Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Ni vijana wengi sana wanapenda kuwa wasanii, binafsi kwa huu mtaa wangu wenyevnyumba nane kuna wasanii wanne ila hawajafika popote na umri umeshaenda, labda pengine ni kwasababu hawakupata elimu ya mambo yapi ya kukazania na yapi ya kukwepa kwenye safari ya usanii.
Binafsi kitu cha kwanza kusisitiza ni msanii kwenda na muda maana muda hausimami, kuna msanii hapa mtaani alianza kuimba tangu 2005 na kwa sasa ana miaka 33 anaendelea kuimba na hafiki popote kwasababu anaimba zile hiphop ngumu na kila tukimwambia abadili style hakuelewi matokeo yake hajafika popote,
Kingine nashauri kwa sasa mtu ajiwekee mwonekano wa kisanii, hata awe underground kivipi lazima ajijue ye ni msanii tayari, kwahio inabidi asiwe rafu awe anavaa vizuri na kupendeza hata mtu akimwona anajua huyu msanii,
Kuepukana na unyinyaji hapa naomba mzoefu kidogo aliongelee.
Naombeni muendelee mambo mengine, mchango wenu ni muhimu sana.
Binafsi kitu cha kwanza kusisitiza ni msanii kwenda na muda maana muda hausimami, kuna msanii hapa mtaani alianza kuimba tangu 2005 na kwa sasa ana miaka 33 anaendelea kuimba na hafiki popote kwasababu anaimba zile hiphop ngumu na kila tukimwambia abadili style hakuelewi matokeo yake hajafika popote,
Kingine nashauri kwa sasa mtu ajiwekee mwonekano wa kisanii, hata awe underground kivipi lazima ajijue ye ni msanii tayari, kwahio inabidi asiwe rafu awe anavaa vizuri na kupendeza hata mtu akimwona anajua huyu msanii,
Kuepukana na unyinyaji hapa naomba mzoefu kidogo aliongelee.
Naombeni muendelee mambo mengine, mchango wenu ni muhimu sana.