzoefu juu ya mambo muhimu ya kuzingatia unapoalikwa kuwa Mgeni rasmi. Ndugu yangu yamemkuta haya na siku yenyewe bado kidogo. Msaada wadau!!!
Panga kwa usahihi ya kuongea ikibidi pata dondoo kwanza kwa wenyeji usije kuishia kuropoka na kupayuka.. Utaonekana kitukoHabari wadau. Naomba tupeane uzoefu juu ya mambo muhimu ya kuzingatia unapoalikwa kuwa Mgeni rasmi. Ndugu yangu yamemkuta haya na siku yenyewe bado kidogo. Msaada wadau!!!
Kama ni mgeni rasmi kwenye Maulid usisahau ndizi na pilipili kwenye koti.Habari wadau. Naomba tupeane uzoefu juu ya mambo muhimu ya kuzingatia unapoalikwa kuwa Mgeni rasmi. Ndugu yangu yamemkuta haya na siku yenyewe bado kidogo. Msaada wadau!!!