Mambo 20 usiyoyajua juu ya Rais Magufuli

Mafisadi watanyooka tu
Kweli watakoma
c5f6335c9cdcaceb25346b30c1957dad.jpg
 
MAMBO 20 USIYOYAJUA JUU YA MAGUFULI

1. Magufuli ameandikwa kwa lugha 134 kwa mwaka jana katika nchi mbali mbali dunian

2. Magufuli Ana uwezo wa kukariri namba 22, kwa wakati mmoja, craming capacity yake iko 89% , wakati normal craming capacity ya binadamu ni 62%

3. Magufuli aliwahi kuanguka Na helicopter dar es salaam akiwa Na said meck sadik Mkuu wa Mkoa wakikagua uharibifu uliofanywa na mvua,

4. Jakaya kikwete akiwa rais, Na mheshimiwa pinda Akiwa waziri Mkuu walikuwa wanatupiana mpira Nani amface Magufuli wakati wa kutengua baadhi ya maamuzi yake katika wizara ya ujenzi, ilibidi pinda aairishe safari yake ya kagera alipofanya ziara kwa mambo ya sukari kwanza akaja wakutane Na kikwete kujadili wanamuanzaje Magufuli kumueleza asibomoe jengo la TANESCO ubungo

5. Magufuli alikuwa anamsapot sana Dk slaa Na upinzani wa maana hasa wa Kafulila, alikuwa anampa vimemo kafulila akomae Na escrow ambayo ilionekana ni ya utapeli,

6. Magufuli aliwahi kwenda Minaki high school kumwadhibu kijana wake aliyetaka kuhama kinyemela kwakuwa alikuwa anataka shule nyinginezo siziso za serikali, akipanga njama Na mama yake, lakin Magufuli alikataa kata kata, akasema mwanangu atasoma hapa hapa kama wa wengine,

7. Magufuli ana nguvu ya ajabu Na ya ziada, hasa kwa wale ambao walitaka kumkwamisha Mara nyingi anagundua njia hizo hata za kishirikina, mfano Morogoro kwenye mikutano Na watu wa TANROAD alikataa kukalia kiti ambacho alitengewa, Na baada ya mtu mwingine kukikalia ikawa madhara, maana alilengwa yeye Akiwa waziri wa ujenzi,

8. Magufuli Na marafiki zake wamekuwa maadui kisa anasimamia ukweli , umefika mda mpaka ndugu zake wa ukoo hawampendi sana maana walidhani Akiwa serikalini atawapa ulaji, Jambo ambalo Magufuli hakubaliani nalo kabisa,

9. Magufuli aliwahi kuangusha nyumba ya baba Mdogo yake, ambaye alijenga barabarani, hakujali kuwa ni ya baba Mdogo

10. Magufuli kapanda ndege za kwenda nje ya nchi Mara 7 tu tokea amekuwa serikalini
Moja ilikuwa Libya, nyingine ulaya, Na nyingine Japan,

Tokea amekuwa rais amepanda ndege 3 tu za kwenda nje, yaan Kenya , uganda na Ethiopia ,Rwanda alienda kwa gari,

11. Magufuli ni rais maskini kuliko marais wote Africa, ikumbukwe rais tajiri ni wa Angola bwana Dos Santos,

12. Magufuli Hana usafiri wa gari anatumia usafiri wa serikali, Na magari aliyekuwa anapewa Akiwa mbunge alikuwa anayakabidhi katika taasisi mbali mbali,

13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,

14. Magufuli ni rais ambaye amevunja rekodi ya kutamaniwa Na nchi nyingi dunian kuwa mtawala wao,
Kama, Egypt, Australia, Nigeria, Ghana, Mozambique, Uganda, Kenya , South Africa, Bolivia, Columbia, Madagascar, Nepal, Thailand, Angola, Na nyinginezo,

15. Magufuli Akiwa mbunge aliwahi kukataliwa kupitishwa kwenye kura za maoni mwaka 1995 ikiwa ni jimbo la chato biharamulo, vijana waliandamana Na kufunga vikufuri vidogo kwenye ruksi wakimaanisha wanamtaka Magufuli, ikabidi uchaguzi wa kura za maoni urudiwe, akapita,

16.Magufuli anapenda sana story yuko radhi audhulie sehem Zake alizozoea kupata story hata kama ni rais,

17. Magufuli ni shabiki wa timu ya yanga, kwa vilabu dunian anapenda sana Arsenal, Na kwa Hispania anapenda Barcelona,

Ila kwa timu za taifa anapenda sana taifa stars, pili Brazil,

18. Mheshimiwa Magufuli anapenda mziki wa zaman Na wa kisasa yaan bongofleva, Na msanii anayempenda sana ni darasa Na mwana fa,

19 mheshimiwa Magufuli amekataa mialiko 17 toka nchi mbali mbali dunian , ikiwemo USA,

20. Ni rais anayependa sana kutumia lugha yake ya taifa hata Akiwa nje,
Magufuli alimhonga hawara nyumba za serikali au aaingiziwa?

