Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
"Watanzania bado ni kichwa cha mwendawazimu kila msusi anataka kujifunzia vichwani mwao aina ya misuko..."
Lowassa hawezi pewa hii nchi.....
CCM is dying!!!
Wanasiasa na wabunge wanaomwunga mkono Lowasa ni wale ambao hawakuonwa au kupata promotion kwa Kikwete, hivyo kichocheo ni kwa masilani ya nchi bali masilani binafsi. Hiyo inaonekana revange dhidi ya Kikwete. Lakini jambo la kushangaza wengi wanaomwunga mkono Lowasa hawamo kwenye kamati kuu au halmashauri kuu ya CCM. Watamteteaje Lowasa wakati hawaingii Halmashauri na kamati kuu?
Iv kwa gharama alizotumia mpaka sasa za kujinad toka ameanza, akikosa urais si atakufa kwa bp mtu huyu?
Iv kwa gharama alizotumia mpaka sasa za kujinad toka ameanza, akikosa urais si atakufa kwa bp mtu huyu?
Mwandishi wa hii makala kumbe ni yule Masawe Melisa anaye muabudu Slaa na Mbowe.....sijaona cha maana hapo bali hadithi za Bavicha...
Iv kwa gharama alizotumia mpaka sasa za kujinad toka ameanza, akikosa urais si atakufa kwa bp mtu huyu?
Masawe twambie afya ya Slaa
..
Sitashangaa kuona anaingia Msituni. Ameshatumia hela nyingi sana na wengi wameshakula hela yake nyingi.