LOSEJMASAI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 332
- 849
- Thread starter
- #41
Nani alikuambia wafu wanakufa?.
Fuatilia na wale akina PLO Lumumba Jnr na Patrice Lumumba, akina Plato, Martin Luther King Jnr, Marcus Ganvery, Tesla, na Wanafalisafa wengine uone kama historia zao hazilandani!.
Asante Mkuu ngoja nijaribu kufatilia "anything suspicious" i will let you know.