Magufuli alinunua MV dar bomu au asingiziwa?

Magufuli kanunua ndege bomu au kasingiziwa?

Magufuli alishindwa na Lowassa au Lowassa mwongo?

Magufuli kazaa na shemeji yake au kasingiziwa?

Magufuli hafuati sheria au anasingiziwa?

Jibu haya ndiyo tuelewe uko makini
 
MAMBO 20 USIYOYAJUA JUU YA MAGUFULI

1. Magufuli ameandikwa kwa lugha 134 kwa mwaka jana katika nchi mbali mbali dunian

2. Magufuli Ana uwezo wa kukariri namba 22, kwa wakati mmoja, craming capacity yake iko 89% , wakati normal craming capacity ya binadamu ni 62%

3. Magufuli aliwahi kuanguka Na helicopter dar es salaam akiwa Na said meck sadik Mkuu wa Mkoa wakikagua uharibifu uliofanywa na mvua,

4. Jakaya kikwete akiwa rais, Na mheshimiwa pinda Akiwa waziri Mkuu walikuwa wanatupiana mpira Nani amface Magufuli wakati wa kutengua baadhi ya maamuzi yake katika wizara ya ujenzi, ilibidi pinda aairishe safari yake ya kagera alipofanya ziara kwa mambo ya sukari kwanza akaja wakutane Na kikwete kujadili wanamuanzaje Magufuli kumueleza asibomoe jengo la TANESCO ubungo

5. Magufuli alikuwa anamsapot sana Dk slaa Na upinzani wa maana hasa wa Kafulila, alikuwa anampa vimemo kafulila akomae Na escrow ambayo ilionekana ni ya utapeli,

6. Magufuli aliwahi kwenda Minaki high school kumwadhibu kijana wake aliyetaka kuhama kinyemela kwakuwa alikuwa anataka shule nyinginezo siziso za serikali, akipanga njama Na mama yake, lakin Magufuli alikataa kata kata, akasema mwanangu atasoma hapa hapa kama wa wengine,

7. Magufuli ana nguvu ya ajabu Na ya ziada, hasa kwa wale ambao walitaka kumkwamisha Mara nyingi anagundua njia hizo hata za kishirikina, mfano Morogoro kwenye mikutano Na watu wa TANROAD alikataa kukalia kiti ambacho alitengewa, Na baada ya mtu mwingine kukikalia ikawa madhara, maana alilengwa yeye Akiwa waziri wa ujenzi,

8. Magufuli Na marafiki zake wamekuwa maadui kisa anasimamia ukweli , umefika mda mpaka ndugu zake wa ukoo hawampendi sana maana walidhani Akiwa serikalini atawapa ulaji, Jambo ambalo Magufuli hakubaliani nalo kabisa,

9. Magufuli aliwahi kuangusha nyumba ya baba Mdogo yake, ambaye alijenga barabarani, hakujali kuwa ni ya baba Mdogo

10. Magufuli kapanda ndege za kwenda nje ya nchi Mara 7 tu tokea amekuwa serikalini
Moja ilikuwa Libya, nyingine ulaya, Na nyingine Japan,

Tokea amekuwa rais amepanda ndege 3 tu za kwenda nje, yaan Kenya , uganda na Ethiopia ,Rwanda alienda kwa gari,

11. Magufuli ni rais maskini kuliko marais wote Africa, ikumbukwe rais tajiri ni wa Angola bwana Dos Santos,

12. Magufuli Hana usafiri wa gari anatumia usafiri wa serikali, Na magari aliyekuwa anapewa Akiwa mbunge alikuwa anayakabidhi katika taasisi mbali mbali,

13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,

14. Magufuli ni rais ambaye amevunja rekodi ya kutamaniwa Na nchi nyingi dunian kuwa mtawala wao,
Kama, Egypt, Australia, Nigeria, Ghana, Mozambique, Uganda, Kenya , South Africa, Bolivia, Columbia, Madagascar, Nepal, Thailand, Angola, Na nyinginezo,

