Mambo 20 usiyoyajua juu ya Rais Magufuli

Namba 6 imetokea mwaka gani?
Namba 6 ilitokea 2009 ila mleta mada kaongopa, huyo jamaa alifika shule akakaa siku moja na kusepa wala Magufuli hajamfata wala hakumzuia kuhama, huyo jamaa tulichaguliwa shule moja ila combination yake sikumbuki.
Waulize watu waliokua form five na form six mwaka 2009 enzi za headmaster J.Kaaya.
Second mistress Bilali (jina la utani Bambucha)
 
...
13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,
...
...
Dar - Dodoma ni kilometa 400+, Mtu akienda na kurudi mara moja inazidi hizo 670 zako.
So unataka kusema kina JK na Che hawakuwahi kwenda na kurudi kwa gari Dodoma??
Au kila Mkoa walikua wakienda na Ndege hata kwenye mikoa ambayo haina viwanja vya ndege au viwanja vyake ni vibaya??
Vipi Ziara za wiayani huko ukizijumlisha zote??
 
Ile kampuni yake ya usafirishajibona hujaigusia?
Ile record yake ya kutia hasara taifa kuliko maaziri wote wakati wa uongozi wa uwaziri kama vile ;
-kubomoa jengo la mfanyabiashara Mahamoud wa Mwanza na kisha serikali kumlipa bl.14 za Kitanzania
-Kutaifisha samaki wa Wachina na kuiingizia hasara serikali kwa kulipa bil.kadhaa
-kuuza nyumba za serikali kwa nusu ya fedha zilizopigiwa hesabu na pesa zingine kutokomea nazo(ikumbukwe kazi ya uuzaji ilikuwa nu ya TBA lakini akawapoka mamlaka).
-Vipi kuhusu yale maamuzi ya kukurupuka ya kuwafukuza kazi wafanyakazi kadhaa wa TEMESA na walipokata rufaa serikali ikawalipa fedha nyingi?
-Vipi suala la kuvunja sheria na taratibu kwenye uuzaji wa nyumba za serikali kwa kumuuzia kaka yake Musa Magufuli na Mzazi mwenzake Sundi?
Vipi niongeze doze?
 
Mimi najiuliza mbona sasa hivi ameshindwa kubomoa jengo la Tanesco la ubungo? Na la ofisi ya mkuu wa Mkoa wakati kipindi akiwa waziri alisisitiza ni LAZIMA yaondoke maana yapo kwenye hifadhi ya barabara? Hadi akatishia kujiuzulu walipotaka kumuingilia?
 
MAMBO 20 USIYOYAJUA JUU YA MAGUFULI

1. Magufuli ameandikwa kwa lugha 134 kwa mwaka jana katika nchi mbali mbali dunian

2. Magufuli Ana uwezo wa kukariri namba 22, kwa wakati mmoja, craming capacity yake iko 89% , wakati normal craming capacity ya binadamu ni 62%

3. Magufuli aliwahi kuanguka Na helicopter dar es salaam akiwa Na said meck sadik Mkuu wa Mkoa wakikagua uharibifu uliofanywa na mvua,

4. Jakaya kikwete akiwa rais, Na mheshimiwa pinda Akiwa waziri Mkuu walikuwa wanatupiana mpira Nani amface Magufuli wakati wa kutengua baadhi ya maamuzi yake katika wizara ya ujenzi, ilibidi pinda aairishe safari yake ya kagera alipofanya ziara kwa mambo ya sukari kwanza akaja wakutane Na kikwete kujadili wanamuanzaje Magufuli kumueleza asibomoe jengo la TANESCO ubungo

5. Magufuli alikuwa anamsapot sana Dk slaa Na upinzani wa maana hasa wa Kafulila, alikuwa anampa vimemo kafulila akomae Na escrow ambayo ilionekana ni ya utapeli,

