Mambo ambayo yanatuangusha Watanzania

Ulimali

Member
Nov 5, 2010
51
1
1.Kukosa viongozi wenye kuweza kutengeneza dira (Focus) bila kuwa na maono huwezi kupanga mikakati ya kwenda kwa sababu hujui unakwenda wapi.
2.Kutokuwa na vipaumbele(stategic areas to stimulate development) kunakopelekea kila kitu kuwa ni kipaumbele huwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kutokana na limited financial resources.(visiwe zaidi ya vipaumbele vitano) napendekeza nchi yetu iwe na vipaumbele vifutavyo i). nishati -nishati inagusa kila sekta inahitaji nishati ya uhakika ii).Elimu-bila elimu hakuna kitakacho kwenda iii) Barabara iv) Bandari na v) afya
3.Nidhamu ya matumizi ya rasilimali za uma na utendaji kazi ianzie kwa Kiongozi wa Nchi kwenda chini na si ianzie kwa watumishi wa chini kuelekea juu hii haitafanya kazi.Kwa mfano Rais akianza yeye kutumia magari ya landrover yenye bei ndogo unadhani nani wa chini atakenda kunua ma VX iwapo rais anatumia landrover.
 
1.Kukosa viongozi wenye kuweza kutengeneza dira (Focus) bila kuwa na maono huwezi kupanga mikakati ya kwenda kwa sababu hujui unakwenda wapi.
2.Kutokuwa na vipaumbele(stategic areas to stimulate development) kunakopelekea kila kitu kuwa ni kipaumbele huwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kutokana na limited financial resources.(visiwe zaidi ya vipaumbele vitano) napendekeza nchi yetu iwe na vipaumbele vifutavyo i). nishati -nishati inagusa kila sekta inahitaji nishati ya uhakika ii).Elimu-bila elimu hakuna kitakacho kwenda iii) Barabara iv) Bandari na v) afya
3.Nidhamu ya matumizi ya rasilimali za uma na utendaji kazi ianzie kwa Kiongozi wa Nchi kwenda chini na si ianzie kwa watumishi wa chini kuelekea juu hii haitafanya kazi.Kwa mfano Rais akianza yeye kutumia magari ya landrover yenye bei ndogo unadhani nani wa chini atakenda kunua ma VX iwapo rais anatumia landrover.

gud ideas
 
1.Kukosa viongozi wenye kuweza kutengeneza dira (Focus) bila kuwa na maono huwezi kupanga mikakati ya kwenda kwa sababu hujui unakwenda wapi.
2.Kutokuwa na vipaumbele(stategic areas to stimulate development) kunakopelekea kila kitu kuwa ni kipaumbele huwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kutokana na limited financial resources.(visiwe zaidi ya vipaumbele vitano) napendekeza nchi yetu iwe na vipaumbele vifutavyo i). nishati -nishati inagusa kila sekta inahitaji nishati ya uhakika ii).Elimu-bila elimu hakuna kitakacho kwenda iii) Barabara iv) Bandari na v) afya
3.Nidhamu ya matumizi ya rasilimali za uma na utendaji kazi ianzie kwa Kiongozi wa Nchi kwenda chini na si ianzie kwa watumishi wa chini kuelekea juu hii haitafanya kazi.Kwa mfano Rais akianza yeye kutumia magari ya landrover yenye bei ndogo unadhani nani wa chini atakenda kunua ma VX iwapo rais anatumia landrover.

Nakuunga Mkono sana Mkuu wa Uchambuzi wako,
lakini pamoja na hayo yote, Tatizo kubwa la Tanzania Lipo katika Wizara mama, WIZARA YA SHERIA NA MAMBO YA KATIBA,
yaani hii wizara ingefanya kazi kama ipasavyo nadhani hii nchi ingenyooka

Viongozi wanajua vipaumbele ni vipi na wanachikifanya ni kujimilikisha hivyo vitu ambavyo vingechochea maendeleo ya Nchi
Hiyo bandari wanajua kabisa ni muhimu sana kwa maendeleo ya Watanzania na ndio kisa cha kujimilikisha Tics

Kwa dunia ya Sasa huwezi kuwa na maendeleo ya kweli kama huna umeme wa kutosha kuendesha maisha, wana lijua hilo na ndio wameingia kutuumiza humohumo

SHERIA ZILITAKIWA ZIFANYE KAZI KAMA WATU WALISAINI MIKATABA MIBOVU WANGEKAMATWA NA KUFUNGWA PAMOJA NA KUTAIFISHWA, KWESHO HAKUNA MTU ANGEFANYA UJINGA
 
Back
Top Bottom