15. Magufuli Akiwa mbunge aliwahi kukataliwa kupitishwa kwenye kura za maoni mwaka 1995 ikiwa ni jimbo la chato biharamulo, vijana waliandamana Na kufunga vikufuri vidogo kwenye ruksi wakimaanisha wanamtaka Magufuli, ikabidi uchaguzi wa kura za maoni urudiwe, akapita,

16.Magufuli anapenda sana story yuko radhi audhulie sehem Zake alizozoea kupata story hata kama ni rais,

17. Magufuli ni shabiki wa timu ya yanga, kwa vilabu dunian anapenda sana Arsenal, Na kwa Hispania anapenda Barcelona,

Ila kwa timu za taifa anapenda sana taifa stars, pili Brazil,

18. Mheshimiwa Magufuli anapenda mziki wa zaman Na wa kisasa yaan bongofleva, Na msanii anayempenda sana ni darasa Na mwana fa,

19 mheshimiwa Magufuli amekataa mialiko 17 toka nchi mbali mbali dunian , ikiwemo USA,

20. Ni rais anayependa sana kutumia lugha yake ya taifa hata Akiwa nje,
Hiyo no 20 ya kupendana kutumia lugha ya Kiswahili, kwani ana option nyingine?
 
Na. 63... Magufuli ndiye Rais mbaguzi zaidi duniani asiyeamini kama watoto wa kike wana haki ya kupata elimu kama raia wengine!

64. Ndiye Rais pekee duniani anayeongea Kiingereza kibovu pamoja na kusoma kwa lugha hiyo ya Malkia hadi ngazi ya PhD
 
13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,
Dpgo unafanya mchezo kutoka Dar mpaka Butiama?
kasome tena Azimio la Musoma ni kilomita 110
 
MAMBO 20 USIYOYAJUA JUU YA MAGUFULI

1. Magufuli ameandikwa kwa lugha 134 kwa mwaka jana katika nchi mbali mbali dunian

2. Magufuli Ana uwezo wa kukariri namba 22, kwa wakati mmoja, craming capacity yake iko 89% , wakati normal craming capacity ya binadamu ni 62%

3. Magufuli aliwahi kuanguka Na helicopter dar es salaam akiwa Na said meck sadik Mkuu wa Mkoa wakikagua uharibifu uliofanywa na mvua,

4. Jakaya kikwete akiwa rais, Na mheshimiwa pinda Akiwa waziri Mkuu walikuwa wanatupiana mpira Nani amface Magufuli wakati wa kutengua baadhi ya maamuzi yake katika wizara ya ujenzi, ilibidi pinda aairishe safari yake ya kagera alipofanya ziara kwa mambo ya sukari kwanza akaja wakutane Na kikwete kujadili wanamuanzaje Magufuli kumueleza asibomoe jengo la TANESCO ubungo

5. Magufuli alikuwa anamsapot sana Dk slaa Na upinzani wa maana hasa wa Kafulila, alikuwa anampa vimemo kafulila akomae Na escrow ambayo ilionekana ni ya utapeli,

6. Magufuli aliwahi kwenda Minaki high school kumwadhibu kijana wake aliyetaka kuhama kinyemela kwakuwa alikuwa anataka shule nyinginezo siziso za serikali, akipanga njama Na mama yake, lakin Magufuli alikataa kata kata, akasema mwanangu atasoma hapa hapa kama wa wengine,

7. Magufuli ana nguvu ya ajabu Na ya ziada, hasa kwa wale ambao walitaka kumkwamisha Mara nyingi anagundua njia hizo hata za kishirikina, mfano Morogoro kwenye mikutano Na watu wa TANROAD alikataa kukalia kiti ambacho alitengewa, Na baada ya mtu mwingine kukikalia ikawa madhara, maana alilengwa yeye Akiwa waziri wa ujenzi,

8. Magufuli Na marafiki zake wamekuwa maadui kisa anasimamia ukweli , umefika mda mpaka ndugu zake wa ukoo hawampendi sana maana walidhani Akiwa serikalini atawapa ulaji, Jambo ambalo Magufuli hakubaliani nalo kabisa,

