Elections 2015 Mambo 10 niliyojifunza 'sanaa za maonyesho' za Lowassa - Arusha


Umekula mabalachichi yaliyo oza ona sasa unavyo halisha popompoo mkubwa wewe
 

Ukiandika matusi haya humu unafikiri utabadilisha mawazo ya watu?
Watu wanataka mabadiliko!
 
Umekula mabalachichi yaliyo oza ona sasa unavyo halisha popompoo mkubwa wewe

Huyo aliendika huu uzi ni mwanachadema,hao ndio watu wa slaa,sio nyie team lowassa wakuja mlioingia chadema wiki iliyopita! mtafute huyo malisa umalize hasira zake,usipasue keyboard bure kwa jazba!
 

alishanza kuripiza kisasi umesahau ya mwakyembe na magula na leo umesikia ya polepole,
huyu lowasa na mtandao ni hatari kwa taifa letu,ni mafya wa hatari

 

nenda kidirishani ukalipwe ujira wa mwia,
 
Huyo aliendika huu uzi ni mwanachadema,hao ndio watu wa slaa,sio nyie team lowassa wakuja mlioingia chadema wiki iliyopita! mtafute huyo malisa umalize hasira zake,usipasue keyboard bure kwa jazba!

Hawa wa juzi tunawaita NYUMBU
 

(11)Konda wa daladala alieombwa kufanya nae maigizo yakurudishiwa change kapiga bingo mbaya kwenye igizo moja tu hii ni hatariiii
(12)Gongo la mboto huko vichochoroni alikua kama bwana pepsi ukipata bahati yakukutana nae tu mfukoni ni shiidaaa
 

mwafrika leo posho yako uliyolipwa inakutesa na bango lako,

weka na nyaraka za richmond alizokuwa anatamba nazo slaa na mnyika au hata hilo haulijui maana wangine ni 4u wajana baada ya kununuliwa wafanye propaganda wakati hawaelewi yaliyojili huko nyuma
,unatia aibu ,kijana kununuliwa wakati mungu amekupa karama na vipawa vyote ni aibu mbele za mungu na malipo yake lazima yakukute tu ,
jitambue linda utu wako na falsafa ya maisha yako,maana naona masharti ya kusambaza hili bango lako uliyopewa yanakutesa sana boy
 

tulia dozi ifanye kazi
 
(11)konda wa daladala alieombwa kufanya nae maigizo yakurudishiwa change kapiga bingo mbaya kwenye igizo moja tu hii ni hatariiii
(12)gongo la mboto huko vichochoroni alikua kama bwana pepsi ukipata bahati yakukutana nae tu mfukoni ni shiidaaa

unajua lowasa maigizo hajayaanza leo hata shahada yake ni ya maigizo ,a,k,a sanaa
unajua unapoona kiongozi anajikita kwenye maigizo badara ya kutengemea majukwaa ya wasomi kuwashawishi ili wampe kura ni hatari sana maana atakuwa rais wa maingizo tu,wajinga wanaona yaani kama vile ni kituko cha karne lkn mimi limemuuliza mtu swali ameshidwa kunipa jibu maana nilimkuta sehemu anashangilia ,
nikamwambia
je lowasa akiwa waziri mkuu uliwai kusikia amepanga daradara ,? Na wakati kipindi hicho ndo hilikuwa kazi yake kwa wakati huo? Amebaki hana cha kujibu nikamwambia k]jitambue acha kuuza kurayako kwaq maigizo ya wanasiasa maana na wenygine walikuwa na nyaraka za richmond wanatamba nazo leo hawana cha kusema tu ni aibu,

 
tulia dozi ifanye kazi

unachekesha ,nakupa pole wewe ulipewa bango na linakutesa kulisambaza
wakati nyerer anatoa taifa hili utumwani wewe ulibaki wapi kiasi cha kuuza utu wako na kuwa mtumwa,unazalilisha ujana wako ambo hata mungu ameubariki kwa kufanya kazi za ovyo tu,

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…