Mambo kumi niliyoyaona mechi ya leo Simba na Yanga

Hiyo namba tano wewe
1. Goli la penati halikuwa sahihi Meddie Kagere alivutwa nje boksi akadondokea ndani ya boksi,hapa refa aliyumba.

2. Yondani alistahili kadi nyekundu kwa kosa la kumvuta Meddie Kagere nje ya boksi,kadi nyekundu kwasababu Yondani ndiye aliyekuwa mtu wa mwisho.

3. Goli la Mapinduzi Balama ni moja kati ya magoli bora hadi sasa,kama kuna tuzo ya goli la mwezi basi hili linastahili kushinda.

4. Refa alizidiwa na presha ya mechi,alijaribu kubalance ili aonekane hapendelei upande mmoja.

5. Wachambuzi wa Azam wapunguze ushabiki sawa haikuwa penati lakini walionekana wote wapo upande wa kumlaumu refa na sio kutoa uchambuzi yakinifu wote walikuwa na jazba.

6. Simba walitawala mchezo kipindi cha kwanza na Yanga walibadilika kipindi cha pili. Pongezi kwao maana ni ngumu kufungwa bao mbili na kurudi kwa kasi ile.

7. Aishi Manula ajitathmini aina ya magoli anayofungwa ni yaleyale siku zote.

8. Kutoka kwa Deo Kanda na Meddie Kagere kumeigharimu Simba.

9. Faruk Shikalo anastahili kuwa man of the match aliokoa saves nyingi sana kwa game ya presha namna ile pongezi kwake.

10. Uchawi upo katika hizi derby,mashabiki tuache kuingia na matokeo mfukoni.

Nb: Haya ni maoni yangu yanastahili kupingwa kwa hoja.
Namba5 wewe ndio umeleta mahaba, refa alikuwa na presha ya mechi na kuleta maamuzi ya hovyo yanga wanashambulia kagere anakaa chini refa anasimamisha mpira huu si uzwazwa
 
Hirizi ya Kagere hukuiona?
Kwa mtazamo wangu mashabiki wa Simba huwa hawaangalii mapungufu ya timu yao hata pale inaposhinda goli 4-0. Wao wanashangilia tu.

Kama wangekuwa wanaifuatilia mapungufu yake wasingeingia na matokeo.

Wachezaji wanaocheza kwa jihadi na nguvu Simba ni wachache sana, wanapokutana na timu inayotumia nguvu na mbio wanapata taabu sana, mathalan Mkude sio mchezaji wa mpira wa kasi na nguvu, hivyo nyuma yake alitakiwa awepo Fraga, lakini kwa mshangao hata sub hakuwekwa. Kwa hili namlaumu sana Matola kwa sababu anawajua wachezaji kuliko Sven.

Namlaumu tena Matola kwa kumpanga Manula, hivi anafikiri Nderagije ni mjinga alipomuacha taifa! Kipa anayefungwa magoli ya kawaida sana hapaswi kupangwa kwenye Derby.

La mwisho, Simba watambue kuwa Yanga inayocheza na Biashara United sio itakayocheza na Simba, lazima watapandisha kiwango cha uchezaji, hasa wachezaji kibinafsi, kwa sababu na wao pia wangependa wasajiliwe na Simba.

Hakuna mchezaji bongo ambaye hataki kucheza Simba, kwa hiyo pale wanakuwa sokoni kama walivyofanya akina Beno, ndio maana mashabiki wa Simba wanatakiwa wajifunze kuwa Sportsmen na waache unazi kama wa Manara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu mashabiki wa Simba huwa hawaangalii mapungufu ya timu yao hata pale inaposhinda goli 4-0. Wao wanashangilia tu.

Kama wangekuwa wanaifuatilia mapungufu yake wasingeingia na matokeo.

Wachezaji wanaocheza kwa jihadi na nguvu Simba ni wachache sana, wanapokutana na timu inayotumia nguvu na mbio wanapata taabu sana, mathalan Mkude sio mchezaji wa mpira wa kasi na nguvu, hivyo nyuma yake alitakiwa awepo Fraga, lakini kwa mshangao hata sub hakuwekwa. Kwa hili namlaumu sana Matola kwa sababu anawajua wachezaji kuliko Sven.