9. Magufuli aliwahi kuangusha nyumba ya baba Mdogo yake, ambaye alijenga barabarani, hakujali kuwa ni ya baba Mdogo

10. Magufuli kapanda ndege za kwenda nje ya nchi Mara 7 tu tokea amekuwa serikalini
Moja ilikuwa Libya, nyingine ulaya, Na nyingine Japan,

Tokea amekuwa rais amepanda ndege 3 tu za kwenda nje, yaan Kenya , uganda na Ethiopia ,Rwanda alienda kwa gari,

11. Magufuli ni rais maskini kuliko marais wote Africa, ikumbukwe rais tajiri ni wa Angola bwana Dos Santos,

12. Magufuli Hana usafiri wa gari anatumia usafiri wa serikali, Na magari aliyekuwa anapewa Akiwa mbunge alikuwa anayakabidhi katika taasisi mbali mbali,

13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,

14. Magufuli ni rais ambaye amevunja rekodi ya kutamaniwa Na nchi nyingi dunian kuwa mtawala wao,
Kama, Egypt, Australia, Nigeria, Ghana, Mozambique, Uganda, Kenya , South Africa, Bolivia, Columbia, Madagascar, Nepal, Thailand, Angola, Na nyinginezo,

15. Magufuli Akiwa mbunge aliwahi kukataliwa kupitishwa kwenye kura za maoni mwaka 1995 ikiwa ni jimbo la chato biharamulo, vijana waliandamana Na kufunga vikufuri vidogo kwenye ruksi wakimaanisha wanamtaka Magufuli, ikabidi uchaguzi wa kura za maoni urudiwe, akapita,

16.Magufuli anapenda sana story yuko radhi audhulie sehem Zake alizozoea kupata story hata kama ni rais,

17. Magufuli ni shabiki wa timu ya yanga, kwa vilabu dunian anapenda sana Arsenal, Na kwa Hispania anapenda Barcelona,

Ila kwa timu za taifa anapenda sana taifa stars, pili Brazil,

18. Mheshimiwa Magufuli anapenda mziki wa zaman Na wa kisasa yaan bongofleva, Na msanii anayempenda sana ni darasa Na mwana fa,

19 mheshimiwa Magufuli amekataa mialiko 17 toka nchi mbali mbali dunian , ikiwemo USA,

20. Ni rais anayependa sana kutumia lugha yake ya taifa hata Akiwa nje,
Da,
We jamaa ni SHIDA. Yaani kama we unayajua basi unajuaje kua sie hatuyajui??
We Umeyajulia wapi mpaka udhani si hatuwezi kujua huko ulikojulia wewe??
 
namba 2,4,5,yote uongo
namba 7 labda kama ana imani za kishirikina
namba 20,na 14 zote pia uongo
namba 12 ni ngumu kuthibitisha maana huwa wanapewa hela sio magari
 
MAMBO 20 USIYOYAJUA JUU YA MAGUFULI

1. Magufuli ameandikwa kwa lugha 134 kwa mwaka jana katika nchi mbali mbali dunian

2. Magufuli Ana uwezo wa kukariri namba 22, kwa wakati mmoja, craming capacity yake iko 89% , wakati normal craming capacity ya binadamu ni 62%

3. Magufuli aliwahi kuanguka Na helicopter dar es salaam akiwa Na said meck sadik Mkuu wa Mkoa wakikagua uharibifu uliofanywa na mvua,

4. Jakaya kikwete akiwa rais, Na mheshimiwa pinda Akiwa waziri Mkuu walikuwa wanatupiana mpira Nani amface Magufuli wakati wa kutengua baadhi ya maamuzi yake katika wizara ya ujenzi, ilibidi pinda aairishe safari yake ya kagera alipofanya ziara kwa mambo ya sukari kwanza akaja wakutane Na kikwete kujadili wanamuanzaje Magufuli kumueleza asibomoe jengo la TANESCO ubungo

5. Magufuli alikuwa anamsapot sana Dk slaa Na upinzani wa maana hasa wa Kafulila, alikuwa anampa vimemo kafulila akomae Na escrow ambayo ilionekana ni ya utapeli,

6. Magufuli aliwahi kwenda Minaki high school kumwadhibu kijana wake aliyetaka kuhama kinyemela kwakuwa alikuwa anataka shule nyinginezo siziso za serikali, akipanga njama Na mama yake, lakin Magufuli alikataa kata kata, akasema mwanangu atasoma hapa hapa kama wa wengine,