6. Magufuli aliwahi kwenda Minaki high school kumwadhibu kijana wake aliyetaka kuhama kinyemela kwakuwa alikuwa anataka shule nyinginezo siziso za serikali, akipanga njama Na mama yake, lakin Magufuli alikataa kata kata, akasema mwanangu atasoma hapa hapa kama wa wengine,

7. Magufuli ana nguvu ya ajabu Na ya ziada, hasa kwa wale ambao walitaka kumkwamisha Mara nyingi anagundua njia hizo hata za kishirikina, mfano Morogoro kwenye mikutano Na watu wa TANROAD alikataa kukalia kiti ambacho alitengewa, Na baada ya mtu mwingine kukikalia ikawa madhara, maana alilengwa yeye Akiwa waziri wa ujenzi,

8. Magufuli Na marafiki zake wamekuwa maadui kisa anasimamia ukweli , umefika mda mpaka ndugu zake wa ukoo hawampendi sana maana walidhani Akiwa serikalini atawapa ulaji, Jambo ambalo Magufuli hakubaliani nalo kabisa,

9. Magufuli aliwahi kuangusha nyumba ya baba Mdogo yake, ambaye alijenga barabarani, hakujali kuwa ni ya baba Mdogo

10. Magufuli kapanda ndege za kwenda nje ya nchi Mara 7 tu tokea amekuwa serikalini
Moja ilikuwa Libya, nyingine ulaya, Na nyingine Japan,

Tokea amekuwa rais amepanda ndege 3 tu za kwenda nje, yaan Kenya , uganda na Ethiopia ,Rwanda alienda kwa gari,

11. Magufuli ni rais maskini kuliko marais wote Africa, ikumbukwe rais tajiri ni wa Angola bwana Dos Santos,

12. Magufuli Hana usafiri wa gari anatumia usafiri wa serikali, Na magari aliyekuwa anapewa Akiwa mbunge alikuwa anayakabidhi katika taasisi mbali mbali,

13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,

14. Magufuli ni rais ambaye amevunja rekodi ya kutamaniwa Na nchi nyingi dunian kuwa mtawala wao,
Kama, Egypt, Australia, Nigeria, Ghana, Mozambique, Uganda, Kenya , South Africa, Bolivia, Columbia, Madagascar, Nepal, Thailand, Angola, Na nyinginezo,

15. Magufuli Akiwa mbunge aliwahi kukataliwa kupitishwa kwenye kura za maoni mwaka 1995 ikiwa ni jimbo la chato biharamulo, vijana waliandamana Na kufunga vikufuri vidogo kwenye ruksi wakimaanisha wanamtaka Magufuli, ikabidi uchaguzi wa kura za maoni urudiwe, akapita,

16.Magufuli anapenda sana story yuko radhi audhulie sehem Zake alizozoea kupata story hata kama ni rais,

17. Magufuli ni shabiki wa timu ya yanga, kwa vilabu dunian anapenda sana Arsenal, Na kwa Hispania anapenda Barcelona,

Ila kwa timu za taifa anapenda sana taifa stars, pili Brazil,

18. Mheshimiwa Magufuli anapenda mziki wa zaman Na wa kisasa yaan bongofleva, Na msanii anayempenda sana ni darasa Na mwana fa,

19 mheshimiwa Magufuli amekataa mialiko 17 toka nchi mbali mbali dunian , ikiwemo USA,

20. Ni rais anayependa sana kutumia lugha yake ya taifa hata Akiwa nje,

Umesahau haya mengine.

Magufuli akijamba ushuziwake ni perfume kisha ni dawa ya tumbo.

Magufuli akinya mavi yake marashi kisha ukijipaka mbu hawakuumi.

Zaidi, akikosa kwenda haja siku tatu anakunya almasi.
 
