kabwinyola
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 564
- 708
- Thread starter
- #21
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ndio nchi pekee ambayo kingereza uwa kinaongelewa siku ya kuomba kazi tu,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ndio nchi pekee ambayo kingereza uwa kinaongelewa siku ya kuomba kazi tu,
KweliMimi namba saba tu
Kutoka tangaNdio nchi pekee kila mwanasiasa ana mganga wake wa kienyeji.
Kuwa na makini na kauli zako jf sio chaka la kuficha wapuuzi Kama weweNdio nchi pekee duniani ambayo kila upuuzi unawezekana
Halow wanywa viroba tenaNdio nchi inaongoza kuwa na wapinzani wanywa viroba
Punguza shobo kidogo... Kama umeshindwa kusoma moda we pita na zako...Kuwa na makini na kauli zako jf sio chaka la kuficha wapuuzi Kama wewe
You're bankrupt totally.11. Tanzania ni nchi pekee yenye Dikteta Uchwara.
teh teh teh aise duuuNchi pekee watu milioni 50 wanamuogopa mtu mmoja
Kujua Kiingereza sio tija ni lugha tu kama lugha nyingine. Wewe unajua lugha ngapi?Tanzania ndo nchi ambayo Mkuluu hajui kiinglishi na safari zake za nje kuota mbawa