7. Magufuli ana nguvu ya ajabu Na ya ziada, hasa kwa wale ambao walitaka kumkwamisha Mara nyingi anagundua njia hizo hata za kishirikina, mfano Morogoro kwenye mikutano Na watu wa TANROAD alikataa kukalia kiti ambacho alitengewa, Na baada ya mtu mwingine kukikalia ikawa madhara, maana alilengwa yeye Akiwa waziri wa ujenzi,

8. Magufuli Na marafiki zake wamekuwa maadui kisa anasimamia ukweli , umefika mda mpaka ndugu zake wa ukoo hawampendi sana maana walidhani Akiwa serikalini atawapa ulaji, Jambo ambalo Magufuli hakubaliani nalo kabisa,

9. Magufuli aliwahi kuangusha nyumba ya baba Mdogo yake, ambaye alijenga barabarani, hakujali kuwa ni ya baba Mdogo

10. Magufuli kapanda ndege za kwenda nje ya nchi Mara 7 tu tokea amekuwa serikalini
Moja ilikuwa Libya, nyingine ulaya, Na nyingine Japan,

Tokea amekuwa rais amepanda ndege 3 tu za kwenda nje, yaan Kenya , uganda na Ethiopia ,Rwanda alienda kwa gari,

11. Magufuli ni rais maskini kuliko marais wote Africa, ikumbukwe rais tajiri ni wa Angola bwana Dos Santos,

12. Magufuli Hana usafiri wa gari anatumia usafiri wa serikali, Na magari aliyekuwa anapewa Akiwa mbunge alikuwa anayakabidhi katika taasisi mbali mbali,

13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,

14. Magufuli ni rais ambaye amevunja rekodi ya kutamaniwa Na nchi nyingi dunian kuwa mtawala wao,
Kama, Egypt, Australia, Nigeria, Ghana, Mozambique, Uganda, Kenya , South Africa, Bolivia, Columbia, Madagascar, Nepal, Thailand, Angola, Na nyinginezo,

15. Magufuli Akiwa mbunge aliwahi kukataliwa kupitishwa kwenye kura za maoni mwaka 1995 ikiwa ni jimbo la chato biharamulo, vijana waliandamana Na kufunga vikufuri vidogo kwenye ruksi wakimaanisha wanamtaka Magufuli, ikabidi uchaguzi wa kura za maoni urudiwe, akapita,

16.Magufuli anapenda sana story yuko radhi audhulie sehem Zake alizozoea kupata story hata kama ni rais,

17. Magufuli ni shabiki wa timu ya yanga, kwa vilabu dunian anapenda sana Arsenal, Na kwa Hispania anapenda Barcelona,

Ila kwa timu za taifa anapenda sana taifa stars, pili Brazil,

18. Mheshimiwa Magufuli anapenda mziki wa zaman Na wa kisasa yaan bongofleva, Na msanii anayempenda sana ni darasa Na mwana fa,

19 mheshimiwa Magufuli amekataa mialiko 17 toka nchi mbali mbali dunian , ikiwemo USA,

20. Ni rais anayependa sana kutumia lugha yake ya taifa hata Akiwa nje,
Namba 6 imetokea mwaka gani?
 
Hiyo namba sita umesema uongo, huyo kijana alifika Minaki na kuondoka baada ya siku moja na hakusoma Minaki tena nawala hakurudi alifatwa na mgari wa maana.
Ilikua 2009 alikua kachaguliwa kidato cha Tano sikumbuki combination yake but tulichaguliwa shule moja.

Uongo mwingine acheni sio kila jambo hatulijui
 
MAMBO 20 USIYOYAJUA JUU YA MAGUFULI

1. Magufuli ameandikwa kwa lugha 134 kwa mwaka jana katika nchi mbali mbali dunian

2. Magufuli Ana uwezo wa kukariri namba 22, kwa wakati mmoja, craming capacity yake iko 89% , wakati normal craming capacity ya binadamu ni 62%

3. Magufuli aliwahi kuanguka Na helicopter dar es salaam akiwa Na said meck sadik Mkuu wa Mkoa wakikagua uharibifu uliofanywa na mvua,

4. Jakaya kikwete akiwa rais, Na mheshimiwa pinda Akiwa waziri Mkuu walikuwa wanatupiana mpira Nani amface Magufuli wakati wa kutengua baadhi ya maamuzi yake katika wizara ya ujenzi, ilibidi pinda aairishe safari yake ya kagera alipofanya ziara kwa mambo ya sukari kwanza akaja wakutane Na kikwete kujadili wanamuanzaje Magufuli kumueleza asibomoe jengo la TANESCO ubungo