MAMBO 20 USIYOYAJUA JUU YA MAGUFULI

1. Magufuli ameandikwa kwa lugha 134 kwa mwaka jana katika nchi mbali mbali dunian

2. Magufuli Ana uwezo wa kukariri namba 22, kwa wakati mmoja, craming capacity yake iko 89% , wakati normal craming capacity ya binadamu ni 62%

3. Magufuli aliwahi kuanguka Na helicopter dar es salaam akiwa Na said meck sadik Mkuu wa Mkoa wakikagua uharibifu uliofanywa na mvua,

4. Jakaya kikwete akiwa rais, Na mheshimiwa pinda Akiwa waziri Mkuu walikuwa wanatupiana mpira Nani amface Magufuli wakati wa kutengua baadhi ya maamuzi yake katika wizara ya ujenzi, ilibidi pinda aairishe safari yake ya kagera alipofanya ziara kwa mambo ya sukari kwanza akaja wakutane Na kikwete kujadili wanamuanzaje Magufuli kumueleza asibomoe jengo la TANESCO ubungo

5. Magufuli alikuwa anamsapot sana Dk slaa Na upinzani wa maana hasa wa Kafulila, alikuwa anampa vimemo kafulila akomae Na escrow ambayo ilionekana ni ya utapeli,

6. Magufuli aliwahi kwenda Minaki high school kumwadhibu kijana wake aliyetaka kuhama kinyemela kwakuwa alikuwa anataka shule nyinginezo siziso za serikali, akipanga njama Na mama yake, lakin Magufuli alikataa kata kata, akasema mwanangu atasoma hapa hapa kama wa wengine,

7. Magufuli ana nguvu ya ajabu Na ya ziada, hasa kwa wale ambao walitaka kumkwamisha Mara nyingi anagundua njia hizo hata za kishirikina, mfano Morogoro kwenye mikutano Na watu wa TANROAD alikataa kukalia kiti ambacho alitengewa, Na baada ya mtu mwingine kukikalia ikawa madhara, maana alilengwa yeye Akiwa waziri wa ujenzi,

8. Magufuli Na marafiki zake wamekuwa maadui kisa anasimamia ukweli , umefika mda mpaka ndugu zake wa ukoo hawampendi sana maana walidhani Akiwa serikalini atawapa ulaji, Jambo ambalo Magufuli hakubaliani nalo kabisa,

9. Magufuli aliwahi kuangusha nyumba ya baba Mdogo yake, ambaye alijenga barabarani, hakujali kuwa ni ya baba Mdogo

10. Magufuli kapanda ndege za kwenda nje ya nchi Mara 7 tu tokea amekuwa serikalini
Moja ilikuwa Libya, nyingine ulaya, Na nyingine Japan,

Tokea amekuwa rais amepanda ndege 3 tu za kwenda nje, yaan Kenya , uganda na Ethiopia ,Rwanda alienda kwa gari,

11. Magufuli ni rais maskini kuliko marais wote Africa, ikumbukwe rais tajiri ni wa Angola bwana Dos Santos,

12. Magufuli Hana usafiri wa gari anatumia usafiri wa serikali, Na magari aliyekuwa anapewa Akiwa mbunge alikuwa anayakabidhi katika taasisi mbali mbali,

13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,

14. Magufuli ni rais ambaye amevunja rekodi ya kutamaniwa Na nchi nyingi dunian kuwa mtawala wao,
Kama, Egypt, Australia, Nigeria, Ghana, Mozambique, Uganda, Kenya , South Africa, Bolivia, Columbia, Madagascar, Nepal, Thailand, Angola, Na nyinginezo,

15. Magufuli Akiwa mbunge aliwahi kukataliwa kupitishwa kwenye kura za maoni mwaka 1995 ikiwa ni jimbo la chato biharamulo, vijana waliandamana Na kufunga vikufuri vidogo kwenye ruksi wakimaanisha wanamtaka Magufuli, ikabidi uchaguzi wa kura za maoni urudiwe, akapita,

