Mambo 4 ya kufanya mwanamke akupende

Mambo 4 ya kufanya mwanamke akupende

Mwanaume ajue kujiongeza ajue kujitoa, akuheshim, akupende, akuthamini, akujali, akupe muda wake (itaingia hukohuko kwenye kujali)ajue kuvumilia awe na upeo mkubwa wa kufikiri nadhani huyu kwangu ana kila sababu ya kumpenda
Mungu tu ndiye anayewaelewa ninyi viumbe
 
Siwezi kubadilisha maamuzi yako, kaka.
Ila mimi nahisi,ukiwa unajua kama kuna mtu anakupenda kwa dhati.Basi unahisi tofauti na utakuwa na furaha isiyo-isha.
Hakuna mapenzi ya kweli nowdays watu wana act tu so mkuu pambana na hali yako
 
Think first then talk smart, bro.
Unajua fedha baadhi ya sehemu haifanyi kazi na utakuja amini haya
siku ukisha-ipata.Nasema hiyvo kwasababu naijua hela na nimetumia vya kutosha so kuna baadhi ya sehemu hazitaki hela
Inavyooonekana umependa na mtu uliyempenda anaonyesha anakupenda kweli( my guess) ila jua kuwa HAWATABIRIKI .Viumbe hawa:
 
Hakuna mapenzi ya kweli nowdays watu wana act tu so mkuu pambana na hali yako
Mbona kama ni hivyo.Mimi binafsi tayari nishapata watu waliokuwa wakinipenda kweli ila baadhi yao moyo haukuruhusu kuwapenda tu? Ila walikuwa tayari kwa lolote?Na mimi sijawahi kupata mwanamke anayependa pesa sana ki hivyo
 
Back
Top Bottom