5. Magufuli alikuwa anamsapot sana Dk slaa Na upinzani wa maana hasa wa Kafulila, alikuwa anampa vimemo kafulila akomae Na escrow ambayo ilionekana ni ya utapeli,

6. Magufuli aliwahi kwenda Minaki high school kumwadhibu kijana wake aliyetaka kuhama kinyemela kwakuwa alikuwa anataka shule nyinginezo siziso za serikali, akipanga njama Na mama yake, lakin Magufuli alikataa kata kata, akasema mwanangu atasoma hapa hapa kama wa wengine,

7. Magufuli ana nguvu ya ajabu Na ya ziada, hasa kwa wale ambao walitaka kumkwamisha Mara nyingi anagundua njia hizo hata za kishirikina, mfano Morogoro kwenye mikutano Na watu wa TANROAD alikataa kukalia kiti ambacho alitengewa, Na baada ya mtu mwingine kukikalia ikawa madhara, maana alilengwa yeye Akiwa waziri wa ujenzi,

8. Magufuli Na marafiki zake wamekuwa maadui kisa anasimamia ukweli , umefika mda mpaka ndugu zake wa ukoo hawampendi sana maana walidhani Akiwa serikalini atawapa ulaji, Jambo ambalo Magufuli hakubaliani nalo kabisa,

9. Magufuli aliwahi kuangusha nyumba ya baba Mdogo yake, ambaye alijenga barabarani, hakujali kuwa ni ya baba Mdogo

10. Magufuli kapanda ndege za kwenda nje ya nchi Mara 7 tu tokea amekuwa serikalini
Moja ilikuwa Libya, nyingine ulaya, Na nyingine Japan,

Tokea amekuwa rais amepanda ndege 3 tu za kwenda nje, yaan Kenya , uganda na Ethiopia ,Rwanda alienda kwa gari,

11. Magufuli ni rais maskini kuliko marais wote Africa, ikumbukwe rais tajiri ni wa Angola bwana Dos Santos,

12. Magufuli Hana usafiri wa gari anatumia usafiri wa serikali, Na magari aliyekuwa anapewa Akiwa mbunge alikuwa anayakabidhi katika taasisi mbali mbali,

13. Magufuli ni rais aliyevunja record ya kutembea mwendo mrefu kwa gari Akiwa rais , km 670, lakin ikumbukwe Nyerere alivunja rekodi ya kutembea mpaka butiama kwa miguu tokea DSM, kwa wiki kadhaa Na aliyepewa jukumu la mapokezi Na kujenga mahema alikuwa mzee kikwete Akiwa jeshini,

14. Magufuli ni rais ambaye amevunja rekodi ya kutamaniwa Na nchi nyingi dunian kuwa mtawala wao,
Kama, Egypt, Australia, Nigeria, Ghana, Mozambique, Uganda, Kenya , South Africa, Bolivia, Columbia, Madagascar, Nepal, Thailand, Angola, Na nyinginezo,

15. Magufuli Akiwa mbunge aliwahi kukataliwa kupitishwa kwenye kura za maoni mwaka 1995 ikiwa ni jimbo la chato biharamulo, vijana waliandamana Na kufunga vikufuri vidogo kwenye ruksi wakimaanisha wanamtaka Magufuli, ikabidi uchaguzi wa kura za maoni urudiwe, akapita,

16.Magufuli anapenda sana story yuko radhi audhulie sehem Zake alizozoea kupata story hata kama ni rais,

17. Magufuli ni shabiki wa timu ya yanga, kwa vilabu dunian anapenda sana Arsenal, Na kwa Hispania anapenda Barcelona,

Ila kwa timu za taifa anapenda sana taifa stars, pili Brazil,

18. Mheshimiwa Magufuli anapenda mziki wa zaman Na wa kisasa yaan bongofleva, Na msanii anayempenda sana ni darasa Na mwana fa,

19 mheshimiwa Magufuli amekataa mialiko 17 toka nchi mbali mbali dunian , ikiwemo USA,

20. Ni rais anayependa sana kutumia lugha yake ya taifa hata Akiwa nje,
Magufuli hapangiwi hata na katiba hajali mropokaji mkurupukaji na hashauriwi ni dikteta uchwara kiuhalisia kwa haya hana mshindani
 
Back
Top Bottom