Mambo 6 Duniani yaliyotokea kwa namna ya kuacha Mdomo wazi

Nani alikuambia wafu wanakufa?.

Fuatilia na wale akina PLO Lumumba Jnr na Patrice Lumumba, akina Plato, Martin Luther King Jnr, Marcus Ganvery, Tesla, na Wanafalisafa wengine uone kama historia zao hazilandani!.
 
Inavutia lete na nyingine

Nakuongezea Hizi tatu tena

7. Ujenzi wa Bwawa la Hoover
Ujenzi wa bwawa hili liligharimu maisha ya watu wengi, lakini mtu wa kwanza kufa ni bwana J.G. Tierny, ambaye alifariki December 20, 1922. Mfanyakazi wa Mwisho kufa kwenye huu ujenzi alikuwa Mtoto wa Tierny alikufa siku sawa na siku aliyokufa baba ake miaka 13 baadaye, December 20, 1935.
5903df49-d792-4a1f-b4f7-be183d72a5c7.jpg



8. Video game Iliyotabiri semptember eleven (Twin tower iliyopigwa na Osama)
Video game ya Deus Ex ambayo ilikuwa officially released June 2000. Game hili lilitengenezwa kuakisi maisha ya New york city, lakini katika hatua za mwisho kabisa wakagundua kwamba wamesahau kuyaweka majengo pacha ya biashara (Twin Towers). Ili kukwepa gharama na muda wa kuanza kutengeneza upya ikabidi waandike tu mwanzo wa game kwamba yale majengo yamelipuliwa na magaidi.
c08e89b2-e0ef-4624-946e-a9b84b6492aa.jpg


9. Ndugu wawili wa Hamilton
Dereva wa baiskeli yenye injini (Moped) mji wa Hamilton, Bermuda alifariki mwaka 1974 kwa kugongwa na taxi. mwaka ulifuta 1975 eneo lile lile, mdogo wake naye aligongwa akiwa anaendesha baiskeli ya injini, gari iliyomgonga ni ile ile iliyomgonga kaka ake, na cha ajabu kabisa dereva yule yule, na pia alikuwa amebeba abiria yule yule aliyekuwa amemubeba siku anamugonga kaka mtu.
d73d7446-4194-4ae4-a8a5-716959e833e5.jpg
 
Back
Top Bottom