Namlaumu tena Matola kwa kumpanga Manula, hivi anafikiri Nderagije ni mjinga alipomuacha taifa! Kipa anayefungwa magoli ya kawaida sana hapaswi kupangwa kwenye Derby.

La mwisho, Simba watambue kuwa Yanga inayocheza na Biashara United sio itakayocheza na Simba, lazima watapandisha kiwango cha uchezaji, hasa wachezaji kibinafsi, kwa sababu na wao pia wangependa wasajiliwe na Simba.

Hakuna mchezaji bongo ambaye hataki kucheza Simba, kwa hiyo pale wanakuwa sokoni kama walivyofanya akina Beno, ndio maana mashabiki wa Simba wanatakiwa wajifunze kuwa Sportsmen na waache unazi kama wa Manara.

Sent using Jamii Forums mobile app
In kambalage voice

kelphin kepph
 
Mimi niliona Shuti la Balama lilipigwa Kimo Hiki pale taifa
Screenshot_2020-01-05-17-38-15.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 



 
POST MATCH REACTION: SVEN VANDENBROECK FULL TRANSCRIPT

Chipolopolo Boys picked up their first victory on Wednesday after a 2-1 win over Guinea Bissau at Heroes Stadium.

Below is a full transcript of Chipolopolo Boys coach Sven Vandenbroeck post match reaction as compiled by ZamFoot Crew’s James Sibeleki

Journalist
: Looking at where you are in the group and the task ahead, does this result come as a relief to you?

Sven: No, because in the end you still don’t have advantage. The relief is when you have qualified. Until then we are in the race of six games. Half is played, and next Sunday the game is even more important than today. So the relief, no. We knew what we had to do today and we brought the task to a good act.

Journalist: Coach Sven, your left and right back struggled with the physicality of the Guineans. Do you think that your defence is working properly and then what is gona be done better in the return leg?

Sven: I don’t think the 2 full backs had problems today. I think everyone did well. Maybe you saw another game, I don’t know. But everyone was good, our defence was strong. All in the end because of a little bid of pressure from their our opponents we conceded a stupid goal. It gave us a little bit of a bad feeling in the back. But everyone in our team was better than our opponents.

Journalist : This is your first home game, how do you describe the atmosphere? The reaction from fans?

Sven: In the past few days you could fell the tension was getting higher. People were passing us by with car, cheering, encouraging. And the warming up, from my dressing room on the window we can see the outside but the outside can’t see inside. So i enjoyed the warming up because the crowd was bit by bit coming. And there were making noise from half an hour even an hour before the game. And as for a team, it gives you 20% and maybe more courage and confidence. I have to say OK we won, until we change the atmosphere in the end. But I think we can be very happy with the atmosphere and the spectators today in this game.

Journalist : [inaudible]

Sven: It is as crucial as the next game. Because if we didn’t win today the advantage was on your opponents because you don’t have everything in your own hands. Now we do win and you get on equal points and you have everything in your own hands. Even if we drew away and won at home. But this game, and that’s the question, it doesn’t give a relief because it’s a six games competition, you are still not qualified. So every next game is crucial until you have enough points to go AFCON.

Journalist : Coach based on what you have seen today and we only have four days to go. What do you think should be changed to hold Guinea away from home?

Sven: Do we have to change something?

Journalist: I am asking you?

Sven: And I am asking you.

Journalist: I am asking and you must answer the question.

Sven: And I answered your question, do we need to change the something? Maybe [blurry] don’t make that mistake again, that’s it!

Journalist: [Inaudible]

Sven: There was only one good player today. It was the team.

FAZ Media Officer: Can I have the last question please.

Sven : A good question please.

Journalist: [Inaudible]

Sven: I think they will never be a fixed 11. Depending a little bit on opponents, travelings, illnesses and injuries. But I think we saw the way we went to play. Maybe a little bit too naive in the end. Because [Inaudible]. But if you see the second goal and how many times we did not find our midfielders. [Inaudible].

NOTE: Where there is Inaudible, the Audio was not audible enough for the author to write accurately.

Source : Post match reaction: Sven Vandenbroeck full transcript | ZamFoot

Read also : SVEN WAS WARNED ABOUT DEFENCE WEAKNESS BY A JOURNALIST...The Belgian coach responded sarcastically, "Maybe you saw another game!" | ZamFoot
 
Back
Top Bottom