16.Magufuli anapenda sana story yuko radhi audhulie sehem Zake alizozoea kupata story hata kama ni rais,

17. Magufuli ni shabiki wa timu ya yanga, kwa vilabu dunian anapenda sana Arsenal, Na kwa Hispania anapenda Barcelona,

Ila kwa timu za taifa anapenda sana taifa stars, pili Brazil,

18. Mheshimiwa Magufuli anapenda mziki wa zaman Na wa kisasa yaan bongofleva, Na msanii anayempenda sana ni darasa Na mwana fa,

19 mheshimiwa Magufuli amekataa mialiko 17 toka nchi mbali mbali dunian , ikiwemo USA,

20. Ni rais anayependa sana kutumia lugha yake ya taifa hata Akiwa nje,
21.Magufuli alipokuwa mtoto alikuwa akigoma kunyonya hata siku nzima kisa mamake kamuudhi. Hii ni kwa mujibu wa mamake mzazi.
 
MAMBO 20 USIYOYAJUA JUU YA MAGUFULI

1. Magufuli ameandikwa kwa lugha 134 kwa mwaka jana katika nchi mbali mbali dunian

2. Magufuli Ana uwezo wa kukariri namba 22, kwa wakati mmoja, craming capacity yake iko 89% , wakati normal craming capacity ya binadamu ni 62%

3. Magufuli aliwahi kuanguka Na helicopter dar es salaam akiwa Na said meck sadik Mkuu wa Mkoa wakikagua uharibifu uliofanywa na mvua,

4. Jakaya kikwete akiwa rais, Na mheshimiwa pinda Akiwa waziri Mkuu walikuwa wanatupiana mpira Nani amface Magufuli wakati wa kutengua baadhi ya maamuzi yake katika wizara ya ujenzi, ilibidi pinda aairishe safari yake ya kagera alipofanya ziara kwa mambo ya sukari kwanza akaja wakutane Na kikwete kujadili wanamuanzaje Magufuli kumueleza asibomoe jengo la TANESCO ubungo

5. Magufuli alikuwa anamsapot sana Dk slaa Na upinzani wa maana hasa wa Kafulila, alikuwa anampa vimemo kafulila akomae Na escrow ambayo ilionekana ni ya utapeli,

6. Magufuli aliwahi kwenda Minaki high school kumwadhibu kijana wake aliyetaka kuhama kinyemela kwakuwa alikuwa anataka shule nyinginezo siziso za serikali, akipanga njama Na mama yake, lakin Magufuli alikataa kata kata, akasema mwanangu atasoma hapa hapa kama wa wengine,

7. Magufuli ana nguvu ya ajabu Na ya ziada, hasa kwa wale ambao walitaka kumkwamisha Mara nyingi anagundua njia hizo hata za kishirikina, mfano Morogoro kwenye mikutano Na watu wa TANROAD alikataa kukalia kiti ambacho alitengewa, Na baada ya mtu mwingine kukikalia ikawa madhara, maana alilengwa yeye Akiwa waziri wa ujenzi,

8. Magufuli Na marafiki zake wamekuwa maadui kisa anasimamia ukweli , umefika mda mpaka ndugu zake wa ukoo hawampendi sana maana walidhani Akiwa serikalini atawapa ulaji, Jambo ambalo Magufuli hakubaliani nalo kabisa,

9. Magufuli aliwahi kuangusha nyumba ya baba Mdogo yake, ambaye alijenga barabarani, hakujali kuwa ni ya baba Mdogo

10. Magufuli kapanda ndege za kwenda nje ya nchi Mara 7 tu tokea amekuwa serikalini
Moja ilikuwa Libya, nyingine ulaya, Na nyingine Japan,

Tokea amekuwa rais amepanda ndege 3 tu za kwenda nje, yaan Kenya , uganda na Ethiopia ,Rwanda alienda kwa gari,

