hamza mahundu
Member
- Dec 20, 2018
- 58
- 114
Hivi vitu huwezi fundishwa darasani.
•Ukiona amepunguza Kulalamika sana kaa Ukijuwa kuna wahuni wanamsikiliza.
•Ukiona amekutumia meseji ya “Nimekumiss” baada ya muda mrefu kaa ukijua aliyekutana nae sio bora kama wewe.
•Brother, ukiona huwa hakuombi pesa ujue kuna miamba wanaombwa hizo pesa—99% ni omba omba siku hizi( mademu kausha damu)😁
Kipi tumesahau wajomba zangu.
•Ukiona amepunguza Kulalamika sana kaa Ukijuwa kuna wahuni wanamsikiliza.
•Ukiona amekutumia meseji ya “Nimekumiss” baada ya muda mrefu kaa ukijua aliyekutana nae sio bora kama wewe.
•Brother, ukiona huwa hakuombi pesa ujue kuna miamba wanaombwa hizo pesa—99% ni omba omba siku hizi( mademu kausha damu)😁
Kipi tumesahau wajomba zangu.