Mkuu....21 Alipokuwa waziri hataki mchezo na nyumba yeye anauza nyumba mpaka za serikali.
Ni Sawa na maandamamo ya kumpongeza!Promo @ work
Ova
Mkuu Ushimen umeacha uandishi wa riwaya?Nimekumbuka Mkuu....
Hahaahaaaa......Mkuu Ushimen umeacha uandishi wa riwaya?
Mkuu....
Hii nadhani watu wengi hawaijui vizuri.
Kwenye uuzwaji wa Nyumba, Magufuli alitekeleza maagizo kutoka kwa Boss wake
Ukisoma namba 4 Kikwete na Pinda walikuwa wanaogopa kumfuata nao wakiwa Maboss wake sasa Mkapa yeye kamtuma nani na kumpa agizo la kuuza nyumba? Na ukisoma namba 8 na 9 anasimamia ukweli, ukweli upi na mafisadi wakubwa kawakingia kifua waliomtangulia. Huyu jamaa na Mzee majuto hawana tofauti kwa uigizaji wa vichekesho tuMkuu....
Hii nadhani watu wengi hawaijui vizuri.
Kwenye uuzwaji wa Nyumba, Magufuli alitekeleza maagizo kutoka kwa Boss wake
Lakini anacho kiongea ni kilevi tosha.
- Anajua lugha za makabila mbalimbali (takriban makabila 30)
- Pamoja na kuitwa Pombe, yeye mwenyewe hatumii kabisa Kilevi
Umekosa mambo ya msingi ya kuandika hapa JF?
Anajua mwenyewe mleta mada, hebu tupe na wewe ya yule mtu wenu.....mzee wa ulipo tupo!Hayo yote mpaka sasa yamekusaidia nini katika maisha yako?
Watu wa Pwani hao akishashiba ni kusifia tu hana kazi nyingine.Hawa ndo tunaita kina DAB walioingizwa kwenye siasa na Magu kwa mlango wa nyuma. Kazi yao ni kumpigia debe tu hata kama anafanya madudu.