1.Kukosa viongozi wenye kuweza kutengeneza dira (Focus) bila kuwa na maono huwezi kupanga mikakati ya kwenda kwa sababu hujui unakwenda wapi.
2.Kutokuwa na vipaumbele(stategic areas to stimulate development) kunakopelekea kila kitu kuwa ni kipaumbele huwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kutokana na limited financial resources.(visiwe zaidi ya vipaumbele vitano) napendekeza nchi yetu iwe na vipaumbele vifutavyo i). nishati -nishati inagusa kila sekta inahitaji nishati ya uhakika ii).Elimu-bila elimu hakuna kitakacho kwenda iii) Barabara iv) Bandari na v) afya
3.Nidhamu ya matumizi ya rasilimali za uma na utendaji kazi ianzie kwa Kiongozi wa Nchi kwenda chini na si ianzie kwa watumishi wa chini kuelekea juu hii haitafanya kazi.Kwa mfano Rais akianza yeye kutumia magari ya landrover yenye bei ndogo unadhani nani wa chini atakenda kunua ma VX iwapo rais anatumia landrover.
2.Kutokuwa na vipaumbele(stategic areas to stimulate development) kunakopelekea kila kitu kuwa ni kipaumbele huwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kutokana na limited financial resources.(visiwe zaidi ya vipaumbele vitano) napendekeza nchi yetu iwe na vipaumbele vifutavyo i). nishati -nishati inagusa kila sekta inahitaji nishati ya uhakika ii).Elimu-bila elimu hakuna kitakacho kwenda iii) Barabara iv) Bandari na v) afya
3.Nidhamu ya matumizi ya rasilimali za uma na utendaji kazi ianzie kwa Kiongozi wa Nchi kwenda chini na si ianzie kwa watumishi wa chini kuelekea juu hii haitafanya kazi.Kwa mfano Rais akianza yeye kutumia magari ya landrover yenye bei ndogo unadhani nani wa chini atakenda kunua ma VX iwapo rais anatumia landrover.