11. Magufuli ni rais maskini kuliko marais wote Africa, ikumbukwe rais tajiri ni wa Angola bwana Dos Santos,

12. Magufuli Hana usafiri wa gari anatumia usafiri wa serikali, Na magari aliyekuwa anapewa Akiwa mbunge alikuwa anayakabidhi katika taasisi mbali mbali,

13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,

14. Magufuli ni rais ambaye amevunja rekodi ya kutamaniwa Na nchi nyingi dunian kuwa mtawala wao,
Kama, Egypt, Australia, Nigeria, Ghana, Mozambique, Uganda, Kenya , South Africa, Bolivia, Columbia, Madagascar, Nepal, Thailand, Angola, Na nyinginezo,

15. Magufuli Akiwa mbunge aliwahi kukataliwa kupitishwa kwenye kura za maoni mwaka 1995 ikiwa ni jimbo la chato biharamulo, vijana waliandamana Na kufunga vikufuri vidogo kwenye ruksi wakimaanisha wanamtaka Magufuli, ikabidi uchaguzi wa kura za maoni urudiwe, akapita,

16.Magufuli anapenda sana story yuko radhi audhulie sehem Zake alizozoea kupata story hata kama ni rais,

17. Magufuli ni shabiki wa timu ya yanga, kwa vilabu dunian anapenda sana Arsenal, Na kwa Hispania anapenda Barcelona,

Ila kwa timu za taifa anapenda sana taifa stars, pili Brazil,

18. Mheshimiwa Magufuli anapenda mziki wa zaman Na wa kisasa yaan bongofleva, Na msanii anayempenda sana ni darasa Na mwana fa,

19 mheshimiwa Magufuli amekataa mialiko 17 toka nchi mbali mbali dunian , ikiwemo USA,

20. Ni rais anayependa sana kutumia lugha yake ya taifa hata Akiwa nje,

21. Alifanikiwa kutengeneza wafanyakazi hewa TBA ambao ni ndugu zake akiwemo mtoto mchanga ili wajitwalie nyumba za serikali
 
Umesahau haya mengine.

Magufuli akijamba ushuziwake ni perfume kisha ni dawa ya tumbo.

Magufuli akinya mavi yake marashi kisha ukijipaka mbu hawakuumi.

Zaidi, akikosa kwenda haja siku tatu anakunya almasi.
Huu ni uchochezi sasa!
 
Ile kampuni yake ya usafirishaji mbona hujaigusia?
Ile record yake ya kutia hasara taifa kuliko maaziri wote wakati wa uongozi wa uwaziri kama vile ;
-kubomoa jengo la mfanyabiashara Mahamoud wa Mwanza na kisha serikali kumlipa bl.14 za Kitanzania
-Kutaifisha samaki wa Wachina na kuiingizia hasara serikali kwa kulipa bil.kadhaa
-kuuza nyumba za serikali kwa nusu ya fedha zilizopigiwa hesabu na pesa zingine kuyokomea nazo(ikumbukwe kazi ya uuzaji ilikuwa nu ya TBA lakini akawapoka mamlaka).
-Vipi kuhusu yale maamuzi ya kukurupuka ya kuwafukuza kazi wafanyakazi kadhaa wa TEMESA na walipokata rufaa serikali ikawalipa fedha nyingi?
-Vipi suala la kuvunja sheria na taratibu kwenye uuzaji wa nyumba za serikali kwa kumuuzia kaka yake Musa Magufuli na Mzazi mwenzake Sundi?
Vipi niongeze doze?
Mupe mupe mupemupemupe!
 
Umesahau haya mengine.

Magufuli akijamba ushuziwake ni perfume kisha ni dawa ya tumbo.

Magufuli akinya mavi yake marashi kisha ukijipaka mbu hawakuumi.

Zaidi, akikosa kwenda haja siku tatu anakunya almasi.
Ndugu yangu utapewa kesi ya kutakatisha mpunga maana hii ndiyo fashion ya awmu hii
 
32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom