Mambo 4 ya kufanya mwanamke akupende

Mambo 4 ya kufanya mwanamke akupende

Maisha ya ndoa au urafiki sio wakuwa na uvumilivu sasa hivi nikutumiana tu ndio habari ya mujini dah
 
Mwanaume ajue kujiongeza ajue kujitoa, akuheshim, akupende, akuthamini, akujali, akupe muda wake (itaingia hukohuko kwenye kujali)ajue kuvumilia awe na upeo mkubwa wa kufikiri nadhani huyu kwangu ana kila sababu ya kumpenda

Ili hivi vyote viwe dhahiri kwa maisha ya sasa basi MONEY ndiyo nishati yake
 
Tafuta pesa kijana hayo yanafanyika pakiwepo pesa,kosa pesa endelea na hayo madesa ya matango poli utagongewa mkeo hadi mbu watamla mkeo
 
Mwanaume ajue kujiongeza ajue kujitoa, akuheshim, akupende, akuthamini, akujali, akupe muda wake (itaingia hukohuko kwenye kujali)ajue kuvumilia awe na upeo mkubwa wa kufikiri nadhani huyu kwangu ana kila sababu ya kumpenda
Yaani binadamu tuna demand mambo makubwa kwa binadamu wenzetu kuzidi hata yule aliyemuumba huyo binadamu.
 
Mwanamke ili akupende wewe MPE hela tu yaani nasema MPE hela tuu hadi atakuheshimu
 
Correction
Mambo manne ya kumfanya mwanamke akupende

1 . Mpe pesa kadri atakavyo

2.mpe pesa na huduma zote bila kujali

3. Mwache awe huru afanye ayatakayo hata kama yatakuuzi we baki kimya tu , nasema hivi baki kimya tu wewe mezea moyoni

4. Mwisho nasema mpe pesa zaid ya matumizi yke binafs
 
Mwanaume ajue kujiongeza ajue kujitoa, akuheshim, akupende, akuthamini, akujali, akupe muda wake (itaingia hukohuko kwenye kujali)ajue kuvumilia awe na upeo mkubwa wa kufikiri nadhani huyu kwangu ana kila sababu ya kumpenda
Unakuta unataka yote hayo, wakati ww ni poyoyo.
Shabashi kabisa
 
Hivi ninauteka moyo wa mwanamke ili iweje?
kama ni stress kila mtu ana za kwake
nadhani mabo ya upendo ni "two ways traffic"
Mwanamke kama anakuheshimu
hayo yote uliyoyataja yanajileta yenyewe.
 
Back
Top Bottom